Mafanikio ya rais Samia siku 78 tangu ashike madaraka

Mafanikio ya rais Samia siku 78 tangu ashike madaraka

Msemaji mkuu wa serikali bwana Gerson Msigwa amesema kazi inaendelea kila kona na miradi yote ya kimkakati iliyoachwa na hayati rais Magufuli inaendelea kujengwa kama ilivyopangwa.

Msigwa amesema rais Samia ameidhinisha billioni 371 kwenda kuanza ujenzi wa SGR mkoani Mwanza kuelekea Isaka mkoani Shinyanga.

My take:
Hao walioapa kuuwa legacya ya Magufuli wameshindwa? Inakuwaje miradi yote bado inaendelea kujengwa tena kwa kasi zaidi?
Urithi auhadisiwi au kulazimishwa uridhi unajionyesha ndugu vp msimamo wa korona vp kuhusu kuita wazungu mabeberu
 
Tunaomba uandike na mema yake
Ukitweza utu wa mtu kama wewe unajipa laana.
Utu wa mtu hauwezi kufananishwa na mfugale flyover au ubungo.
Utu wa mtu hauna ghalama ya kuilinganishia.
Jiweke kwenye viatu vya unaemuonea ndipo utajua kuwa unafanya dhambi kubwa sana.

Kama unapenda watu wako huwezi waonea.
 
Ukitweza utu wa mtu kama wewe unajipa laana.
Utu wa mtu hauwezi kufananishwa na mfugale flyover au ubungo.
Utu wa mtu hauna ghalama ya kuilinganishia.
Jiweke kwenye viatu vya unaemuonea ndipo utajua kuwa unafanya dhambi kubwa sana.

Kama unapenda watu wako huwezi waonea.
Wewe ulitwezwa utu wako kwa kulalwa?
 
Tulia dawa ikuingie mlamba viatu wa mbowe
Baada ya kumkamata Sabaya sasa zamu ni ya kukuska wewe
JamiiForums1992601550.jpg
 
Ukitweza utu wa mtu kama wewe unajipa laana.
Utu wa mtu hauwezi kufananishwa na mfugale flyover au ubungo.
Utu wa mtu hauna ghalama ya kuilinganishia.
Jiweke kwenye viatu vya unaemuonea ndipo utajua kuwa unafanya dhambi kubwa sana.

Kama unapenda watu wako huwezi waonea.
Siwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.
 
Siwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.
Utakuwa ni shetani mwenzake
 
Tunaomba uandike na mema yake
wewe km nani wakati tumebamizwa pesa zetu na Task force, watu wamepotea
leo ndio tunauona mwanga halafu ninyi mnataka kutulazimisha kuwa kina SABAY walitawala vizuri, acheni tuishi kwa amani, Madikteta huwa hawadumu
 
Tunaomba uandike na mema yake
wewe km nani wakati tumebamizwa pesa zetu na Task force, watu wamepotea
leo ndio tunauona mwanga halafu ninyi mnataka kutulazimisha kuwa kina SABAY walitawala vizuri, acheni tuishi kwa amani, Madikteta huwa hawadumu
Siwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.
kitu kimepita ACHENI kipotee hatutaki hata katika Historia makosa aliyafanya JK hakumjua yeye na kabila lake km atabeba na kutuachia mizigo hii
 
Siwezi kumwona mbaya ikiwa hakuna ubaya wowote aliyonifanyia, so sina kosa kumwombea mema na kutangaza na kusifia yale mema ambayo nina uthibitisho nayo, na kama kuna mabaya sina budi kumsamehe sababu hata nisipomsamehee hayupo tena nasi dunia hii, makasiriko na kujibebesha mzigo wa machukizo ni kujitesa.
Mungu akubariki sana
 
Back
Top Bottom