Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Toka zako huko, miradi ya rural electrification (REA) imeanza tangu kipindi cha kwanza cha KIKWETE hapo ilipo inaendelea tu, kimsingi bwana wa Bashite hana jipya na hii miradi inaweza kusimama kwa hali ilivyo tu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kaniambia embu fungulia ITV sasa hivi uone wanachoongelea, dah nikapigwa na bumbu wazi, yaani sasa Vijijini umeme wa kumwaga, kweli tumetoka mbali, tangu enzi za kusoma Magazeti baada ya Mwezi na leo unawasha taa kwa swichi kijijini? Duh!

Nikamuuliza siku hizi mna Umeme? Akaniambia ndiyo kuna umeme wa CCM kama wenyewe wanavyoita huko kwao ...
Pathetic fool.

Wenzako nchi za jirani zinafurahia mambo makubwa makubwa kama viwanda vya magari,treni za umeme, uchumi mkubwa siyo ishu ya umeme ccm iliyoshindwa kwa miaka 50+.

Hii ni aibu tena ufiche huu upumbavu wako mnatia aibu.
 
Kaniambia embu fungulia ITV sasa hivi uone wanachoongelea, dah nikapigwa na bumbu wazi, yaani sasa Vijijini umeme wa kumwaga, kweli tumetoka mbali, tangu enzi za kusoma Magazeti baada ya Mwezi na leo unawasha taa kwa swichi kijijini? Duh!

Nikamuuliza siku hizi mna Umeme? Akaniambia ndiyo kuna umeme wa CCM kama wenyewe wanavyoita huko kwao ...
Nampongeza bibi yako kwa kutambua kuwa Mageuzi siyo Kuzungusha Mikono bali ni REALITY.
 
Toka zako huko, miradi ya rural electrification (REA) imeanza tangu kipindi cha kwanza cha KIKWETE hapo ilipo inaendelea tu, kimsingi bwana wa Bashite hana jipya na hii miradi inaweza kusimama kwa hali ilivyo tu.
[emoji3] [emoji3] [emoji3] kwakwel poa tu
 
Tulilalamika kuwa rais aliyepita hakywa karibu na wananchi wake make muda alikuwa ni kusafiri tu. Haya tukataka tumpate mzalendo wa kukaa nyumbani asiyesafiri ba wa kuadhibu wanaokiuka maadili ya kazi hpo hpo, ila imekuwa kero hadi tunataka asafiri na astumbue tena, sasa ndgu watanzania tunamtaka rais wa sina gani? Nawaachia ukumbi...
 
Ni kwamba sasa hvi wamebanwa kila mahali na kila jambo ambalo walikuwa wanalitegemea kuligeuza kama mtaji ya kisiasa, Raisi Magufuli na Serikali yake wanalivalia njuga kabla, hivyo hata hili la Dhahabu walikuwa wamepanga walivalie njuga, sasa Raisi wa Nchi amewawahi, hivyo hawana cha kuongelea tena Bungeni ambacho kingeweza kuwapa kiki, ndiyo maana wanatoka povu, Bungeni wataongea nini tena kuacha Makonda?

Hii ni pre emptive strike inaitwa kwa watu wa mambo ya Jeshini, yaani unashambulia na kumuangamiza adui kabla hajaleta madhara, ...
 
Rais wangu naomba ufanye kazi km ulivyopanga kuifanyia hii nchi kwa kipindi chako!
Watu hawataacha kusema..kwani tangu ukiwa waziri ulipo waambia ukweli kuwa walipe nauli shs200 ya kivuko ,bado walisema tena sana...na wakataka kabisa utumbuliwe na rais alopita..
Mwisho wa siku walichoka wakanyamaza na kulipa ..walilipa..
.KELELE ZA CHURA.........
KELELE ZA MLANGO......

Sasa wewe piga kazi..wanaosema..acha wasema...mwisho watakula maneno yao...km yanaliwa..
[HASHTAG]#Kura[/HASHTAG] yangu 2020 ni JPM..
 
Ndugu wana JF kama mada inavyohusika katika somo tajwa hapo juu. Mheshimiwa Rais anasimamia UKWELI na kuongea UKWELI kila anapopata wasaa. Sisi watawaliwa tunampongeza kwa kusimamia UKWELI na kuishi katika UKWELI. Swali ama swala gumu hapa ni UKWELI according to Mh. Rais ni UPI?? Nakumbuka alipokuwa kwenye ziara yake kanda ya ziwa alisema UKWELI kuwa nchi yetu haina njaa na watu walime, wafanye kazi..yeye hatatoa chakula cha msaada kwa ajili ya njaa. Ni kweli watu wameishi na wanendelea kuishi na hakuna laiyekufa kwa njaa. Ikatangazwa na hata na wasaidizi wake akiwemo Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa atakayesema ama kutangaza kuna njaa atakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Kwa sisi wanachama wa chama chetu tulimuamini kabisa.

Ikaja issue ya Uvamizi wa Kituo cha Clouds TV..Waziri akajaribu kutafuta na kulaani kile kilichotokea kwa kuweka UKWELI wa mambo hadharani..ambao haukuwa sawia na imani ya UKWELI anaouamini Mh. Rais.

