Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mkuu nimeona nikukumbushe uzidi kukaza buti,kama ni dawa imewaingia kisawasawa,kwa sasa wanatapatapa tu.

Kazi ulioifanya ndani ya miaka minne kwa taifa hili ni ya kutukuka ,haiitaji tochi kuiona.

Mafanikio ya serikali yako ya awamu ya tano, kila nyanja yanonekana. Kwa uchache ni ,Afya,elimu,miundo mbinu,nk, ni mengi mazuri
Piga kazi kwa speed ileile na ikibidi ongeza speed,
Wewe ndie Amiri jeshi mkuu,katiba imekupa mamlaka kiutendaji,itendee haki Tanzania hii yenye utajiri mkubwa kila siku inaitwa maskini.
Sisi sio maskini,tulikosa usimamizi mzuri wa raskimali zetu,wewe umepatikana,simamia kwa nguvu zote.

Kuna kakikundi flani kanajaribu kukuzuia kufanya kazi,kakishirikiana na baadhi ya wakoloni wapuuzi.haka kakikundi kashughulikiwe ipasavyo bila huruma.

Ili taifa lisonge ni lazima wengine wachache waumie ,iko hivyo duniani kote,(especially puppets),sisi sio wa kwanza .

Haiwezekani wakatokea watanzania wachache ambao wako kimaslahi zaidi, kazi yao ni kuipaka nchi matope kila uchao wachekewe kisa wana mahusiano na waingereza na wamarekani,washughulikiwe tu,hata hizo nchi wanazozishitakia zimewaadhibu watu wa aina hii kwa tabia kama hizi tunazoziona hapa nchini.
Mbaya zaidi wanakua bias,kana kwamba nchi hii hakuna mazuri yanayofanyika wakayatangaza.

Mwisho, fanya yaliomema kwa maendeleo ya watanzania ,kwani lawama hazikosi popote pale,hakikisha unawapa watanzania walio wengi furaha kwa kuwaletea maendeleo,achana na hawa wachache wachumia tumbo,ambao wamejikita mitandaoni kufarijiana
[/QUOTE
Hawez kukubal ushaùr huu wa kihuni ni kipumbavu .Mazombie wa Lumumba mnafikiri ule ni waraka wa Kinana na makamba
 
Mkuu nimeona nikukumbushe uzidi kukaza buti,kama ni dawa imewaingia kisawasawa,kwa sasa wanatapatapa tu.

Kazi ulioifanya ndani ya miaka minne kwa taifa hili ni ya kutukuka ,haiitaji tochi kuiona.

Mafanikio ya serikali yako ya awamu ya tano, kila nyanja yanonekana. Kwa uchache ni ,Afya,elimu,miundo mbinu,nk, ni mengi mazuri
Piga kazi kwa speed ileile na ikibidi ongeza speed,
Wewe ndie Amiri jeshi mkuu,katiba imekupa mamlaka kiutendaji,itendee haki Tanzania hii yenye utajiri mkubwa kila siku inaitwa maskini.
Sisi sio maskini,tulikosa usimamizi mzuri wa raskimali zetu,wewe umepatikana,simamia kwa nguvu zote.

Kuna kakikundi flani kanajaribu kukuzuia kufanya kazi,kakishirikiana na baadhi ya wakoloni wapuuzi.haka kakikundi kashughulikiwe ipasavyo bila huruma.

Ili taifa lisonge ni lazima wengine wachache waumie ,iko hivyo duniani kote,(especially puppets),sisi sio wa kwanza .

Haiwezekani wakatokea watanzania wachache ambao wako kimaslahi zaidi, kazi yao ni kuipaka nchi matope kila uchao wachekewe kisa wana mahusiano na waingereza na wamarekani,washughulikiwe tu,hata hizo nchi wanazozishitakia zimewaadhibu watu wa aina hii kwa tabia kama hizi tunazoziona hapa nchini.
Mbaya zaidi wanakua bias,kana kwamba nchi hii hakuna mazuri yanayofanyika wakayatangaza.

Mwisho, fanya yaliomema kwa maendeleo ya watanzania ,kwani lawama hazikosi popote pale,hakikisha unawapa watanzania walio wengi furaha kwa kuwaletea maendeleo,achana na hawa wachache wachumia tumbo,ambao wamejikita mitandaoni kufarijiana
Well said mkuu na wenye masikio na wasikie hasa hao vibaraka wa mabeberu. Mh. Rais yeye aendeleee kupiga kazi atuachie sisi hawa vibaraka tunawamudu hasa wa hapa JF.
 
ujenzi wa Chato International Airport pesa zake zilipitishwa kwenye budget ipi labda kwa mfano??

Tuanzie hapo kwanza.
 
Na Emmanuel Shilatu

*A: UADILIFU*
1. Mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.

