Kingkorlar
JF-Expert Member
- Oct 16, 2018
- 875
- 995
Bangi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bila shaka kabisaaISIS?
Ha ha ha umeona walahi nini?ISIS?
Pia mimi walahiNaunga mkono hoja.
Ha ha ha umeona walahi nini?
Bila shaka kabisaa
ISIS?
Umetoroka Milembe hospital
Tutamfanyaje huyo Kikwete? So kuna mahakama ya mafisadi? Tumeshindwa nini?Angalia mafisadi wanavtotapatapa walikuwa wameshageuza nchi kama kijiwe. Money laundering ilikuwa kama ibada.
Yaani siamini mpaka akina kimei wamebanwa mpaka eanatumia pesa walizoiba au walizopata kimagumashi angalau kuwanusulu wenziwe.
Aise kikwete alitaka kuiuza nchi kabisa wala alikuwa hajali ilimradi rafiki zake wanafaidi tu.
Mpaka akina hawa ghasia walifikia hatua ya kudhani hili ni shamba lao peke yao ndo mana hata mme wao alifanya namna yoyote jk amteu kuw barozi nje akale kama ndugu zake wengine walivyokuwa wanakuala.
Angalia akina nape walivyokuwa wanafaidi korosho kupitia migogo ya wakulima na hakuna aliyekuwa anajali
Budyanhulu wachimbaji adogowadogo walikuwa wanafunikwa na kufia shimoni mamia kwa maelfu wala hakuna aliyekuwa anajali hata jk mwenyewe vilikuwa havimuhusu. Saaa amepatikana wa kuwatetea.
Ilifika mpaka kagame anakuja kuua hapahapa nchini lakini hakuna aliyekuwa anajali mfano ni mauaji ya prof mwaikusa wa udam kagame alimfata hukuhuku akamuua. Sasa hivi thubutu uone jeshi liko imara kwelikweli na rais yuko imara
ISI Might be crazyWewe ndio uliye toroka, na kuiba simu walahi
Poa mdada naona mapambano yanaendeleaMamboz?
Niambie?
Maulid njema !