Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usisahau wengi wameanza shule enzi ya Mkapa. Si rahisi kujua kilichotokea enzi ya Nyerere na Mwinyi.
Hahahaa the proof of the pudding is in the eating, ain't it?
Mkuu, Kupiga kelele na kutenda ni vitu viwili tofauti.
Tuna mifano mingi hai ya wanasiasa wanaopiga kelele lakini hawawezi kuziishi kelele zao.
Hata Mbowe na genge lake walipiga kelele kwa zaidi ya miaka nane huku mapovu yakiwatoka kwenye mikutano wakituamisha ni wapambanaji wa kupinga ufisadi na matumizi mabaya ya kodi za wananchi lakini siku ambayo kiongozi wa ufisadi Lowassa na genge lake (kama walivyotueleza) walipobisha hodi kwenye milango ya ofisi zao, wakaanza kukana hata zile kelele walizokuwa wanazipiga. Hoja za kupambana na ufisadi wakaziweka kwenye makabati.
Hata lile gari la KUB alilokuwa anatuambia bora lipigwe mnada ili pesa zitumike kununua madawa aliamua kwenda kulichukua kinyemela.
Ni wanasiasa wachache sana nchini kama siyo ulimwenguni kote ambao wanaweza kufanya kile anachokifanya Rais Magufuli.
Ni lazima ujiulize, kwa nini kile anachokifanya Rais Magufuli kinaonekana cha ajabu katika sehemu mbali mbali duniani mpaka hata raia wa nchi za Magharibi wanataka awe 'benchmark' kwa viongozi wao wakuu wa nchi.
Kwani ni Kikwete tu ndiye aliyewahi kuwa rais kabla ya Magufuli?
Watu mnaongea kana kwamba ufisadi na uzembe umeanza na Kikwete.
SMDH.
Mkuu, ukitaka kupanda ngazi, kunahatua zake, unakwenda ngazi kwa ngazi, kwa sasa kunamambo 2 anashughulika nayoMbona kama unabweka hovyo bila kuona kitu?
Hizo kilele za Magufuli ni kutaka kuudanya umma kwamba anaweza....hakuna chovhote cha ajabu atakachofanya zaidi ya kuonea watu wadogo huku akiwakumbatia wakubwa.
Hebu afanye haya machache nami nitamkubali.
1:Apitie mikataba yote ya madini na gesi aongeza % tunazopewa kutoka 3% hadi 30%
2:Afunge account za wakubwa zilizoko nje ya nchi zoote pamoja na ya mkapa.
3:Akamate wezi wote wa esrow.
Kwa haya machache tu nitamwelewa.
Mgema akisifiwa Tembo hulitia maji. Tumezidi mno kumsifia Magufuli na kwa Style hii sijui kama atafanya vizuri. Tunamsifia mpaka atakosa changamoto na mwisho ataboronga.
Wabongo Tunarogeka Kirahisi kweli. Magufuli kafanya nini cha upekee ambacho hakuna kiongozi mwingine Alifanya. Sasa zimeongezeka tu promo through mitandao Ya kijamii lkn hakuna kipya Magufuli anarukaruka tu nashangaa watu wameshasahau shida zote. kisa Muhimbili vimeongezwa vitanda utafikiri nchi nzima vimeongezeka. Nilikuwa karibu nanasa kwenye mtego wa Magufuli lkn nimestuka Magufuli ni CCM na atafanya vile CCM wanataka.
Wakamatwe Mwinyi na baadhi ya mawaziri wake bila kumsahau Mama Sitti kujihusisha na biashara ya unga enzi zile. Mkapa na mkewe pamoja na mawaziri wake wengi tu waswekwe ndani kwa ufisadi. JK, Ridhiwani na kundi lake Riz1 wakamatwe. Kumbuka JK anamtumia Riz1 kufanya biashara haramu huku akiwataja washikaji wa Riz1 kuwa ndiyo wamiliki mali kumbe changa la macho. MAwaziri karibia ya wengi wa Kikwete wanyongwe na wakurugenzi pia. Kikwete ndiyo aliyeharibu nchi kabisa.
Mimi nahofia tu usiwe moto wa mabua!!
sawa tumuombeee
sawa mkuuuyani sijui nisemeje dadaangu!chama chetu kinapaswa kumuunga mkono huyu bwana kwa hayo anayoyafanya,wachaga tuungane kumuunga mheshimiwa JPJM
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.
Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.
Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.
Inastaajabisha kweli.
Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Robot ya korosho utaijua tuuMbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.
Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.
Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.
Inastaajabisha kweli.
Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.
Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.
Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.
Inastaajabisha kweli.
Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.
Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.
Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.
Inastaajabisha kweli.
Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Mbona mimi sioni la ajabu ambalo Magufuli kafanya mpaka hivi sasa..?
Habari za matumizi mabaya ya pesa za walipa kodi na kutokuwa na vipaumbele vya maana ni jambo ambalo wengine tumelipigia kelele sana humu tokea JF ianzishwe miaka karibu 10 iliyopita.
Tumepiga sana kelele humu kuhusu watoto kukaa chini, kuhusu wagonjwa kulala chini, kuhusu aibu ya uwanja wetu wa ndege na kuhusu mengineyo mengi tu.
Tukahoji matumizi ya mabilioni ya shilingi yaliyotumika kwenye sherehe za miaka 50 ya uhuru huku madaraja yakiporomoka kwa kuzidiwa na mvua.
Halafu kuna wengine humu wakawa wanatetea huo ubadhirifu wa CCM kwa nguvu zao zote. Halafu leo hii wanajifanya ndo wapiga vuvuzela wa Magufuli.
Inastaajabisha kweli.
Mtu yeyote mwadilifu na mwenye common sense hatashangazwa na anachofanya Magufuli. Lakini, lazima angeshangazwa na jinsi serikali za CCM zilivyokuwa za kipumbavu maana hizo ndizo zimetufikisha hapa tulipo.
Ni kweli Mkuu Nyani Ngabu watanzania wengi ni kama bendera tu, hufuata upepo unakoelekea. Kama mtakumbuka vizuri, kuna propaganda zilianza kutembea humu kuhusu waziri wa fedha. Wengi wa wapiga debe walikuwa wakimpamba Kitilya na Bade kama wangefaa kuteuliwa ubunge na hatimaye mmojawapo kuteuliwa uwaziri wa fedha. Waliwapamba watu hao kana kwamba ni malaika wameshuka leo toka mbinguni. Sasa tunashuhudia madudu yao live bila chenga! sijui hao wapiga debe wanakuja na nini tena? wengine wameanza tena mara ooh Kimei wa CRDB anafaa uwaziri wa fedha. Hii ni kwa kuwa upande wa pili wa Kimei haujajulikana bado kutokana na mfumo wa kulindana uliopo serikalini. Lakini upande wa pili wa hao mnaowapigia debe ukifunuliwa sijui mtaficha wapi sura zenu.
Ndio rais wa kwanza wa nchi ya Kiafrika kubana matumizi,si unajua tena sisi Waafrika ni maarufu kwa kutumia sana huku nchi zetu zikiwa dhohofu bin hali?