Meshackmlingo
Member
- Apr 13, 2016
- 41
- 13
Harafu kumbe ulikuwa jela ni lini ulipigiwa kampeni huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeisikia bajeti ya ukawa kinondoni? Matibabu unalipia unafuu wa 40000 bure! Raha sana, au sio kamanda?Ushabiki mpaka mochwari feki
Kabadili mfumo UPI ?Nampongeza sana Rais Magufuli kwa kutekeleza ahadi zake na hivyo kutufanya watu tulomchagua kutembea kifua mbele huku mtaani tukitamba dhidi ya wale walotubeza kuwa Magufuli hatoweza kuubadili mfumo ulomlea
Sasa nadhani wanaona haya. Viva Magufuli
...Na wewe ni mmoja wapo wa wapiga madili,..kwa taarifa yako moto wa magufuli ni wa Jua,..hauzimiki.Miaka mi5 ni mingi mno, hiyo kasi ya sasa ni moto wa kifuu.
JPM anatupa matumaini katika nchi yetu hasa anavyoelekeza matumizi ya pesa kwenye mambo muhimu. Mungu ampe uzima na afya ya kuendelea kutupa matumaini ya kukua kwa uchumi wa nchi yetu hasa katika swala la ufufaji viwanda ili vijana wengi wapate ajira.
NAONA UNAANZISHA THREAD NYINGI TU!Tumbua tu majipu usiogope na Hakimu au jaji atakaye itaka serikali kulipa fidia kwa mafisadi wa sukari na wengineo naye atumbuliwe tu...nchi isonge mbele wananchi tumechoka.
JPM yuko vizuri. Binafsi nampa heko pia. Maana kwa sasa tunapata huduma vizuri bila kutumia ushawishi wowote. Kwa maana ya kujuana au pesa.Hii inauma sana umeficha sukari tani 3000 halafu inakuja kutolewa bure watu wanagaiwa daaaah!!!umepoteza hela nyingi mno