Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
Magufuli mbele kwa mbele

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimeona huko Kigoma amefungua uwanja mpya wa ndege, barabara za lami kila wilaya, traffic lights huko kasulu, shule na walimu wa kutosha.
Hongera JPM kwa huu kufikia 2019 Kigoma itakuwa jiji maana kufika kwako Kigoma tayari shida zote zimeisha.

Sisemu hoyeeeeee!

Sent using Jamii Forums mobile app

Natamani ungekuwepo hapa Kigoma ujionee hivyo viinimacho unavyovisema.
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
22ee68a42af4f6d85edab2161481164a.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mpiga porojo mwingine huyu hapa, tena ana wadhifa mkubwa sana ndani ya chama cha wahuni na mafisadi.



Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
Kwaiyo ruzuku hawachukui?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.

Miaka 55 Bado Tanzania hata 25% ya eneo lake hakuna Maji safi ya kunywa.

Halafu mijuha mnakuja kutuletea story.Yaani nyie wa kunyongwa tu Majambazi kweli nyie
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
Kama yepi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
Umeandika upuuzi mtu na ukausakaia kwa paragraph ya mwisho ambayo imechafua zaidi kila ulichoandika. MUNGU akurehemu laki utaishi na matokeo ya dhambi zako!
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
Mwambie aruhusu mikutano

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chadema wanadai mikutano tu kwa ajiri ya kupiga maneno na kutafuta platform ya kula ruzuku. Jpm kila anakokwenda anatatua kero na kuzidi kukubalika zaidi mana shauku ya watu ni maji,umeme, barabara n.k ambavyo magufuli siyo tu anaongea bari anatenda.
Leo kgm amesema November kero ya maji itakuwa imeisha sasa chadema wakipeleka mkutano huko si watapigwa mawe tu mana watawajaza watu maneno tu na siasa nyingi.

Chadema badilikeni huu ni mda Wa kazi siyo kuropokaropka tu wananchi wameshachoka kusikia sasa wanataka matendo na jpm ndo MTU sahihi.

Kiki aliyokuja nayo lisu ya ukabila imeshabuma mana viziwi wanaona, viwete wanatembea na vipofu wamepata kuona tena.
Hypocrisy and Rubbish

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Miaka 55 Bado Tanzania hata 25% ya eneo lake hakuna Maji safi ya kunywa.

Halafu mijuha mnakuja kutuletea story.Yaani nyie wa kunyongwa tu Majambazi kweli nyie
Unauhakika na hizo takwimu. Ama na wewe umekurupuka hivyo nawe ni juha mwingine.

Weka chanzo cha takwimu ili usijiunge kwenye kundi la majuha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MUNGU MWENYEZI UZIDI KUMPA NGUVU NA MOYO WA KIZALENDO RAIS WETU MPENDWA.

Rais Dr John Pombe Maguri ni Rais tunaye mpenda sana.
Ni Rais ambaye tumemtafuta kwa muda mrefu sana, mara tu baada ya Baba wa Taifa letu, kututoka. Watanzania wazalendo tuliomba kwa MUNGU atupe Rais Mzalendo, anaye zijali rasilimali za nchi yetu, MUNGU akatujibu.

Tupo tunamwombea Rais wetu usiku na mchana Mungu azidi kumpa ujasiri, na moyo wa kizalendo zaidi katika kuiongoza nchi hii. MUNGU azidi kumpa nguvu zaidi, MUNGU azidi kumlinda zidi ya roho mbaya ambazo zipo kinyume naye. MUNGU azidi kumpa macho ya kuona kila mahali palipo kuwa pameharibiwa na awamu za uongozi zilizo pita. MUNGU azidi kumjaza neema yake ya ajabu Rais wetu.

MUNGU ALIYE ZIUMBA MBINGU NA NCHI, apigane na roho za kisiasa, roho za giza, na kila roho za kigaidi ambazo ziko kinyume na uongozi wa rais wetu. Roho zote za kishetani ambazo ambazo ziko kinyume Bwana Mungu wetu pigana nazo, tunazikataa katika taifa hili katika Jina la Yesu.

Baba katika Jina la Yesu tunakushukuru kwa sababu ya wema wako, na upendo wako ulio tuonyesha sisi kwa kutupatia hitaji la mioyo yetu. Tunakurudishia sasa heshima, utajiri, baraka na utukufu ni vyako wewe. mfalme wa wafalme. AMINA
 
Maguri ndo rais wa nchi gani? Unajua Nyosso alichomfanyia Maguri?? Mchochezi utapimwa mkojo

Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom