Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Huyu mama hua nafatilia makala zake, lakini nimegundua kitu ...."anatumiwa".

Yaan ni speaker kama alivo Musiba

Hakuna mtu serious atakaeshindwa kuona kuwa anatumiwa na serikali ya jiwe. Kwa nini "makala" zake zote ziwe za kumsifu Magufuli? I have no problem kwa mtu kumsifia Magufuli, but you would expect balanced documentaries featu
Lakini viwavi jeshi wa ufipa watakwambia hawaoni faida ya ndege

Tuambie wewe faida ya ndege. Na utoe takwimu ambazo zinaweza kuwa verified.
 
Tunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Kwani mkopo sio fedha zetu.? Ukikopa benki ujajenga nyumba hiyo nyumba unakuwa umejenga wewe au imejenga benki. Kuna tofauti ya msaada na mkopo ambao unaulipa.

Mpaka useme umejenga kwa fedha ni pale utakapomaliza mkopo. Je usipomaliza mkopo itakuwaje? Tuache ufafanuzi huo, yeye lengo lake ni kuonyesha tumejenga kwa fedha zetu kutoka makusanyo ya kodi kutokana na uchumi kukua kwenye awamu yake, jambo ambalo si kweli.
 
Nimegundua ID ya jiwe mahali sasa kwa anayeihitaji aniambie ili muwe munafikisha habari moja kwa moja
 
Hakuna mtu serious atakaeshindwa kuona kuwa anatumiwa na serikali ya jiwe. Kwa nini "makala" zake zote ziwe za kumsifu Magufuli? I have no problem kwa mtu kumsifia Magufuli, but you would expect balanced documentaries featu


Tuambie wewe faida ya ndege. Na utoe takwimu ambazo zinaweza kuwa verified.
Mbona akina Zitto and co kila siku wanamponda Magufuli? Kwanini makala or issue zote ni kumponda Magufuli? Don't you expect balance on that?
 
Tulikuwa tukiomba na kusali kuwa tanzania inatakiwa apatikane rais shupavu, mkali asiyecheka na nyani,mwenye kau dictator hivi n.k tulitaka sana rais wa hivyo.

Hatimaye maombi yetu yamejibiwa amepatikana na tayari anafanya yale ambayo tulikuwa tukitaka yafanywe.hayumbishwi,hatishwi,hatetemeshwi. Anachapa kazi hajui kuuma uuma maneno.

Koleo anaita kolea na kijiko anaita kijiko. Watanzania tunataka nini tena?turudi nyuma kwenye biashara za madawa ya kulevya na kudanga? Hapana. Kamwe tusirudi huko.

Dr. Magufuli kamua baba, kamua...
Tanzania ya viwanda imefikia wapi? Kwenu vimejengwa vingapi?
 
Mbona akina Zitto and co kila siku wanamponda Magufuli? Kwanini makala or issue zote ni kumponda Magufuli? Don't you expect balance on that?

Hebu naomba urudie kusoma nilichoandika. It is one thing Zitto kuandika anavyoandika na huyu mama makala zake is another (na nikitoa maoni yangu juu alichoandika nitajikita kwa alichoandika yeye Zitto sio mtu mwingine yeyote yule).
Btw; how can you see a balance in an already skewed situation?
 
Tulikuwa tukiomba na kusali kuwa Tanzania inatakiwa apatikane rais shupavu, mkali asiyecheka na nyani,mwenye kau dictator hivi n.k tulitaka sana rais wa hivyo.

Hatimaye maombi yetu yamejibiwa amepatikana na tayari anafanya yale ambayo tulikuwa tukitaka yafanywe.Hayumbishwi,hatishwi,hatetemeshwi. Anachapa kazi hajui kuuma uuma maneno.

Koleo anaita kolea na kijiko anaita kijiko. Watanzania tunataka nini tena?turudi nyuma kwenye biashara za madawa ya kulevya na kudanga? Hapana. Kamwe tusirudi huko.

Dr. Magufuli kamua baba, kamua...
kweli maana hata wakulima wa KOROSHO mpaka leo kawauma
 
Sasa hivi wadangaji wanapakuliwa haya kwa buku 2000,enzi zile wa chini kabisa bila ishirini elfu utabaki kuwaita mashemeji tu.

Kaheshima kwa sasa walau kapo kileleni ki-pierre liquid.
Utakuwa unakaa uswahilini. . Ushuani wanapewa mandinga kama kawa
 
Ulitaka asisifiwe? Binafsi namsifu naenda Mwanza kesho narudi Alhamisi kwa 384,000 (non-stop, ATC), wakati Precision Air 700,000 (masaa 6 kupitia Kilimanjaro). Kwa nn nisimsifu?
Wewe binafsi unaenda mwanza unarudi, majority waliotoa pesa zao hawaifaidi. Serikali inayotoa huduma inayowanufaisha watu wachache at expenses of others ni gansger government.

Wewe unafurahia kwenda mwanza na kurudi huku watu hawana madawa wala vipimo, kipimo cha dengue tu ni tatizo wewe unafurahia kupanda ndege ambayo imenunuliwa na watu ambao hata hela ya panado hawana. Huo ni utaahira.
 
Tunajenga kwa fedha zetu wenyewe. Kwani mkopo sio fedha zetu.? Ukikopa benki ujajenga nyumba hiyo nyumba unakuwa umejenga wewe au imejenga benki. Kuna tofauti ya msaada na mkopo ambao unaulipa.
Siku benki wakija piga mnada hiyo nyumba ndio utajua si yako...
Kuna methali hizi...
Mtumai cha ndugu...
Mchelea mwana kulia...
Ukiona zinduna...
Mzoea udalali...
Akipendae chongo...
Mwisho ni USIPOZIBA UFA....
 
Jambo pekee ambalo mimi napongeza ni ile hali ambayo imesababisha wale wananchi wenye upeo mdogo wa kufikiri kuanza sasa kutumia ubongo kufikiri badala tumbo kama ilivyozoweleka.Namaanisha kuwa hatudanganyiki,bali tunahitaji dira ya taifa na si mbwembwe.
 
Back
Top Bottom