Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

Ilivoingia kolona watu walimlaumu sana wakataka tuwekwe lock down ,JPM akakataa mipumbavu na malofa wakalaumu sana ,Leo hii kila mtu anamsifia Hadi mataifa ya nje huko, angalia mafanikio aliyoyaleta pombe ni mengi ,hatukuwai zania tungeamia Dom ,Leo tuko Dom na tumezoea, reli ya mwendo kasi inakalibia kuisha na bwawa la umeme limeisha

Kila wilaya Ina hospitali ya kisasa mtake nini Tena nyie malofa ,angalia Mbagala mwendo kasi huo, soko kubwa Afrika Mashariki lipo Dom, stendi kubwa kuliko yote Tanzania iko Dom, jpm ni dume la madume, msipomuelewa mtamuelewa tu.

FB_IMG_15911778319887096.jpg
 
Sihitaji ushawishi ktk kampeni zake tayari matendo yake aliyo yafanya ktk nchi yangu yametosha kunishawishi,
 
Hkika kwa miundo mbuni na majengo ya Serikali yanayojengwa, ujenzi vituo vya afya nchi nzima na mengine mengi mimi namsifu sanaaa

Changamoto ni hizi kutokutaka wasiseme wanayo yaona,utekwaji wa wannchi yani hizi caro hapana anatakiwa kuzijibu

Haina maana nakubali awe rais wa milele hapana apge ten ikiisha asepe chato.
 
Nimewaangalia watia nia wa CHADEMA ambao ndio chama kikuu cha upinzani sijamuona yoyote mwenye uwezo wa kuleta maendeleo kama Rais Magufuli.

Hivyo vyama vingine vya upinzani ndio bure kabisa sidhani kama wataweza kusimamisha wagombea.

Nimepitia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM na mpango wa maendeleo wa miaka 5, niseme tu watanzania walifanya maamuzi sahihi ya kumchagua Rais Magufuli na kiukweli tunapaswa kumpa 5 tena na anastahili.

Maendeleo hayana vyama!
 
Nimewaangalia watia nia wa Chadema ambao ndio chama kikuu cha upinzani sijamuona yoyote mwenye uwezo wa kuleta maendeleo kama Rais Magufuli.

Hivyo vyama vingine vya upinzani ndio bure kabisa sidhani kama wataweza kusimamisha wagombea.

Nimepitia utekelezaji wa ilani ya uchaguzi ya CCM na mpango wa maendeleo wa miaka 5, niseme tu watanzania walifanya maamuzi sahihi ya kumchagua Rais Magufuli na kiukweli tunapaswa kumpa 5 tena na anastahili.

Maendeleo hayana vyama!

#MitanoYaUshindi
 
Binafsi nimefurahishwa na kasi ya Rais Dkt. Magufuli. Naamini wapo pia wengi wanaoungana nami katika furaha hii. Rais Magufuli ameanza kwa kasi ambayo kama ataimaintain, Tanzania haimalizi miaka mitano itakuwa tayari ni nchi yenye kipato cha kati.

Hata hivyo wapo baadhi yetu ambao wanakejeli kasi hiyo. Hao kwangu ni watu waliozoea ubwete na bora liende!. Wanamwona Magufuli kuwa ni mtu atakayekuwa kauzibe kwao!...
Wewe ndiye uliyezihesabu kura!
 
Jamani tuongeezi ukweli Tanzania kwa sasa imepiga hatua sana kimaendelea,ukweli lazima usemwe hata kwa macho tunaona ,mabarabara,elimu bure,umeme Wa uhakika,nidhamu,huu ndo ukweli

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
 
Leo yataongea matukio ambayo ni matunda ya kua na mtu Kama Rais wetu Dunian Dr John pombe magufuli

Inauma Ila itabidi mzoee [emoji1787]


Hongera kwake Mh Rais MagufuliView attachment 1459910View attachment 1459911View attachment 1459912View attachment 1459913View attachment 1459914View attachment 1459915View attachment 1459916View attachment 1459917View attachment 1459918

Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani tuongeezi ukweli Tanzania kwa sasa imepiga hatua sana kimaendelea,ukweli lazima usemwe hata kwa macho tunaona ,mabarabara,elimu bure,umeme Wa uhakika,nidhamu,huu ndo ukweli

Sent from my TECNO LA6 using JamiiForums mobile app
Jamani mm nampenda Magu kwa baadhi ya mambo anavyo deal nayo lakini vingne nakataa anavyo deal navyo .Suala la elimu mm nilidhani ndoo raisi pekee atakae okoa hii elimu yetu iliyopoteza muelekeo na kufa kabisaa na yeye amekuja kuimalizia kabisaaaaa.Sisi hatuhitaji elimu bure wala elimu bila malipo sisi tunahitaji elimu bora inayoenda na wakati yenye kututoa hapa tulipo na kutusogeza mbele.Hivi huyu raisi kama kweli anawapenda wanyonge kwani asitazame hao watoto wa wanyonge wanaomaliza vyuo vikuuu na vyuo vya kati wanyvokosa ajira za kuajiriwa na kuanza kutanga tanga na kupeleka umaskini katika familia zao? Hapo ndoo angekuja na suluhisho la elimu itakayotolewa kuwasaidia hao watoto wa wanyonge.
 
Tumemuomba Mungu sana atupe Rais na Mungu kajibu maombi yetu! Kwa mtazamo wangu kwa kazi ambazo Rais Magufuli anazifanya, nawaombeni watanzania Rais Magufuli atawale mpaka achoke, haina haja kuwa na uchaguzi wa Rais, tuwe na uchaguzi wa wabunge, na madiwani, tuwe kama China.

Note: Mimi ni mpinzani kweli kweli, ila nilikuwa napinga maovu haliyokuwa yanafanywa na viongozi wa nyuma, ila kwa sasa sina cha kupinga jamani, kila kitu kinafanywa lazima niunge juhudi hizi. Magufuli nakukubali toka moyoni na sio tu kukubali nakuombea sana, ww una vyitu hivyi ambavvyo Hamna kiongozi duniani anavyo

1: Wewe una hofu na Mungu
2: Huna upendeleo kwenye kuteua na kutengua
3: Unakiishi ulichokiapa
4: Unasimamia maamuzi yako
5: Unasimamia rasili Mali za Watanzania kikamilifu
6: Huna majivuno
7: Una utu sana
8: Unasimamia haki
9: Una maono ya mbali sana
10: Una upendo sana Rais wetu

We love u sana!
 
Back
Top Bottom