2. Wanaotuhumiwa kwa ufisadi Papa na ulaji rushwa wamepandishwa Mahakamani

3. Ameimarisha uwajibikaji, uadilifu na uchapa kazi kwa Watumishi wa umma nchini.

4. Kufufua Mashirika ya umma yaliyokuwa taabani. Mfano shirika la ndege, shirika la simu.

5. Amefanya uchunguzi wa rasilimali za Taifa na kuweka makubaliano mapya kwenye sekta ya madini.

6. Amedhibiti madawa ya kulevya.

7. Tembo na Faru wameongezeka kuashiria kupungua kwa biashara ya nyara za Serikali.

8. Ameimarisha mahusiano mazuri na nchi jirani.

9. Ameweka uwazi wa taarifa na udhibiti wa rasilimali za Taifa.

*B: UZALENDO*
1. Elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari

2. Kupunguza uwepo wa matabaka ndani ya jamii.

3. Ujenzi wa mradi mkubwa wa Mto Rufiji wa kuzalisha umeme zaidi ya Megawatts 2115.

4. Kudhibiti matumizi ya hovyo ya fedha na fedha kuelekezwa zaidi kwenye miradi ya kimaendeleo.

5. Kusimama ukusanyaji na matumizi sahihi ya kodi. Makusanyo yameongezeka kutoka Tsh. Bilioni 800 hadi kufikia Tsh. Trilioni 1.3 kwa kila mwezi.

6. Kudhibiti vyeti feki na mishahara hewa na kubaki historia nchini.

7. Ameimarisha UZALENDO nchini.

8. Amerudisha mashamba na viwanda vilivyobinafsishwa na havikuendelezwa.

9. Amedhibiti usafirishwaji wa makinikia na hayaendi kuchenjuliwa tena nje.

*C: UCHAPA KAZI*
1. Serikali kuhamia Dodoma

2. Ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme ya SGR

3. Ujenzi wa viwanda vipya zaidi ya 3000.

4. Uimarishwaji wa amani na Uhuru wa kidemokrasia ndani ya nchi. Mathalani Umoja wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Magufuli kudumisha amani na usalama ndani na nje ya nchi.

5. Amesimamia vyema ukuaji wa uchumi uliokuwa na kufikia 7.1%

6. Ujenzi wa vituo vya afya kila kata na ujenzi wa Zahanati kila kijiji.

7. Amedhibiti maandamano ya kisiasa na ya kijamii (Mf. Wanafunzi, Madaktari) na sasa yamebaki historia.

8. Amenunua ndege mpya 6 za kisasa na Leo hii ATCL imefufuka inachanja anga za kitaifa na kimataifa.

9. Ujenzi wa flyover ya Tazara na interchange ya Ubungo.

Itaendelea ...

*Na Shilatu E.J*
IMG-20190817-WA0125.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua maana ya Mwamba wa Africa?

Jiwe is not Kelvin, he is John with Jiwe characters behind the scene!

Sema hiv Jiwe ni mwamba wa chato!
 
Watoto, wajukuu wa mafisadi au mafisadi wenyewe watakuja kupinga mirija imekatwa hakuna tena na hata tokea kama Magufuli ni mpango wa mungu
 
Tatizo lake kubwa ni kuruhusu vyombo vya dola kuwatoa roho na kuwatesa wanaomkosoa pale anapokosea..Akubali tu yeye ni mwanaadamu ana sifa ya kukosea
 
UPUUZI MTUPU! mwizi, mzinzi, muongo, fisadi, mbadhirifu, mtekaji, mtesaji, mbambakiaji kesi FAKE na MUUAJI. Mtu hatari sana kwa mshikamano na amani ya Watanzania na janga kubwa la Taifa.

Na Emmanuel Shilatu

*A: UADILIFU*
1. Mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.

2. Wanaotuhumiwa kwa ufisadi Papa na ulaji rushwa wamepandishwa Mahakamani

3. Ameimarisha uwajibikaji, uadilifu na uchapa kazi kwa Watumishi wa umma nchini.

4. Kufufua Mashirika ya umma yaliyokuwa taabani. Mfano shirika la ndege, shirika la simu.

5. Amefanya uchunguzi wa rasilimali za Taifa na kuweka makubaliano mapya kwenye sekta ya madini.

6. Amedhibiti madawa ya kulevya.

7. Tembo na Faru wameongezeka kuashiria kupungua kwa biashara ya nyara za Serikali.

8. Ameimarisha mahusiano mazuri na nchi jirani.

9. Ameweka uwazi wa taarifa na udhibiti wa rasilimali za Taifa.

*B: UZALENDO*
1. Elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari

2. Kupunguza uwepo wa matabaka ndani ya jamii.

3. Ujenzi wa mradi mkubwa wa Mto Rufiji wa kuzalisha umeme zaidi ya Megawatts 2115.

4. Kudhibiti matumizi ya hovyo ya fedha na fedha kuelekezwa zaidi kwenye miradi ya kimaendeleo.

5. Kusimama ukusanyaji na matumizi sahihi ya kodi. Makusanyo yameongezeka kutoka Tsh. Bilioni 800 hadi kufikia Tsh. Trilioni 1.3 kwa kila mwezi.

