afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
Hakuna binadamu alie kamili kwa kila jambo
Magufuli kuna mambo anakosea, atakosea na kuna mengine amesha kosea. Wote tukiwa tuna msifu kwa kila kitu huo unaitwa "unafki" .
Sifia panapo stahili na kosoa panapo stahili . Wa TZ Si wajinga kukubali kila kitu .
Magufuli kuna mambo anakosea, atakosea na kuna mengine amesha kosea. Wote tukiwa tuna msifu kwa kila kitu huo unaitwa "unafki" .
Sifia panapo stahili na kosoa panapo stahili . Wa TZ Si wajinga kukubali kila kitu .