Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Umeandika ukokoKipi cha uongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeandika ukokoKipi cha uongo?
Mdodo upi?Uzi wako umedoda
viva ukawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaAman izidishwe kwenu wana wa jf.
Sii viongozi wa ukawa,sii viongozi wa vyama vinavyounda ukawa,sii wanachama/mashabiki na hata wadau wote wamepoteana na hayupo anayeongoza chombo sasa...
Kama ni ndege nawezakusema haina rubani na kama yupo ndani ya ndege basi kalala fofofo.
Wenye mitizamo mipana wataniunga mkono ila wenye mitizamo mifinyu watanikosoa na kunizodoa kama walivyozoea.
Hivi uko wapi ule utashi mliojaliwa katika kipindi cha nyuma?au kweli jina tu la mh.rais wetu(Pombe)limewalewesha tu kwa hisia?
Au basi inawezekana spidi za mh.rais yamkini zimewachanganya?La hasha msichanganyikiwe na kasi hii...ni kweli hamkuzoea...lakini kwa huyu ndugu yetu,kazi ni jadi yake maana hatujamjua leo.Historically ni mtekelezaji cku zote,wasiomjua ni wanaozaliwa sasa.
Kwa nn nasema haya...?
Mambo yote maovu anayokabiliana nayo mh.rais mf.kutumbua majipu,suala la watumishi hewa,wanafunzi hewa(******)na mengine mengi wao sasa wanayakumbati na kuyatetea kwa gharama yyt kinyume na hapo awali walivyokabiliana nayo.
Wamegeuka kuwa mawakala wa waovu/maovu yote na kukusudia kumkwamisha rais kuyakabili,hali inayonifanya niwaite walevi.
Mbaya zaidi wamekosa uwakilishi hata kwenye jambo mhm(budget)ya serikali ambayo ndio dira ya maendeleo kwa wananchi wote bila kujali vyama.
Kwa makosa ya kujitengenezea wenyewe,viongozi wao mhm kabisa wamefukuzwa bungeni kwa kipindi kirefu,lakin pia waliobaki kwa kukosa busara wamejenga mazoea ya kususia vikao kila cku mpaka bajeti inapita.
Kwa nini nisiwaite walevi?
Kama sii hivyo basi wote mniunge mkono kwamba kumbe kelele za watu hawa cku zoote za maisha yao ya kisiasa ni kuikwamisha sirikali kwa mazuri inayoyafanya ili wajitwalie sifa kwa mashabiki wao wajinga ambao pia nimeanza kwa kuwaita walevi.
Hawapaswi kuwa mfano wa kuigwa hata kidogo,dhahiri wanafikiri kwa kutumia matumbo na sii akili,tuwaache waendelee na ulevi wao mpaka miaka mitano watakapokutana na hukumu zetu kwenye vichinjio.
USHAURI WA BURE KWAO;Pombe habadiliki,labda wao wabadilike kwa kuacha kulewa hata nyakati za kazi.Wenye mapenzi mema na nchi tutamsapoti rais wetu kwa gharama yyt ili atufikishe tunakokusudia,maana anayoyafanya ni kwa niaba ya watanzania wa vyama vyote wazalendo na sii kwa niaba ya wasakatonge wachache wenye nia mbaya na hili taifa.
Woooooooote tuseme...Viva magufuli!
UKAWA hawana uwezo wa kumbeza Magufuli.Magufuli ana akili mno na ni msiri UKAWA hawamuwezi.Nakumbuka aliposhika tu madaraka akasema elimu bure inaanza UKAWA wakakurupuka mbio kwenye vyombo vya habari wao na wasomi wao koko waliokariri vitabu wakasema hilo haliwezekani sababu bajeti iliyopitishwa haina elimu bure popote hela hakuna anazuga tu!!!!! Wakaoingeaa weee Magufuli anawatazama tu wanavyochonga sana na kuongea kwenye TV live na wapiga makofi koko wakiwapigia!!! Magufuli yuko kimya tu.
Ghafla akaibuka mbio akafuta sherehe na safari za nje pesa hiyo ikapatikana Elimu bure ikaanza.Wakaufyata
Niwasihi UKAWA awamu hii serikali imeshikwa na watu wenye akili nyingi mno na wasiri ambao hamjui wakisema hivi watatokea wapi.Mtajikuta mnaadhirika mkijifanya kuibuka tu kama walevi na kupinga pinga tu.Mtaonekana ZI COMMEDY kwa wananchi.Sasa hivi tu wananchi wameshaanza kuwaona ZI COMEDY.mAMBO MNAYODAI NA KUSUSIA NI ORIGINAL ZI COMEDY.
Hii serikali ya hapa kazi tu kuibeza unatakiwa uwe na akili za kupindukia na sio za kushikiwa
*Hata ukitembea majini wapinzani watasema hujui kuogelea..* nukuuInashangaza sana leo watanzania tumekuwa vigeugeu cjui kwann ? Sisi si ndyo tulikuwa tunasema Kikwete mpore,anacheka na watu hajui kukalipia watendaji !!au siyo sisi ? Leo hii tunataka tena rais mpole ? Kweli binadamu hawana fadhira !!
Kukalipia=KukaripiaInashangaza sana leo watanzania tumekuwa vigeugeu cjui kwann ? Sisi si ndyo tulikuwa tunasema Kikwete mpore,anacheka na watu hajui kukalipia watendaji !!au siyo sisi ? Leo hii tunataka tena rais mpole ? Kweli binadamu hawana fadhira !!
Wakati raisi Magufuli ameanza kazi yake ya Uraisi kuna Gazeti la AK liliandika kwamba ,,he is so un- African..." au kwa kikwetu ni Mwafrika lkn hana tabia za Kiafrika, hili swala nilikuwa sijalielewa sasa nimelifikiria sana na sasa nimeanza kuelewa kwa nini lile Gazeti la AK liliandika vile, kwa kweli kwa tabia anazoonyesha Raisi Magufuli pia unaweza kusema siyo MtanZania angalau MtanZania wa kawaida ninayemjua mimi, chukulia mfano tu swala la kwenda Ulaya na kuponda raha, ni Mtanzania gani au niseme ni Watz wangapi uwajuwao leo hii ambao utawaambia fedha hii hapa chukuwa ndege uende Ulaya na USA ukae Hoteli ya nyota saba, ufanye shopping ya masuti ya nguvu, ule vyakula na vinywaji kama akina Bill Gates halafu akatae?
Jiulize hilo swali, fikiria kidogo tu halafu labda na wewe utaelewa na wewe kwa nini, lile Gazeti la AK lilimuita ,,he is so un-African"!