Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Nampongeza JPM kwenye sekta ya afya. Vituo vingi vya afya vizuri vimejengwa mpaka vijijini.Kwahili mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.
Nakichukulia sekta ya afya kama jwtz kwa unyeti wake kwasababu Paramount goal yake ya kwanza ni kulihami taifa kwenye kipindi cha madhila.
Kwahili la afya Kongole mzee baba.
Superbug.
Nakichukulia sekta ya afya kama jwtz kwa unyeti wake kwasababu Paramount goal yake ya kwanza ni kulihami taifa kwenye kipindi cha madhila.
Kwahili la afya Kongole mzee baba.
Superbug.