Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Atashangaza ulimwengu kwa kuwa binadam wa kwanza kuwahi tokea kuwa kiongozi mkuu wa Malaika
 
Hiyo namba (1) hebu mtuweke list ya viwanda basi tuvijue ....au ndy mafundi cherehani nao inahesabika viwanda,We mashine za kutengeneza juisi za miwa nayo viwanda,wenye blenda majumbani nazo viwanda hebu tuwekeni Sawa Kuhusu Hizo viwanda wana lumumbaaa

Ova
 
Kiufupi sana Mhe Magufuli ni mwafrika wa kipekee mwenye madaraka ya urais anaye waza tofauti sana na marais n.a. raia wengi wa Africa.

Mtu huyu anaenda kuweka rekodi ya kipekee kabisaa ktk mambo yafuatayo:-

1. Kuitoa TZ daraja la chini kwenda la kati kiuchumi KWA ujenzi wa viwanda na biashara zenye uwazi n.a. manufaa KWA taifa pasipo unyonyaji KWA wazawa. Hii itaongeza ajira nchini miaka michache ijayo.

2. Kuweka nidhamu ya kazi na kuongeza ufanisi ktk utumishi wa umma.

3. Kujenga n.a. kuboresha miundombinu mikubwa ya usafiri n.a. uzalishaji umeme nchini.

4. Kuboresha huduma za afya, elimu n.a. maji nchini.

5. Kupunguza matumizi yasiyo n.a. tija serikalini na kuokoa fedha za walipa kodi KWA ujenzi wa taifa

6. Kutimiza ndoto ya kuhamisha makao makuu ya serikali kuwa dodoma.

Kwa haya machache mhe rais wetu amejitofautisha sana na viongozi wengine afrika

Mungu mbariki sana rais wetu mpendwa mpe afya na maisha marefu.

Hata Yesu wa Nazareth alipingwa na baadaye kuuwawa sembuse wewe.

Piga kazi mkuu wabaya mwisho wao huwa ni kuambulia aibu.

mkapi masasi uko wapi, salaam zao, jakayi uko wapi ooo salam zao. mmetutia tabuni nyie watu
 
Kiufupi sana Mhe Magufuli ni mwafrika wa kipekee mwenye madaraka ya urais anaye waza tofauti sana na marais n.a. raia wengi wa Africa.

Mtu huyu anaenda kuweka rekodi ya kipekee kabisaa ktk mambo yafuatayo:-

1. Kuitoa TZ daraja la chini kwenda la kati kiuchumi KWA ujenzi wa viwanda na biashara zenye uwazi n.a. manufaa KWA taifa pasipo unyonyaji KWA wazawa. Hii itaongeza ajira nchini miaka michache ijayo.

2. Kuweka nidhamu ya kazi na kuongeza ufanisi ktk utumishi wa umma.

3. Kujenga n.a. kuboresha miundombinu mikubwa ya usafiri n.a. uzalishaji umeme nchini.

4. Kuboresha huduma za afya, elimu n.a. maji nchini.

5. Kupunguza matumizi yasiyo n.a. tija serikalini na kuokoa fedha za walipa kodi KWA ujenzi wa taifa

6. Kutimiza ndoto ya kuhamisha makao makuu ya serikali kuwa dodoma.

Kwa haya machache mhe rais wetu amejitofautisha sana na viongozi wengine afrika

Mungu mbariki sana rais wetu mpendwa mpe afya na maisha marefu.

Hata Yesu wa Nazareth alipingwa na baadaye kuuwawa sembuse wewe.

Piga kazi mkuu wabaya mwisho wao huwa ni kuambulia aibu.
Hayo ni malengo yake ambayo hajayatimiza na vigumu kuyatimiza hata baba wa taifa JKNyerere alikuwa na fikra pana zenye maslahi na Taifa sana tena sanaaa. Alitaifisha Viwanda,Mabenki,Majumba,Mashamba,Mashule na kila kitu chenye uchumi wa juu alitaifisha na kutukabidhi zikawa ni mali zetu ila mwishowe nch ikatushindaaa chaliii nyan'ganyang'a ndembemdembeee taabaaaani tukajipiga kipigo cha mbwa kokooo. Hata JPM anajitahidi lakini kama tulivyo rushwa imetujaa vichwani ulafo wa mali na ufisadi na uzembe uliokitihri hatafika
 
Ongeza upeo wa kufikiri acha kudang'anywa. CAG yenye mamlaka ya kutathimini alisha tueleza tunajua kila kitu. Wunatuletea mada gani hapa. Viwanda vyenyewe ni porojo.
 
