Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Usisahau wengi wameanza shule enzi ya Mkapa. Si rahisi kujua kilichotokea enzi ya Nyerere na Mwinyi.

Halafu sasa hivi Mkapa wala hayupo kabisa kwenye mijadala juu ya ufisadi.

As if ufisadi umeanza wakati wa Kikwete tu.
 
Dunia itamjua magufuli bila ya kusafiri na atapata mialiko mingi zaidi ila sijui kama atahudhuria.

Kusafiri sii kuondoa matatizo ya watz tumpongeze kwa pamoja na tumuombee sana.
 
Mkuu, Kupiga kelele na kutenda ni vitu viwili tofauti.

Tuna mifano mingi hai ya wanasiasa wanaopiga kelele lakini hawawezi kuziishi kelele zao.

Hata Mbowe na genge lake walipiga kelele kwa zaidi ya miaka nane huku mapovu yakiwatoka kwenye mikutano wakituamisha ni wapambanaji wa kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi lakini siku ambayo kiongozi wa ufisadi Lowassa na genge lake (kama walivyotueleza) walipobisha hodi kwenye milango ya ofisi zao, wakaanza kukana hata zile kelele walizokuwa wanazipiga. Hoja za kupambana na ufisadi wakaziweka kwenye makabati.

Hata lile gari la KUB alilokuwa anatuambia bora lipigwe mnada ili pesa zitumike kununua madawa aliamua kwenda kulichukua kinyemela.

Ni wanasiasa wachache sana nchini kama siyo ulimwenguni kote ambao wanaweza kufanya kile anachokifanya Rais Magufuli.

Ni lazima ujiulize, kwa nini kile anachokifanya Rais Magufuli kinaonekana cha ajabu katika sehemu mbali mbali duniani mpaka hata raia wa nchi za Magharibi wanataka awe 'benchmark' kwa viongozi wao wakuu wa nchi.

Mbona kama unabweka hovyo bila kuona kitu?
Hizo kilele za Magufuli ni kutaka kuudanya umma kwamba anaweza....hakuna chovhote cha ajabu atakachofanya zaidi ya kuonea watu wadogo huku akiwakumbatia wakubwa.
Hebu afanye haya machache nami nitamkubali.
1:Apitie mikataba yote ya madini na gesi aongeza % tunazopewa kutoka 3% hadi 30%
2:Afunge account za wakubwa zilizoko nje ya nchi zoote pamoja na ya mkapa.
3:Akamate wezi wote wa esrow.
Kwa haya machache tu nitamwelewa.
 
Kwani ni Kikwete tu ndiye aliyewahi kuwa rais kabla ya Magufuli?

Watu mnaongea kana kwamba ufisadi na uzembe umeanza na Kikwete.

SMDH.



Wakamatwe Mwinyi na baadhi ya mawaziri wake bila kumsahau Mama Sitti kujihusisha na biashara ya unga enzi zile. Mkapa na mkewe pamoja na mawaziri wake wengi tu waswekwe ndani kwa ufisadi. JK, Ridhiwani na kundi lake Riz1 wakamatwe. Kumbuka JK anamtumia Riz1 kufanya biashara haramu huku akiwataja washikaji wa Riz1 kuwa ndiyo wamiliki mali kumbe changa la macho. MAwaziri karibia ya wengi wa Kikwete wanyongwe na wakurugenzi pia. Kikwete ndiyo aliyeharibu nchi kabisa.
 
Mbona kama unabweka hovyo bila kuona kitu?
Hizo kilele za Magufuli ni kutaka kuudanya umma kwamba anaweza....hakuna chovhote cha ajabu atakachofanya zaidi ya kuonea watu wadogo huku akiwakumbatia wakubwa.
Hebu afanye haya machache nami nitamkubali.
1:Apitie mikataba yote ya madini na gesi aongeza % tunazopewa kutoka 3% hadi 30%
2:Afunge account za wakubwa zilizoko nje ya nchi zoote pamoja na ya mkapa.
3:Akamate wezi wote wa esrow.
Kwa haya machache tu nitamwelewa.
Mkuu, ukitaka kupanda ngazi, kunahatua zake, unakwenda ngazi kwa ngazi, kwa sasa kunamambo 2 anashughulika nayo

1:kuimalisha mapato ya ndani hasa tra na bandari,
2:kuweka msingi wa uwajibikaji kwa watendaji wa serikal ktk secta zote ili kuwa tumikia watu, na kuondoa ubwanyenye kuwa mtu furani hawezi kukamatwa....

Baada ya hayo anakuja huko ambako unakusema, na nikuhakikishie tu si asilimia 30, bali ni 50/50 kwenye madini,

Na hyo escrow ki itifaki ni maazimio ya Bunge hvyo niufuatiliaji ...

Baada ya mwaka njoo hapa, utajua ninachoeleza...
 
