Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hakuna memaTunaomba uandike na mema yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna memaTunaomba uandike na mema yake
Urithi auhadisiwi au kulazimishwa uridhi unajionyesha ndugu vp msimamo wa korona vp kuhusu kuita wazungu mabeberuMsemaji mkuu wa serikali bwana Gerson Msigwa amesema kazi inaendelea kila kona na miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na hayati rais Magufuli inaendelea kujengwa kama ilivyopangwa.
Msigwa amesema rais Samia ameidhinisha billioni 371 kwenda kuanza ujenzi wa SGR mkoani Mwanza kuelekea Isaka mkoani Shinyanga.
My take:
Hao walioapa kuuwa legacya ya Magufuli wameshindwa? Inakuwaje miradi yote bado inaendelea kujengwa tena kwa kasi zaidi?
Ukitweza utu wa mtu kama wewe unajipa laana.Tunaomba uandike na mema yake
Wewe ulitwezwa utu wako kwa kulalwa?Ukitweza utu wa mtu kama wewe unajipa laana.
Utu wa mtu hauwezi kufananishwa na mfugale flyover au ubungo.
Utu wa mtu hauna ghalama ya kuilinganishia.
Jiweke kwenye viatu vya unaemuonea ndipo utajua kuwa unafanya dhambi kubwa sana.
Kama unapenda watu wako huwezi waonea.
Kwani uko lockdown ?Urithi auhadisiwi au kulazimishwa uridhi unajionyesha ndugu vp msimamo wa korona vp kuhusu kuita wazungu mabeberu
Tulia dawa ikuingie mlamba viatu wa mboweWakati huo huo waramba miguu kama nyinyi na genre lenu hovu mnaendelea kusakwa na kutupwa lupango kama sabaya
Legacy ya tutashitakiwa MIGA vipiLegacy ya awamu ya 5 ni kufungua na kuweka mawe miradi iliyo kwisha kufunguliwa au kuwekwa mawe
Hukumu ishatokewa na covidLegacy ya tutashitakiwa MIGA vipi
Baada ya kumkamata Sabaya sasa zamu ni ya kukuska weweTulia dawa ikuingie mlamba viatu wa mbowe
Hata shetan ana mema yake mzee.Hakuna mema
Siwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.Ukitweza utu wa mtu kama wewe unajipa laana.
Utu wa mtu hauwezi kufananishwa na mfugale flyover au ubungo.
Utu wa mtu hauna ghalama ya kuilinganishia.
Jiweke kwenye viatu vya unaemuonea ndipo utajua kuwa unafanya dhambi kubwa sana.
Kama unapenda watu wako huwezi waonea.
Labda mashetani wenzakeHata shetan ana mema yake mzee.
Utakuwa ni shetani mwenzakeSiwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.
wewe km nani wakati tumebamizwa pesa zetu na Task force, watu wamepoteaTunaomba uandike na mema yake
wewe km nani wakati tumebamizwa pesa zetu na Task force, watu wamepoteaTunaomba uandike na mema yake
kitu kimepita ACHENI kipotee hatutaki hata katika Historia makosa aliyafanya JK hakumjua yeye na kabila lake km atabeba na kutuachia mizigo hiiSiwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.
Mungu akubariki sanaSiwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.
Wacha kabisa kutukashifu we Muha chunga mdomo na vidole vyanzo.wasukuma gang.
Mbowe anahubiri uchaga kila sikuWacha Ukabila Ndugu.
Kijana pengine unamimba ya Mbowe nenda kapime.Mbowe anahubiri uchaga kila siku
Ewe Joyce Mkuya tulia dawa ikuingieKijana pengine unamimba ya Mbowe nenda kapime.