Kiufupi sana Mhe Magufuli ni mwafrika wa kipekee mwenye madaraka ya urais anaye waza tofauti sana na marais n.a. raia wengi wa Africa.

Mtu huyu anaenda kuweka rekodi ya kipekee kabisaa ktk mambo yafuatayo:-

1. Kuitoa TZ daraja la chini kwenda la kati kiuchumi KWA ujenzi wa viwanda na biashara zenye uwazi n.a. manufaa KWA taifa pasipo unyonyaji KWA wazawa. Hii itaongeza ajira nchini miaka michache ijayo.

2. Kuweka nidhamu ya kazi na kuongeza ufanisi ktk utumishi wa umma.

3. Kujenga n.a. kuboresha miundombinu mikubwa ya usafiri n.a. uzalishaji umeme nchini.

4. Kuboresha huduma za afya, elimu n.a. maji nchini.

5. Kupunguza matumizi yasiyo n.a. tija serikalini na kuokoa fedha za walipa kodi KWA ujenzi wa taifa

6. Kutimiza ndoto ya kuhamisha makao makuu ya serikali kuwa dodoma.

Kwa haya machache mhe rais wetu amejitofautisha sana na viongozi wengine afrika

Mungu mbariki sana rais wetu mpendwa mpe afya na maisha marefu.

Hata Yesu wa Nazareth alipingwa na baadaye kuuwawa sembuse wewe.

Piga kazi mkuu wabaya mwisho wao huwa ni kuambulia aibu.
Uko sahihi!!!
Atakumbukwa kwa kujenga miundombinu muhimu kama Wakoloni waliomtangulia, yaani Wajerumani na Waingereza. Wakoloni hao walijenga RELI toka Dar es Salaam kwenda Kigoma, Mwanza, Tanga, Arusha mpaka Voi, nchini Kenya.
Wakoloni walijenga RELI toka Mtwara mpaka Nachingwea.
Lakini Wakoloni hao hao walitunyima UHURU wa kuamua mambo yetu wenyewe!!!!
Pamoja na yote waliyofanya, tuliona kuwa bora tuwe masikini lakini TUKIWA HURU!!
Wapinga UKOLONI, akiwemo BABA WA TAIFA, walikamatwa na POLISI na kupelekwa mahakamani.
Baba wa Taifa na wenzake walinyanyaswa sana lakini hatimaye tukapata UHURU.
Hakika, Rais Magufuli anao uhuru wa kuamua jinsi anavyotaka Watanzania wamkumbuke!
Kwa mwenendo wake wa sasa, tutamkumbuka kwa kujenga Reli ya Kisasa, SGR, kwa kujenga Stiglers Godge, kwa kujenga fly-overs, kwa kujenga makao makuu.
TUTAMKUMBUKA KAMA TUNAVYOWAKUMBUKA WAKOLONI WALIOTUJENGEA RELI NA MELI YA MV LIEMBA!!!!!!!
 
Kiufupi sana Mhe Magufuli ni mwafrika wa kipekee mwenye madaraka ya urais anaye waza tofauti sana na marais n.a. raia wengi wa Africa.

Mtu huyu anaenda kuweka rekodi ya kipekee kabisaa ktk mambo yafuatayo:-

1. Kuitoa TZ daraja la chini kwenda la kati kiuchumi KWA ujenzi wa viwanda na biashara zenye uwazi n.a. manufaa KWA taifa pasipo unyonyaji KWA wazawa. Hii itaongeza ajira nchini miaka michache ijayo.

2. Kuweka nidhamu ya kazi na kuongeza ufanisi ktk utumishi wa umma.

3. Kujenga n.a. kuboresha miundombinu mikubwa ya usafiri n.a. uzalishaji umeme nchini.

4. Kuboresha huduma za afya, elimu n.a. maji nchini.

5. Kupunguza matumizi yasiyo n.a. tija serikalini na kuokoa fedha za walipa kodi KWA ujenzi wa taifa

6. Kutimiza ndoto ya kuhamisha makao makuu ya serikali kuwa dodoma.

Kwa haya machache mhe rais wetu amejitofautisha sana na viongozi wengine afrika

Mungu mbariki sana rais wetu mpendwa mpe afya na maisha marefu.

Hata Yesu wa Nazareth alipingwa na baadaye kuuwawa sembuse wewe.

Piga kazi mkuu wabaya mwisho wao huwa ni kuambulia aibu.

Duh!!!! Jukwaa limevamiwa!!! Mmetumwa????
 
Back
Top Bottom