Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Kwahiyo Kikwete alifanyaje mbona aliongeza mshahara kila mwezi wa saba,madaraja watu walipanda na ajira zolitolewa.
Kama dikteta uchwara anakulipa pesa ili upotoshe hapa haina maana.
Mimi nimekata tamaa tangu mwezi uliopita natamani chochote kitokee ili ajue kuwa amebugi step.

Kwa hili mkuu halina kukata tamaa....wala silipwi na mtu wala spotoshi mtu.....nakupa tu mwongozo
 
huyu mheshmiwa alipokua anapita kutafuta wadhamini ndani ya chama chao mikoa kadhaa wanaccm walimkimbia ikabidi atumie nguvu ya ziada kuwatafuta. ni watu wachache sana waliowahi kufikiri kua tungewahi kua nae kama rais kinachonishangaza ni kua ameteka mijadala kwenye media zote za tanzania na jambo kubwa kuliko yote ni kua amechukua hoja zote zilizokua zikiwapa kick wapinzani kias kwamba kwa sasa wamekombewa hoja zoote.

Uthibitisho wa hilo ni kwamba hawana hoja waganga njaa hawa ni pale walipoziba midomo yao kwa plasta kukubali kwamba hawana la kusema mbele ya OPERATION COMMANDER DR. JOHN JOSEPH POMBE MAGUFULI MZEE WA VITENDO VINGI MANENO KIDOGO LONG LIVE OUR BELOVED PRESIDENT.
 
Shikamoo Rais wa watu. Kazi yako ina baraka za Mungu. Kila kukicha hatua bilioni naa mbele. Hakuna sababu ya taifa hili kuendelea kuitwa maskini. Sasa inaenda kufika siku Tanzania kuwa ni "African tiger"....kwa kipindi kifupi Uchumi wa Tanzania utaingia katika historia ya Dunia...haya Manyumbu karibuni kwa matusi
 
20160522_102505.jpg
 
Kuitwa AFRICAN TIGER cyo tija kama wananchi hawapati huduma za msingi kama maji safi na salama, dawa za kutosha, na maisha ya uchumi wa kati kwa watanzania..
 
Shikamoo Rais wa watu. Kazi yako ina baraka za Mungu. Kila kukicha hatua bilioni naa mbele. Hakuna sababu ya taifa hili kuendelea kuitwa maskini. Sasa inaenda kufika siku Tanzania kuwa ni "African tiger"....kwa kipindi kifupi Uchumi wa Tanzania utaingia katika historia ya Dunia...haya Manyumbu karibuni kwa matusi
We lala tu ukiamka ndio utajua ulichoandika hapa ni ujuha na umuombe mod afute!!!!
 
Magufuli anapaa Tanzania kuagiza Wataalam wa IT toka kwa kaka yake anaitwa Kagame.
 
Uchumi wa Tanzania umekuwa ukipaa kwa 5% au zaidi toka 1995 awamu ya Mkapa na kuendelea kupaa hadi mwisho wa awamu ya Kikwete, lakini cha kustaajabisha bado kuna umaskini wa kutisha nchini, ajira hakuna, nyingi ya shule nchini ziko katika hali ya kusikitisha, usafiri wetu wa kila aina bado ni duni sana. Barabara zetu nyingi ni below international standards na zinatisha nyingi wakati wa masika hazipitiki, mishahara bado ni ya chini mno. Kumbuka na hizi namba zinazotumiwa ni kutoka BoT hivyo accuracy yake ni very questionable.

Sasa sijui huo uchumi wa nchi unaokuwa kwa miaka 20 sasa kati ya 5% or more inakuwaje hauleti maendeleo ya kweli nchini.

Kuna kitu kinaitwa theory je wakijua?? Hayo manamba sijui 7.1 mara 6.5 ni ujinga tu njoo huku kijijini ujione maajabu ya dunia!! Kumbuka dodoma watu walikua wanakula wadudu...no food!!! Mpaka leo wanafunzi wanasoma chini ya mti...acheni kuhadaa watu na vijinamba vyenu hivyo mbaaaafu!!!
 
Anaweza kabisa Magufuli kubadilisha hali ya Tanzania kwa kipindi kifupi. Angalia Rwanda: uchumi wake ulikuwa wa vita na duni sana lakini Kagame ameugeuza kwa kipindi kifupi, na sasa kila kiongozi anawaheshimu.


Wote mnakubali kwamba Tanzania ina Potential kubwa. Kinachotakiwa ni kiongozi anayethibiti ufisadi na ambaye ni mtendaji zaidi badala ya kuwa Mswahili wa maneno mengi. JPM is that man.


Kuwa African tiger maana yake ni nini? Mnapotosha ukweli. Kuwa a tiger economy (African or otherwise) ni kuwa na uchumi unaokua kwa kasi. Haina maana ya kuwa nchi iliyoendelea. Sasa kama uchumi wa Tanzania unakuwa kwa kasi iweje msikubali ni African tiger?
 
Back
Top Bottom