Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Habarini watanzania wote!!!!!!!

Kutokana na unabii ambao niliwaii kuuweka hapa kuhusu ujio wa Yesu Kristo kama Mfalme ktk Taifa la Tanzania,,,,,,,,dalili zaanza kuonekana.

Kiufupi ni kwamba Mungu ametukumba watanzania,,,,,,na ameamua kushuka kama Mfalme kwa ajili ya mambo mawili makubwa.

1>> Mungu amekusudia kuliinua Taifa hili kiuchumi kwa viwango vikubwa ambavyo itapelekea mataifa mengi kuja kuomba msaada hapa.

2>> Neema ya Mungu itakua kubwa sana na Watu wote watakaoamua kumtafuta Mungu wa kweli ataonekana kwao kwa viwango vya juu sana.

Na hao watakaokuja kuomba msaada wa kiuchumi watakutana na Mungu hapa ambapo wataponywa pia magonjwa yao.

Hivyo basi kutokana na Ujio wa Kifalme wa Mungu hapa Tanzania,,,,,,dalili za kifalme zimeanza kuonekana kupitia Utawala wa Rais wa awamu ya Tano Mh JP Magufuli. Ambapo ktk utawala wa kifalme,,,,,neno la Mfalme ndo SHERIA akisema jambo ndilo linalopaswa kufanyika,,,

Kwasbb iyo nguvu zinazomsukuma Rais ni dhahiri kabsa ni Nguvu za Mungu ktk kuleta mabadiliko.

Mungu uzidi kumtia nguvu Rais aweze kufanya sawasawa na kusudi lako Tanzania.

NAWASILISHA
Na wote tuseme AMEN
 
inabidi uchunguzwe kwanza huenda wewe ni wakala wa shetani au wakala wa matambiko ya kisukuma..
tangaza interest kwanza..
 
Sijui mnafundishwaje biblia enyi wagalatia,huyu joyce pepo mbaya ndio unamfananisha na nabii?
 
Habarini watanzania wote!!!!!!!

Kutokana na unabii ambao niliwaii kuuweka hapa kuhusu ujio wa Yesu Kristo kama Mfalme ktk Taifa la Tanzania,,,,,,,,dalili zaanza kuonekana.

Kiufupi ni kwamba Mungu ametukumba watanzania,,,,,,na ameamua kushuka kama Mfalme kwa ajili ya mambo mawili makubwa.

1>> Mungu amekusudia kuliinua Taifa hili kiuchumi kwa viwango vikubwa ambavyo itapelekea mataifa mengi kuja kuomba msaada hapa.

2>> Neema ya Mungu itakua kubwa sana na Watu wote watakaoamua kumtafuta Mungu wa kweli ataonekana kwao kwa viwango vya juu sana.

Na hao watakaokuja kuomba msaada wa kiuchumi watakutana na Mungu hapa ambapo wataponywa pia magonjwa yao.

Hivyo basi kutokana na Ujio wa Kifalme wa Mungu hapa Tanzania,,,,,,dalili za kifalme zimeanza kuonekana kupitia Utawala wa Rais wa awamu ya Tano Mh JP Magufuli. Ambapo ktk utawala wa kifalme,,,,,neno la Mfalme ndo SHERIA akisema jambo ndilo linalopaswa kufanyika,,,

Kwasbb iyo nguvu zinazomsukuma Rais ni dhahiri kabsa ni Nguvu za Mungu ktk kuleta mabadiliko.

Mungu uzidi kumtia nguvu Rais aweze kufanya sawasawa na kusudi lako Tanzania.

NAWASILISHA
umenifanya nikumbuke kawimbo kutoka kwenye maandiko yasemayo: "Inua macho yako utazame pande zote, wote wanakusanyana na kukuijia wewe' japo sikumbuki yako kitabu gani.
 
Bwana Yesu akubariki sana. Umeandika ktk lugha ya kinabii mno ndo maana wengi wana kushambuliwa. Hawajakuelewa
 
😵😵😵, naona kaamua kutuchekesha au laaa watoto wa mjini wanasema ,,,, anatafuta KiKiiiiiiiiiiii.......😡😡
 
Rais Magufuli hana chembe yoyote ya Ukristo,Uislamu,Unabii wala Utume!
Rais anayefanishwa na Dikteta hawezi kuhusishwa na mambo ya Kiungu.
Tayari mpaka ameingia kwenge mgogoro na Waislamu kwa kufanya Teuzi zenye upendeleo wa uwiano wa 90% Wakristo kwa 10% ya Waislamu!
Nani hajui kuwa JPM kashinda Uchaguzi kwa njama za NEC na CCM yake? Rais anayeligawa Taifa kwa UDINI,UKANDA na SIASA za KI- CCM hawezi kuwa kawekwa na Mungu!
Hivi nabii angepitisha yaliyofanywa na Jecha,na kusema Jecha anastahili tuzo,jamani msimdhihaki mungu jamani.
 
