Makampuni ya utalii yamekuwa yakifanya kazi na agents walioko nchi mbali mbali, na hao agents wamekuwa wakija nchini mara kibao tokea zamaniiiii. Hakuna jipya hapo
Kwani kuna zuri mnalolionaga nyie pingapinga fc?
Jiandae kupokea hayo matokeo! Usije zua tena eti data zimepikwaNgoja akiondoka uje utupe tawimu ya kiashi cha USA tourists watakaokuja kutalii? ututofautishie na miaka ya nyuma ndio tujue impacts
Kwani kuna zuri mnalolionaga nyie pingapinga fc?
Hujui kuwa kipindi kikianza kutengenezwa tu tour agents huwa wanapata taarifa huko duniani! Sasa wanafanya kukamata fursa ili kipindi kikirushwa tu wawe na bookings tayari?Hiyo Royal Tour haijaonyeshwa popote pale mara imeshaanza kuzaa matunda!!! πππππ
Kipi hakistahili kusifiwa?Sasa kama hakuna zuri unataka tuwe Mataahira kama wewe!? Kusifia visivyostahili kusifia?
Hahaha haha nimecheka kwa sauti, royal tour itatukomesha kila atakaye kuja sasa hivi tutaambiwa ni matunda ya royal tour.Hiyo Royal Tour haijaonyeshwa popote pale mara imeshaanza kuzaa matunda!!! πππππ
Kwani umeshawai ona zuri?Hahaha haha nimecheka kwa sauti, royal tour itatukomesha kila atakaye kuja sasa hivi tutaambiwa ni matunda ya royal tour.
Makampuni ya utalii yamekuwa yakifanya kazi na agents walioko nchi mbali mbali, na hao agents wamekuwa wakija nchini mara kibao tokea zamaniiiii. Hakuna jipya hapo
Wewe una idea yoyote ile ya utalii?Ndo ujue ni kwa jinsi gani hiki kipindi kinaleta matokeo! Hapo hakijarushwa tu hali iko hivi watu wanakuja kuchangamkia fursa! Je kikirushwa hali itakuwaje?
Nafikiri wewe unatatizo la kutoelewa kitu gani wamekuja kufanya.Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.
Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!
Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.
Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.
Go Samia! Go Tanzania
View attachment 1946124
Mbona tourist agents wamekuwa wakija nchini toka kitambo!
Ninayo tena kubwa sana!Wewe una idea yoyote ile ya utalii?
Pingapinga Fc tumeshawazoea! Nyie kila kitu kupinga na kuzua nadharia zenu!
Mwenye Tatizo ni mimi au wewe?Nafikiri wewe unatatizo la kutoelewa kitu gani wamekuja kufanya.
Digest this in-depth and come out with an objective opinion "...to sample tourist attractions..."
Kwanza haamini kilichotangazwa mpaka wahakiki kwenye uhalisia ndio maana wanakuja kuona na kuanisha vivutio vifaavyo kwao kuhamasishwa na kuvutiwa
Dr. Shumakeπ€£"to sample tourist attractions" sijui umeelewa?
Hao matapeli wanakuja kutalii bure.
Unamkumbuka yule black Amerika alimwambia Mwakyembe anakuja kujenga tren ya juu Dar?? mpaka Mwakyembe akamuita "huyu baba"
Alienda mbuga gani?Kuna jamaa alileta uzi humu kulalamika kwamba alidhani kwamba ukienda kutalii mbugani utawakuta wanyama wameshonana hapo na kuanza kuangalia na kuchukua selfie, badala yake ikawa ni kutafuta huku na kule......sasa waambieni wazungu kabisa, maana wao wanajua wanyama wapo kila mahali na wametapakaa kwenye makazi ya watu. Ukimwambia mzungu unatokea serengeti anaweza kuduwaa namna ulivyofanya hadi ukafanikiwa kuishi na wanyama pori....