Wabongo Tunarogeka Kirahisi kweli. Magufuli kafanya nini cha upekee ambacho hakuna kiongozi mwingine Alifanya. Sasa zimeongezeka tu promo through mitandao Ya kijamii lkn hakuna kipya Magufuli anarukaruka tu nashangaa watu wameshasahau shida zote. kisa Muhimbili vimeongezwa vitanda utafikiri nchi nzima vimeongezeka. Nilikuwa karibu nanasa kwenye mtego wa Magufuli lkn nimestuka Magufuli ni CCM na atafanya vile CCM wanataka.

Kwa mahari tulipofikia hatuhitaji uchawi kama ulivyosema, ila ni kazi tu, sema tahadhari lazima ichukuliwe hasa kwenye utendaji, mfn, wale waliopewa kazi ya kutengeneza barabara hyo tenda ilikuwisha tangazwa na hvyo pesa haikuwepo?? Au baada ya pesa ndipo tenda/au mtu akachukuliwa kufanya kazi??

Angalizo ni mhim, wasije wakamuingiza mkenge rais wetu, ni vyema baadhi ya kanuni zikazingatiwa ila baadhi hapana...

Twende kiuubabe..
 
Wakamatwe Mwinyi na baadhi ya mawaziri wake bila kumsahau Mama Sitti kujihusisha na biashara ya unga enzi zile. Mkapa na mkewe pamoja na mawaziri wake wengi tu waswekwe ndani kwa ufisadi. JK, Ridhiwani na kundi lake Riz1 wakamatwe. Kumbuka JK anamtumia Riz1 kufanya biashara haramu huku akiwataja washikaji wa Riz1 kuwa ndiyo wamiliki mali kumbe changa la macho. MAwaziri karibia ya wengi wa Kikwete wanyongwe na wakurugenzi pia. Kikwete ndiyo aliyeharibu nchi kabisa.

Kwa mtindo huo wataosalimika ni wachache.
 
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?

Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.

Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.

Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.

Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.

Inastaajabisha kweli.

Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.


Wewe uliishia kuvipigia kelele tu basi, Pombe kavipigia kelele na sasa anavifanyia kazi! Bado huoni cha tofauti anachofanya? Naamini ungepewa nafasi kama yake usingefanya chochote zaid ya kuona haviwezekana kama JK alivyotuharibia nchi.
 
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?

Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.

Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.

Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.

Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.

Inastaajabisha kweli.

Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Robot ya korosho utaijua tuu
 
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?

Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.

Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.

Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.

Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.

Inastaajabisha kweli.

Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.

Subiri abishe hodi nyumbani kwako ndio utajua anafanya nini maana nyie kina Tomaso mko wengi:decision:
 
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?

Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.

Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.

Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.

Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.

Inastaajabisha kweli.

Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.


cha ajabu alichofanya ni kusikiliza kilio cha watanazania na kufanya ambacho wengine hawajakifanya......
 
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?

Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.

Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.

Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.

Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.

Inastaajabisha kweli.

Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.

Kama wewe sio kichaa unaelekea kuwa kichaa.... Kama sio kichaa kwa sasa basi utakuwa kichaa shupavu pale milembe
 
Ni kweli Mkuu Nyani Ngabu watanzania wengi ni kama bendera tu, hufuata upepo unakoelekea. Kama mtakumbuka vizuri, kuna propaganda zilianza kutembea humu kuhusu waziri wa fedha. Wengi wa wapiga debe walikuwa wakimpamba Kitilya na Bade kama wangefaa kuteuliwa ubunge na hatimaye mmojawapo kuteuliwa uwaziri wa fedha. Waliwapamba watu hao kana kwamba ni malaika wameshuka leo toka mbinguni. Sasa tunashuhudia madudu yao live bila chenga! sijui hao wapiga debe wanakuja na nini tena? wengine wameanza tena mara ooh Kimei wa CRDB anafaa uwaziri wa fedha. Hii ni kwa kuwa upande wa pili wa Kimei haujajulikana bado kutokana na mfumo wa kulindana uliopo serikalini. Lakini upande wa pili wa hao mnaowapigia debe ukifunuliwa sijui mtaficha wapi sura zenu.

Ni kama nyie mliohubiriwa na DJ kuwa tatizo ni mfumo na si mtu, sasa Magufuli anafanya kazi kupitia mfumo upi? shame on you
 
Ndio rais wa kwanza wa nchi ya Kiafrika kubana matumizi,si unajua tena sisi Waafrika ni maarufu kwa kutumia sana huku nchi zetu zikiwa dhohofu bin hali?

Yaani pesa wanaiba wao ufisadi wananuka wao halafu Leo waje watuaminishe eti wanapambana eti kuutokomeza? Hii in zaidi ya kuendeleza gilba kumzidi luiferi mwenyewe. Tumechoka na usanii wa kihivi
 
Back
Top Bottom