Ikaja hili la Mchanga wa Madini sasa..akasema UKWELI alipokwenda Bandarini kuwa ni makontena yana dhahabu kwa asilimia zaidi ya 90. Mkurugenzi wa bandari akamuunga mkono Mh. Rais na kuunga mkono UKWELI huo. Mh. Rais ameambiwa UKWELI na wanaosema UKWELI katika kuvumbua sakata hili.

Spika wa Bunge akapitia maeneo ya bandari kwa minajili ya kukariri UKWELI wa Mh. Rais na ni kweli akakutana na UKWELI kutoka kwa Eng. Kakoko juu ya madini kwenye kontena UKWELI aliorithi kwa Rais wangu. Mteule wa Rais tena Prof Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na madini akaamua ku reason kama msomi..alikosea kutaka kuhakiki/kuhoji UKWELI wa Mh. Rais. Alishauri tu kuhakiki kwa kufungua na kufanya vipimo kwa sampuli za makontena yaliyopo hapo bandarini. Kilichotokea kinafahamika japo labda yapo mengine kando kando yaliyosababisha utenguzi wake. Hata hivyo Waziri Mkuu ameshachukua sampuli na uchunguzi unafanyika.

Pia Mh. Rais anautafuta UKWELI kwa kuunda kamati kutafuta huo UKWELI ambao Professor alitaka utafutwe..Nina uhakika UKWELI anaouamini Mh. Rais utapatikana tu kama ulivyokuwa. Na tume ijitahidi ipate UKWELI unaofanana na UKWELI wa Mh. Rais na si vinginevyo. Namtakia kila la heri Mh. Rais katika kuweka mambo sawa na kuupata UKWELI wa mambo meengi ya Tanzania. Msema KWELi ni mpenzi wa Mungu.

Nawasilisha.
 
Ndugu wana JF kama mada inavyohusika katika somo tajwa hapo juu. Mheshimiwa Rais anasimamia UKWELI na kuongea UKWELI kila anapopata wasaa. Sisi watawaliwa tunampongeza kwa kusimamia UKWELI na kuishi katika UKWELI. Swali ama swala gumu hapa ni UKWELI according to Mh. Rais ni UPI?? Nakumbuka alipokuwa kwenye ziara yake kanda ya ziwa alisema UKWELI kuwa nchi yetu haina njaa na watu walime, wafanye kazi..yeye hatatoa chakula cha msaada kwa ajili ya njaa. Ni kweli watu wameishi na wanendelea kuishi na hakuna laiyekufa kwa njaa. Ikatangazwa na hata na wasaidizi wake akiwemo Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani kuwa atakayesema ama kutangaza kuna njaa atakamatwa na kufunguliwa mashtaka. Kwa sisi wanachama wa chama chetu tulimuamini kabisa.

Ikaja issue ya Uvamizi wa Kituo cha Clouds TV..Waziri akajaribu kutafuta na kulaani kile kilichotokea kwa kuweka UKWELI wa mambo hadharani..ambao haukuwa sawia na imani ya UKWELI anaouamini Mh. Rais.

Ikaja hili la Mchanga wa Madini sasa..akasema UKWELI alipokwenda Bandarini kuwa ni makontena yana dhahabu kwa asilimia zaidi ya 90. Mkurugenzi wa bandari akamuunga mkono Mh. Rais na kuunga mkono UKWELI huo. Mh. Rais ameambiwa UKWELI na wanaosema UKWELI katika kuvumbua sakata hili.

Spika wa Bunge akapitia maeneo ya bandari kwa minajili ya kukariri UKWELI wa Mh. Rais na ni kweli akakutana na UKWELI kutoka kwa Eng. Kakoko juu ya madini kwenye kontena UKWELI aliorithi kwa Rais wangu. Mteule wa Rais tena Prof Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na madini akaamua ku reason kama msomi..alikosea kutaka kuhakiki/kuhoji UKWELI wa Mh. Rais. Alishauri tu kuhakiki kwa kufungua na kufanya vipimo kwa sampuli za makontena yaliyopo hapo bandarini. Kilichotokea kinafahamika japo labda yapo mengine kando kando yaliyosababisha utenguzi wake. Hata hivyo Waziri Mkuu ameshachukua sampuli na uchunguzi unafanyika.

Pia Mh. Rais anautafuta UKWELI kwa kuunda kamati kutafuta huo UKWELI ambao Professor alitaka utafutwe..Nina uhakika UKWELI anaouamini Mh. Rais utapatikana tu kama ulivyokuwa. Na tume ijitahidi ipate UKWELI unaofanana na UKWELI wa Mh. Rais na si vinginevyo. Namtakia kila la heri Mh. Rais katika kuweka mambo sawa na kuupata UKWELI wa mambo meengi ya Tanzania. Msema KWELi ni mpenzi wa Mungu.

Nawasilisha.
Ukweli utakuwa na utabaki kuwa ukweli siyo magumashi ya mzee wa mauwongo anayejiita mpenzi wa Mungu kumbe ni muumini wa mintunga!!
 
Ni kweli anasimamia ukweli pale Mteule wake anapokuwa hana vyeti na anatumia madaraka yake vibaya bado Rais anatenda haki kwa kumuwajibisha mara moja.Tumeliona hili kwa walala hoi tu lakini si kwa wapendwa wake
 
Back
Top Bottom