Zanzibar ni nchiWateule wa Mungu hutawala kwa busara, hekima na maarifa. Huyo uliyemuita mteule anavyo hivyo vitu. Neno la Mungu linasema Heri wale wapatanishi maana wataitwa wana wa Mungu. Sasa rejea yaliyojiri Znz, huyu ni mpatanishi? Nachukua fursa kukukanya, usilitaje bure jina la Bwana Mungu wako.
Wa Ibrahim Isaka na YakoboMungu yupi labda!??
Waliotoroka hujawaona mjengoni tuesday?Umetoroka mirembe si bure.
Hakika tuliochaguliwa ni wengi bali wateule ni wachache.Natazama namna Magufuli anavyolijenga upya taifa letu sina shaka huyu ni mteule wa Mungu.Basi na tuzidi kumuombea ili wale waovu wa harakati hizi za maendeleo Mungu akazibatilishe nia zao!
Mkuu wanaoponda ni mission town na club yao ndio hiyo imetaifishwa usicheze na Hapa Kazi tu!Yaan namshukuru sana, manake jamaa vichwa vigumu... Sasa kawatia cha moto hali mbaya, mimi binafsi sioni kama kuna ugumu nilishazoea...
Kwenu hakuna historia ya ukichaa kweli?Wa Ibrahim Isaka na Yakobo
Labda unamaanisha Ibrahimu Abromovich, Isaka Kibena na Yakobo Gowon. Hapo utakuwa sawaWa Ibrahim Isaka na Yakobo
Kondoa hamjambo?We ndiyo Wale katika Kila wanne mmoja ndiyo wewe..
OVA
Nchi iligeuka guliokwa kweli Mungu hayupo fea kabisa
Wapuuzi kama nyinyi ndio mnafanya ukristo udharauliwe. Tafadhali tambua kuwa "Mungu hadhihakiwi"! Watoto wa maskini wananyimwa mikopo ya chuo kikuu, askari wanaruhusiwa kunyanyasa raia, haki za msingi za raia zinabanwa, mahospitalini hata chanjo ya tetenas hakuna halafu wewe unasema ni Mteule wa Mungu??? Mungu yupi huyo??Au umenufaika na chanjo ya bure ya busha???Hakika tuliochaguliwa ni wengi bali wateule ni wachache.Natazama namna Magufuli anavyolijenga upya taifa letu sina shaka huyu ni mteule wa Mungu.Basi na tuzidi kumuombea ili wale waovu wa harakati hizi za maendeleo Mungu akazibatilishe nia zao!
sasa inageuka kuwa nini?Nchi iligeuka gulio
Wewe unafikiri "mazingaombwe" ya kina Gwajima ndio uKristo?ile ni sanaa tu kama ngoma za kibisa.Ukristo wenyewe ni matendo mema yenye kibali machoni pake Mungu.Leo hii nenda muhimbili wagonjwa sugu wanapona ni Mungu huyo anatenda!Wapuuzi kama nyinyi ndio mnafanya ukristo udharauliwe. Tafadhali tambua kuwa "Mungu hadhihakiwi"! Watoto wa maskini wananyimwa mikopo ya chuo kikuu, askari wanaruhusiwa kunyanyasa raia, haki za msingi za raia zinabanwa, mahospitalini hata chanjo ya tetenas hakuna halafu wewe unasema ni Mteule wa Mungu??? Mungu yupi huyo??Au umenufaika na chanjo ya bure ya busha???
Badili hilo jina, unalishushia hadhi sana hilo jina, John the Baptist was a man with vision!Wewe