Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Yatapita tu, kila jema halikosi changamoto. Naamini changamoto tulizonazo zitaisha na nchi itakuwa vizuri baada ya kipindi hiki kigumu cha mpito
 
Ninachoamini wapinzani wengi wanadili na changamoto za kipindi cha mpito, hawaangalii mbele itakuwaje. Kwa wenye akili wanaangalia masilahi ya baadae ya taifa sio ya sasa ya mtu mmojammoja. Ndo maana nikasema japo hajatuongeza hata mshahara najua hana lengo baya ila tu anadili na future nzuri
 
Baba wengi huwa wazuri hata wakiwa na mapungufu yao. Lakini kuna baba wengine huleta matatizo kwenye familia hasa pale anapoanza kuwabagua watoto wake. Sababu huyu kafanana na mimi huyu kafanana na mama yake. Utaona upendo wa waziwazi kwa watoto wengine na chuki kwa wengine wakati yeye ndie baba. Kinacho sikitisha zaidi baba huyu akishakunywa Pombe hutuwekea Magufuli kwenye milango kisa hatujafanana nae.



Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Pamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.
Mxiew
 
Pamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.


Magufuli ni chaguo la Mungu kwetu, tuliteswa sana na marais waliopita. Wote kwa pamoja tumpigie makofi Magufuli, haya tena....makofi ya nguvu jamani.
 
Pamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.
Ni wenye vichwa mahiri ndio huona haya.
 
Pamoja na kuwa hujatuongezea mshahara watumishi, siachi kukushukuru kwa mambo makubwa unayofanya. Naona nchi yetu inapoelekea, tutakuwa mbali sana. Hii miundombinu ya SRG, ndege na miundombinu ya usafiri mijini ni moja ya vitu ambavyo vitatufanya tupate maendeleo ya kasi sana.
Pia serikalini watumishi tumekuwa na nidhamu zaidi ya sector binafsi, pamoja na udogo wa mshahara. Japo kuna changamoto za wakurugenzi baadhi na wakuu wa wilaya ila naamini una mkono mrefu zaidi unajua cha kufanya.
Mwaka 2020 ntakuwa wa kwanza kushuhudia uwezo na nguvu zako, nakuunga mkono 100% raisi wangu. Nakuombea Mungu akupe maisha marefu uweze kudumu, na kutufikisha unapotaka tufike.
Kuna siku wasiokubali watashuhudia ulichofanya.
Viva Magufuli, Viva JPM.
Dinia hii kuna wanao fikiria wanaona kumbe hawatazami. Wayahudi walipo kwisha kumuua Yesu, akili zao zilifunguka na baadhi walisema; HAKIKA HUYU ALIKUWA MWANA WA MUNGU ingawa awali walisema HUYU ANAJIFANYA MWANA WA MUNGU. Kuhusu Magufuli Mimi nadhani watakubali tena si muda mrefu.
 
Dinia hii kuna wanao fikiria wanaona kumbe hawatazami. Wayahudi walipo kwisha kumuua Yesu, akili zao zilifunguka na baadhi walisema; HAKIKA HUYU ALIKUWA MWANA WA MUNGU ingawa awali walisema HUYU ANAJIFANYA MWANA WA MUNGU. Kuhusu Magufuli Mimi nadhani watakubali tena si muda mrefu.
Wengi wakishakuwaga wapinzani hawaoni jema hata moja, ndo maana utaona kila zuri analofanya lazima litafutiwe kasoro
 
Back
Top Bottom