jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Nilimaanisha kuwa wazungu hupenda kusifia vya kwao hata kama ni vya kipuuziSijaongelea wazungu, nimeongelea Watanzania.
Hao wazungu wanaweza kukusifia kwa sababu wanakupiga vile vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimaanisha kuwa wazungu hupenda kusifia vya kwao hata kama ni vya kipuuziSijaongelea wazungu, nimeongelea Watanzania.
Hao wazungu wanaweza kukusifia kwa sababu wanakupiga vile vile.
Naona albadir imewaingia...hivi mimi nimeanza kuchangia leo humu jamvini?It's only because you are paid for this so I won't give you a load of blames
That is neither here, nor there.Nilimaanisha kuwa wazungu hupenda kusifia vya kwao hata kama ni vya kipuuzi
Rais anaitwa John Joseph Pombe "Magufuli" mkuu,sio "Makufuli"Nakupongeza sana rais wangu rais wetu rais wa watanzania wote. Umefanya jambo jema sana kwenye madini. Mungu yupo nawe na watanzania tunakuombea sana.
Akili yako Na mtoa mada zinaendana!Post kama hzi akisoma Mange kimambi hata pozi la kugegedwa linamuishia na msaliti aliyeko Nairobi akisoma post kama hii nahsi vidonda vinaanza kuuma upya..duh
Makufuli si nizile za kubania malango!
Kuna Rais anaitwa makufuli,,?
Yaani umemng,ong'a Live alafu mshamba mmoja anakutetea.
Akili yako Na mtoa mada zinaendana!
Ndio maana mnavizia mamod wakilala kuleta vithread uchwara hapa jf
Yaani Kati ya vitu vinavyonifurahishaga ni hawa wanaojiita watu wa lumumba...huwa Ni mazwazwa hawajuagi kujenga hoja kabisa..hivi ukisoma hiyo thread hata mara2 hupati hamu ya kusoma,ukisoma Mara ya kwanza tu inaboaa..hey muwe mnajifunza kujenga hoja ,mtu mwenye akili timamu unajengaje hoja kizembe hivyo, wakati kuna evidence na ushahidi woote kuwa jamaa yako uliyemwita makufuli ni muongo anahadaa wananchi..pande 3 zote yaani barrick Accasia na GoT zimetofautiana kauli..makufuli wako Ni muhuni tu mpiga deal...
Shame on u poor gal
kuwakataa haitoshi wapotezwe kabisa tubaki na watu wa ndioo tu,Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.
Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!
Wapigaji wote, wavivu wote na wazee Wa madili wote watamchukia Magufuli ila mi niseme na niwaombe tu kwamba tumpe support huyu jamaa kiukweli atatufikisha mahali Fulani!
Tuwafichue wote wanapanga kumhujumu (najua wanajulikana), tuwakatae kwani hawana nia njema na taifa letu.
Habari wanaJf, kipindi tunaelekea uchaguzi mkuu mwaka 2015 , kelele nyingi kwa watanzania wengi ilikuwa ni kumpata RAIS mkali na mwenye maamuzi magumu , na hii ilitokana na uongozi wa Rais Kikwete kuonekana kutokuwa sawa katika masuala mbalimbali ya kiuongozi na kuchukua hatua sitahiki juu ya vitendo vya;
Sasa baada ya kumpata Rais Magufuli na ameshaonesha kiu ya wananchi walichokuwa wakihitaji maamuzi magumu na ukali juu ya rasilimali za nchi watu wamegeuka na kusema anakiuka sera , sheria na kiujumla KATIBA ya nchi hii.. Kitu ambacho si kweli !! Sasa mpewe nini watanzania !! Kifupi tumepata hitaji letu!!
- Ufisadi
- Matumizi mabaya ya madaraka
- Rushwa
- Kutowajibika kwa viongozi juu ya tuhuma mbalimbali.
Pambana na hali yako acha kulalama wewe!!
Nasubiri mapovu kutoka kwa waleeeeeeee!!!!
M.J.Kipoma
IRINGA
TANZANIA