Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MxiewPamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.
Siamini kabisa kama kuna Mtanzania ana akili futi kiasi hiki khaaaaaaa
Pamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.
Kama wewe sio mpumbavu kaongozwe hama nchi. Ila huyu ndo tunamwamini na tutampa tena urais mpaka achokeHuo upeo wa kuwaongoza labda wapumbavu na maamuma kama wewe na shangazi zako!
Ni wenye vichwa mahiri ndio huona haya.Pamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.
Dinia hii kuna wanao fikiria wanaona kumbe hawatazami. Wayahudi walipo kwisha kumuua Yesu, akili zao zilifunguka na baadhi walisema; HAKIKA HUYU ALIKUWA MWANA WA MUNGU ingawa awali walisema HUYU ANAJIFANYA MWANA WA MUNGU. Kuhusu Magufuli Mimi nadhani watakubali tena si muda mrefu.Pamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.
Wengi wakishakuwaga wapinzani hawaoni jema hata moja, ndo maana utaona kila zuri analofanya lazima litafutiwe kasoroDinia hii kuna wanao fikiria wanaona kumbe hawatazami. Wayahudi walipo kwisha kumuua Yesu, akili zao zilifunguka na baadhi walisema; HAKIKA HUYU ALIKUWA MWANA WA MUNGU ingawa awali walisema HUYU ANAJIFANYA MWANA WA MUNGU. Kuhusu Magufuli Mimi nadhani watakubali tena si muda mrefu.