Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati ndani ya miaka 3 Magufuli amenunua ndege ambazo impact yake ni maajaliwa ya Mwenyezi Mungu, aliyemtangulia ndani ya miaka 3 tayari kulikuwa na wanafunzi wa mwaka kwanza UDOM...Hakika Rais Magufuli ana uthubutu ambao sijawahi ona...
Kila nikitafakari amewezaje kuyafanya haya kwa muda mchache hivi, tena kwa fedha zetu wenyewe naona watangulizi wake walikiwa wazinguaji sana...
Hapo bado 8 ways, stigler gorge na SGR. Hakika Mungu ampe maisha marefu Rais wetu
Mkuu JokaKuu,..tangu tununue ndege tumepata FAIDA kiasi gani?
..au tangu tununue ndege serekali imetoa RUZUKU kiasi gani kwa ATCL?
..Je, CAG atatupa majibu ktk taarifa yake inayokuja?
Au atazuiwa kukagua mahesabu ya ATCL?
Cc chige
😀😀😀
Orodhesha na waliouawa/walioonewa etc kwa utawala wake. Ukimaliza hili kulijibu, then come again tujadili yote kwa pamojaHasa kwenye mitandao, kuanzia "Shangazi", Miss Sarungi, Miss Ndosi, TLS (ndio), na "the so called" wanaharakati wa "Demokrasia" pamoja na vyama karibu vyote vya ukinzani wanakereka wakikusikia unayapenda na kuyazungumzia mambo haya mazuri, rais wetu JP Magufuli anayofanya, wanakunyamazisha kistaarabu kwa kuongelea swala la uhuru wa habari na demokrasia nchini, wale wachache wasiokuwa na hoja watakimbilia matusi ya kutisha!
Ila JPM hasa kafanya nini? Wanachama wake wanadai kwa miaka 3 tu chini ya utawala wake..
Lakini bado tunalalamika! Hasa swala la demekorasia, wakati TZ tofauti na nchi zingine kadhaa kuna makampuni ya magazeti yasiyopunguwa 200 na vituo vya radio na TV pia visivyopunguwa 200! Uo uhuru wa demekrasia hasa na kujieleza tunaoulalamikia ni upi?!
- Kwa kuondoa wafanyakazi hewa na wenye vyeti feki, amelinusuru Taifa kuibiwa na wale wajanja Bilioni 378...
- Amepunguza kwa kiwango kikubwa rushwa iliyokuwa imetawala kwenye kila sekta nchini...
- Kajitahidi kuisafisha TRA...kwa kufukuza na kuwashtaki wahusika...
- Kajitahidi kulinda rasilimali na maliasili zetu...
- Migodi iliyokuwa ikiingiza Bilioni 300 huko nyuma kwa kipindi cha miaka 10 sasa imeingiza Bilioni 194 kwa 2017/18 tu!
- Amepunguza sana ile misafara iliyokuwa haina tija huko na kuokoa mabilioni..
- Huko nyuma kabla ya utawala wake, mapato ya kodi kwa mwaka yalikuwa Trilioni 9, ila sasa yamefikia Trilioni 14!
- Amekaribisha wawekezaji nchini wasiopunguwa 3000!
- Amelifufua shirika la ndege (ATCL) na kununua ndege zisizopunguwa 9!
- Na kwa sasa serikali yake inawekeza siyo chini ya $62m kwa ajili ya bajeti hiyo kila mwaka!
- Tukiingia kwenye miundo mbinu ndiyo usiseme...
- SGR
- Kilometa 19.2 barabara ya Kimara...
- Serikali yake imesaini mkataba kwa kuzalisha umeme Fufiji (HEP) plant ambao unategemea kuzalisha 2,115!
- Ufunguzi wa ujenzi wa daraja la Tanzanite..
- Uwanja wa ndege (Terminal 3)..
- Barabara kem kem na madaraja ya kufa mtu...
we kipengele gani kinakuuzio sana kwenye katiba ya zamani tuanzie hapo kwanzaAtupatie katiba mpya itafanya hata tusio mpenda tumpende maana hii ya 1977 ni jipu.