Bwana Yesu akubariki sana. Umeandika ktk lugha ya kinabii mno ndo maana wengi wana kushambuliwa. Hawajakuelewa

kweeliii kheeee....?????Lugha ya Kinabii.....???? nabii yupi ???maana nyakati za mwisho watakuja wengi kwa jina LANGU, wakiwapotosha wengi.....!!!siyo huyu kweli....???
na wale manabii wa uwongo ni wapi....???? unabii ni sharti uchunguzwe ili uthibiteke..... Mwacheni YESU jamaniii, ongeeni yanayowahusu.....
 
Habarini watanzania wote!!!!!!!

Kutokana na unabii ambao niliwaii kuuweka hapa kuhusu ujio wa Yesu Kristo kama Mfalme ktk Taifa la Tanzania,,,,,,,,dalili zaanza kuonekana.

Kiufupi ni kwamba Mungu ametukumba watanzania,,,,,,na ameamua kushuka kama Mfalme kwa ajili ya mambo mawili makubwa.

1>> Mungu amekusudia kuliinua Taifa hili kiuchumi kwa viwango vikubwa ambavyo itapelekea mataifa mengi kuja kuomba msaada hapa.

2>> Neema ya Mungu itakua kubwa sana na Watu wote watakaoamua kumtafuta Mungu wa kweli ataonekana kwao kwa viwango vya juu sana.

Na hao watakaokuja kuomba msaada wa kiuchumi watakutana na Mungu hapa ambapo wataponywa pia magonjwa yao.

Hivyo basi kutokana na Ujio wa Kifalme wa Mungu hapa Tanzania,,,,,,dalili za kifalme zimeanza kuonekana kupitia Utawala wa Rais wa awamu ya Tano Mh JP Magufuli. Ambapo ktk utawala wa kifalme,,,,,neno la Mfalme ndo SHERIA akisema jambo ndilo linalopaswa kufanyika,,,

Kwasbb iyo nguvu zinazomsukuma Rais ni dhahiri kabsa ni Nguvu za Mungu ktk kuleta mabadiliko.

Mungu uzidi kumtia nguvu Rais aweze kufanya sawasawa na kusudi lako Tanzania.

NAWASILISHA




Ni upumbavu wa kiwango cha PhD kutoa ulinganifu wa kibiblia/kinabii juu ya utawala huu bila ya "kuquote" walau mstari mmoja toka kwenye biblia ili kujaribu kuipa nguvu hoja yako.Acha kuvitaja Vitabu vya dini katika mambo ya kipuuzi.
 
Habarini watanzania wote!!!!!!!

Kutokana na unabii ambao niliwaii kuuweka hapa kuhusu ujio wa Yesu Kristo kama Mfalme ktk Taifa la Tanzania,,,,,,,,dalili zaanza kuonekana.

Kiufupi ni kwamba Mungu ametukumba watanzania,,,,,,na ameamua kushuka kama Mfalme kwa ajili ya mambo mawili makubwa.

1>> Mungu amekusudia kuliinua Taifa hili kiuchumi kwa viwango vikubwa ambavyo itapelekea mataifa mengi kuja kuomba msaada hapa.

2>> Neema ya Mungu itakua kubwa sana na Watu wote watakaoamua kumtafuta Mungu wa kweli ataonekana kwao kwa viwango vya juu sana.

Na hao watakaokuja kuomba msaada wa kiuchumi watakutana na Mungu hapa ambapo wataponywa pia magonjwa yao.

Hivyo basi kutokana na Ujio wa Kifalme wa Mungu hapa Tanzania,,,,,,dalili za kifalme zimeanza kuonekana kupitia Utawala wa Rais wa awamu ya Tano Mh JP Magufuli. Ambapo ktk utawala wa kifalme,,,,,neno la Mfalme ndo SHERIA akisema jambo ndilo linalopaswa kufanyika,,,

Kwasbb iyo nguvu zinazomsukuma Rais ni dhahiri kabsa ni Nguvu za Mungu ktk kuleta mabadiliko.

Mungu uzidi kumtia nguvu Rais aweze kufanya sawasawa na kusudi lako Tanzania.

NAWASILISHA
Usirudie kuhusisha biblia na mambo ya kipumbavu pumbavu.

Nilitegemea ungesindikiza na andiko katika biblia kuaindikiza hoja yako. Kumbe unaleta story za kipumbavu pumbavu
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Supermarket umemwaga mchele kwenye shazi la kuku[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38]
 
Rais Magufuli hana chembe yoyote ya Ukristo,Uislamu,Unabii wala Utume!
Rais anayefanishwa na Dikteta hawezi kuhusishwa na mambo ya Kiungu.
Tayari mpaka ameingia kwenge mgogoro na Waislamu kwa kufanya Teuzi zenye upendeleo wa uwiano wa 90% Wakristo kwa 10% ya Waislamu!
Nani hajui kuwa JPM kashinda Uchaguzi kwa njama za NEC na CCM yake? Rais anayeligawa Taifa kwa UDINI,UKANDA na SIASA za KI- CCM hawezi kuwa kawekwa na Mungu!
WanaJF hili mulifikirie,huu ndo ukweli halisi.
 
Back
Top Bottom