6. Kudhibiti vyeti feki na mishahara hewa na kubaki historia nchini.

7. Ameimarisha UZALENDO nchini.

8. Amerudisha mashamba na viwanda vilivyobinafsishwa na havikuendelezwa.

9. Amedhibiti usafirishwaji wa makinikia na hayaendi kuchenjuliwa tena nje.

*C: UCHAPA KAZI*
1. Serikali kuhamia Dodoma

2. Ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme ya SGR

3. Ujenzi wa viwanda vipya zaidi ya 3000.

4. Uimarishwaji wa amani na Uhuru wa kidemokrasia ndani ya nchi. Mathalani Umoja wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Magufuli kudumisha amani na usalama ndani na nje ya nchi.

5. Amesimamia vyema ukuaji wa uchumi uliokuwa na kufikia 7.1%

6. Ujenzi wa vituo vya afya kila kata na ujenzi wa Zahanati kila kijiji.

7. Amedhibiti maandamano ya kisiasa na ya kijamii (Mf. Wanafunzi, Madaktari) na sasa yamebaki historia.

8. Amenunua ndege mpya 6 za kisasa na Leo hii ATCL imefufuka inachanja anga za kitaifa na kimataifa.

9. Ujenzi wa flyover ya Tazara na interchange ya Ubungo.

Itaendelea ...

*Na Shilatu E.J*View attachment 1183392

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sifa tatu za kokoto
1. Kujengea vyoo
2. Kujengea kuta
3. Kujengea barabara
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Na Emmanuel Shilatu

*A: UADILIFU*
1. Mapambano dhidi ya rushwa na ufisadi.

2. Wanaotuhumiwa kwa ufisadi Papa na ulaji rushwa wamepandishwa Mahakamani

3. Ameimarisha uwajibikaji, uadilifu na uchapa kazi kwa Watumishi wa umma nchini.

4. Kufufua Mashirika ya umma yaliyokuwa taabani. Mfano shirika la ndege, shirika la simu.

5. Amefanya uchunguzi wa rasilimali za Taifa na kuweka makubaliano mapya kwenye sekta ya madini.

6. Amedhibiti madawa ya kulevya.

7. Tembo na Faru wameongezeka kuashiria kupungua kwa biashara ya nyara za Serikali.

8. Ameimarisha mahusiano mazuri na nchi jirani.

9. Ameweka uwazi wa taarifa na udhibiti wa rasilimali za Taifa.

*B: UZALENDO*
1. Elimu bure kuanzia shule ya msingi mpaka sekondari

2. Kupunguza uwepo wa matabaka ndani ya jamii.

3. Ujenzi wa mradi mkubwa wa Mto Rufiji wa kuzalisha umeme zaidi ya Megawatts 2115.

4. Kudhibiti matumizi ya hovyo ya fedha na fedha kuelekezwa zaidi kwenye miradi ya kimaendeleo.

5. Kusimama ukusanyaji na matumizi sahihi ya kodi. Makusanyo yameongezeka kutoka Tsh. Bilioni 800 hadi kufikia Tsh. Trilioni 1.3 kwa kila mwezi.

6. Kudhibiti vyeti feki na mishahara hewa na kubaki historia nchini.

7. Ameimarisha UZALENDO nchini.

8. Amerudisha mashamba na viwanda vilivyobinafsishwa na havikuendelezwa.

9. Amedhibiti usafirishwaji wa makinikia na hayaendi kuchenjuliwa tena nje.

*C: UCHAPA KAZI*
1. Serikali kuhamia Dodoma

2. Ujenzi wa reli ya kisasa ya umeme ya SGR

3. Ujenzi wa viwanda vipya zaidi ya 3000.

4. Uimarishwaji wa amani na Uhuru wa kidemokrasia ndani ya nchi. Mathalani Umoja wa Mataifa (UN) umempongeza Rais Magufuli kudumisha amani na usalama ndani na nje ya nchi.

5. Amesimamia vyema ukuaji wa uchumi uliokuwa na kufikia 7.1%

6. Ujenzi wa vituo vya afya kila kata na ujenzi wa Zahanati kila kijiji.

7. Amedhibiti maandamano ya kisiasa na ya kijamii (Mf. Wanafunzi, Madaktari) na sasa yamebaki historia.

8. Amenunua ndege mpya 6 za kisasa na Leo hii ATCL imefufuka inachanja anga za kitaifa na kimataifa.

9. Ujenzi wa flyover ya Tazara na interchange ya Ubungo.

Itaendelea ...

*Na Shilatu E.J*View attachment 1183392

Sent using Jamii Forums mobile app
Watakuja wale jamaa wa ufipa street watakwambia uende ukachukue buku saba pale Lumumba.

Yaani yote hayo uliyoyaandika thamani yake ni malipo ya shilingi elfu saba tu!.
 
Back
Top Bottom