Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Sasa Hapa Nitamuita Sajent At Army Akutoe Nje Maana Unakiuka Kanuni Ya 64-1 Kuongea Bila Kituo.

Halafu Hilo Jina Komredi Halipo Kwny Kanuni Za Bunge, Niite Mh Tafadhari[emoji87]

Duh,.......hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaah, aise....SHIKAMOO MHESHIMIWA Manasse.....
 
Duh,.......hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaah, aise....SHIKAMOO MHESHIMIWA Manasse.....
Sasa Hapo Unanikejeli Mkuu, Halafu Hujui Tu Kwmb Aloteuliwa Leo Kuwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani Ni Bro Wangu So Kuwa Makini Ntakufunga Dogoooo [emoji3] [emoji3] [emoji3] Jamaa Kalamba Dume Kufa Kufaana. Ukiharibu Wewe Wengine Wanakamata Nafasi
 
Sasa Hapo Unanikejeli Mkuu, Halafu Hujui Tu Kwmb Aloteuliwa Leo Kuwa Waziri Wa Mambo Ya Ndani Ni Bro Wangu So Kuwa Makini Ntakufunga Dogoooo [emoji3] [emoji3] [emoji3] Jamaa Kalamba Dume Kufa Kufaana. Ukiharibu Wewe Wengine Wanakamata Nafasi

Duh.....unasema kiutaniutani, lakini message sent...Si unajua hapa Tanzania vyeo vinaenda kwa 'Patronage' and/or 'spoil system'...Hongera, itabidi nikutafute ili angalau nipate tenda ya ku-supply chakula magereza au vituo vyote vya polisi na hasa FFU na vyuo vya polisi....Pia nina qualifications za 'research'...nitafanya utafiti maeneo gani yana fujo nchini ili yashughulikiwe.....tehtehtehteh (just a joke)
 
Duh.....unasema kiutaniutani, lakini message sent...Si unajua hapa Tanzania vyeo vinaenda kwa 'Patronage' and/or 'spoil system'...Hongera, itabidi nikutafute ili angalau nipate tenda ya ku-supply chakula magereza au vituo vyote vya polisi na hasa FFU na vyuo vya polisi....Pia nina qualifications za 'research'...nitafanya utafiti maeneo gani yana fujo nchini ili yashughulikiwe.....tehtehtehteh (just a joke)
[emoji115] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Umenchekesha Sana Mh.1954, Basi Usijali Utapata Tenda Mh Maana Inaonekana Unajua Sana Kazi Japo Inasemekana Unawake Wengi Sana So Ni Rahisi Kutoa Siri Za Jeshi Nyumba Ndogo Ambako Saiz Ndipo Ulipoegemea[emoji3] [emoji3] [emoji3]
 
995830b03960c960b2aeeb483ef4d8dd.jpg


Force Field Analysis inahitajika


Duh.....message sent
 
[emoji115] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] Umenchekesha Sana Mh.1954, Basi Usijali Utapata Tenda Mh Maana Inaonekana Unajua Sana Kazi Japo Inasemekana Unawake Wengi Sana So Ni Rahisi Kutoa Siri Za Jeshi Nyumba Ndogo Ambako Saiz Ndipo Ulipoegemea[emoji3] [emoji3] [emoji3]


Duh.......hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaah, aiseeee.....nitajie Watanzania wawili tu ambao hawana nyumba ndogo......tehtehtehteh.
 
Duh.......hahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaah, aiseeee.....nitajie Watanzania wawili tu ambao hawana nyumba ndogo......tehtehtehteh.
Du. . . . !! Hapo Mkuu Umeua Maana Nyumba Ndogo Inautyamu Wake.

Lakn Kazi Ya Nyumba Ndogo Ni Ku'Maintain Discipline Ya Nyumba Kubwa Na Si Kuharibu Nyumba Kubwa.
 
Du. . . . !! Hapo Mkuu Umeua Maana Nyumba Ndogo Inautyamu Wake.

Lakn Kazi Ya Nyumba Ndogo Ni Ku'Maintain Discipline Ya Nyumba Kubwa Na Si Kuharibu Nyumba Kubwa.

Duh......aiseee......Watanzania bwana kazi kweli kweli....
 
Sasa hivi huku duniani habari ya mujini ni Magufuli...sio mzee sio mwanamke sio kijana sio mwanaume...wanaimba jina la kamanda magufuli kuwa ni chuma cha pua.

Chuma cha moto. Usiguse utanasa. Kasi yake ya kupambana na maovu imemvutia kila mtu Duniani isipokuwa mafisadi pekee ndio wanasaga meno.

Nchi za Kenya Uganda, Ethiopia, Mali, Ghana zilishatangaza kuwaomba watanzania tuwaazime Magufuli awe rais wao kwa wiki moja....Sisi tumegoma hadi amalize kufyeka magugu kwanza. nawashauri wanaompinga watubu dhambi zao haraka
 
Leo kinana kaamuwa kumchana " live" .kiongozi lazima utumie busara kidogo
 
Acheni sifa za kijinga Maghufuli ni nani tukiweka kando fikra za BEn ? Zanzibar yenyewe huko inamtoa jasho . Endelea kuota .
 
Sasa hivi huku duniani habari ya mujini ni Magufuli...sio mzee sio mwanamke sio kijana sio mwanaume...wanaimba jina la kamanda magufuli kuwa ni chuma cha pua. Chuma cha moto. Usiguse utanasa. Kasi yake ya kupambana na maovu imemvutia kila mtu Duniani isipokuwa mafisadi pekee ndio wanasaga meno. Nchi za kenya uganda Ethiopia Mali Ghana zilishatangaza kuwaomba watanzania tuwaazime magufuli awe rais wao kwa wiki moja....Sisi tumegoma hadi amalize kufyeka magugu kwanza. nawashauri wanaompinga watubu dhambi zao haraka
Naona umeingia leo NIGHT SHIFT.

Kazi njema bhana!
 
Back
Top Bottom