Hili la Membe wanalo sana tu na halijaisha, tena kuanzia mwakani yule mzee hatakuwa anapata usingizi.
Lumumba wakisikia jina la Membe matumbo huwa yanawakata!
Magu mwenyewe anamuhofia sana Membe kwa sababu zilizo wazi kabisa! Anafahamu Membe is far smarter compared to the man himself! I still remember wakati wa Mkutanao Mkuu uliomchagua JPM kama Mwenyekiti jinsi JPM Team ilivyokuwa wanaweweseka!
Tena kipindi kile Membe alikuwa na safari nje ya nchi lakini kuna mtu wake wa karibu akamwambia, fanya uwezavyo lakini make sure unahudhuria Mkutano Mkuu manake usipoonekana, Magu ataona ndo basi, yale yanayosemwa ni kweli ndo maana hata kwenye mkutano mkuu hukuhudhuria!
Membe alivyotimba Dodoma, Team Magu na Magu mwenyewe ikawa inasubiria kuona kura moja ya HAPANA ambayo bila kujali ingekuwa imepigwa na nani, Team Magu (siwazungumzii hawa wapiga makofi wa JF) inge-conclude hiyo ni kura ya Membe ambae hataki kumuona JPM anakuwa mwenyekiti!
Kwa bahati, JPM akashinda kwa 100%, ushindi ambao hata Mwalimu Nyerere sidhani kama alikuwa anaupata!!
Kila nikikaa, huwa nafikiria ni namna maisha ya Membe yatakuwa toward 2020, anywhere from April next year manake kila negative contribution wakati wa Bunge la Bajeti, itaonekana Membe huyo!
I bet, itakuwa ni very embarrasing life from Team Magu ambao hata wakimuona anaingia kanisani tu, wanaamini Membe anaenda kumuomba Mungu JPM asirudi tena madarakani!!!!!
I wish hata huyo Membe mwenyewe aseme "...kama mbwai, mwai tu" ili watu watu waliochoshwa na huu utawala usiojielewa watoe suppor!Tena binafsi nitajitolea kuunda Strategic Online Propaganda Team... msisitizo ukiwa kwenye neno strategic na sio hizi propaganda za kitoto! Tutatumia hata mbinu za SVR RF ambazo ambazo hata FBI na CIA hawataki hata kuzisikia!!!!