Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
- Thread starter
-
- #41
Hiki ni kielelezo kuwa tulishindwa kutumia hii fursa!Dr. Shumake🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1756][emoji1756][emoji1756][emoji1756]Dr. Shumake[emoji1787]
Mapambio FCPingapinga Fc tumeshawazoea! Nyie kila kitu kupinga na kuzua nadharia zenu!
We si Malalamiko na Pingapinga Fc!Mapambio FC
Hii habari mbona kama imekua mwiba kwako? kulikoni?Kwa hiyo the Citizen wakiandika inamaanisha ni jambo jipya? Aisee!
Sina uhakika ila anadai alienda safari ya kutalii kuona wanyama, sasa anashangaa anazungushwa huku na kule amwone simba holaaa, huku na huku amwone chui holaaa, mara huku na huku amwone fisi waapi.......siku ikakatika hiyo. Yeye alijua ukifika hapo unamkuta simba kalala, ukizunguka nyuma ya kichaka tembo huyu hapa, ukitembea dakika mbili fisi huyu hapa, ukipita huku honey badger huyu hapa kawasimamisha simba.....Alienda mbuga gani?
We dogo ni mbwiga. Kichwa cha mada ni "mafanikio ya Royal Tour" kisha baadae unakiri hakijarushwa. Ni aibu kwa mtoto wa kiume kuwa na kiherehere cha kiwango hiki. Ukisubiri ukasema maneno haya baada ya kutolewa kwa hiyo filamu utakuwa umechelewa?? Kiherehere cha hivi utagongwa na magari mjini humu!Ndo ujue ni kwa jinsi gani hiki kipindi kinaleta matokeo! Hapo hakijarushwa tu hali iko hivi watu wanakuja kuchangamkia fursa! Je kikirushwa hali itakuwaje?
Huyo jamaa wamarekani wenyewe wanasema ni tapeli ana tuhuma lukuki zinazomzunguka halafu unasema fursa 🤣Hiki ni kielelezo kuwa tulishindwa kutumia hii fursa!
Tungeruhusu huyu kupitia private sector ajenge reli yake hata mjini kwenda tegeta na kimara leo hii tungekuwa na city train ya kisasa!
Usinchukulie Kama tapeli, we jiulize Serikali walifanya sehemu yao kwa mujibu wa iyo taarifa?
Hii iwafikie sukuma gang na machadomo..Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.
Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!
Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.
Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.
Go Samia! Go Tanzania
View attachment 1946124
Nongwa 😀😀,,hiyo kitambo ni ipi?Mbona tourist agents wamekuwa wakija nchini toka kitambo!
Haters, sukuma gangMbona tourist agents wamekuwa wakija nchini toka kitambo!
Pinga pinga yao isikupe mashaka wala wasi wasi mkuu, maana haina tija wala faida kwao. Si unaona mwenyew kila wakipinga uchaguzi ukifika wanagongwa.Pingapinga Fc tumeshawazoea! Nyie kila kitu kupinga na kuzua nadharia zenu!
Kwa maana hiyo wao wameisha iona hiyo movie ya ROYAL TOUR kabla hata ya launching....!!Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.
Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!
Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.
Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.
Go Samia! Go Tanzania
View attachment 1946124
Na wewe ambae sio tapeli umewahi hata kutalii kijijini kwenu au njaa kali?"to sample tourist attractions" sijui umeelewa?
Hao matapeli wanakuja kutalii bure.
Unamkumbuka yule black Amerika alimwambia Mwakyembe anakuja kujenga tren ya juu Dar?? mpaka Mwakyembe akamuita "huyu baba"
Ndio inatafutwa kuvunjwa sasaDr Kigwangalla amesema hadi sasa rekodi yake ya kuleta watalii wengi haijavunjwa na itadumu kwa kitambo kirefu!
Very smart of you.Watalii wamekua wakija mara zote ila tukubali Rais Samia Suluhu Hassan ameongeza wigo kwa kusimama kuitangazi nchi
Mikumi 4 times Ngorongoro 1 time, Manyara 1 timeNa wewe ambae sio tapeli umewahi hata kutalii kijijini kwenu au njaa kali?
Kuzinduliwa bado unaweweseka,ushiriki wa Rais hata kabla ya kuzinduliwa ni habari kubwa ikishazinduliwa si ndio mtazimia?Hiyo Royal Tour haijaonyeshwa popote pale mara imeshaanza kuzaa matunda!!! 😂😂😂😂😂
Kujisemesha kila mtu anaweza kwa sababu una Domo ila kuthibitisha sasa ndio shughuliMikumi 4 times Ngorongoro 1 time, Manyara 1 time
Una lingine??