The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Sawa Mkuu. Ila point yangu ilikuwa ni kwamba wakati hili jukwaa linaanza uchangiaji wa kisiasa haukuwa wa kishabiki kama sasa. Vilevie wakati wa BCS kabla ya Jambo Forums.Unajuaje Kama sikuwa na id nyingine?
Kwa taarifa yako nina id nyingine ya kuanzia 2011 niliyoacha kuitumia 2015!
Hii kitu tusiachie weupe tu ,tuanze pia sisi wenyewe kua na agent wa kuratibu utalii wa NDANI kila wilaya ,WATU wanapenda ila Sasa hatuna uratibu mzuri , katika Hili bado pia serikali itapata ,mapato ya kutosha, ni mipango tu,fikili KILA wilaya inakua na agent wa kuandaa tour,KILA wakati katika MOJA ya vivutio vyetu , KWa mwaka itakua serikali imeingiza kiasi gani? Mawazo tuLeo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.
Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!
Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.
Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.
Go Samia! Go Tanzania
π π π π πUnajua maana ya Tourism agent?
Nyie mbona mlisifia hata kupigwa risasi kwa tundu Lisu dodomaKipi hakistahili kusifiwa?
Mkuu hakika siyo kudanganywa tenaπ π π π π
Tuache uongo uongo. Tumejidanganya sana, imetosha. Hebu tufanye kazi kwa bidii. matokeo ya kazi yatajieleza. Watanzania sio wajinga tena. Hebu tufanye kazi tuache porojo
Kwa wanaonijua humu watakwambia. Moja ya sababu zilizofanya nisimuunge Mkono Mwendazake ni hilo jambo unalosema hapo!Nyie mbona mlisifia hata kupigwa risasi kwa tundu Lisu dodoma
Sawa maneno yako.Mbona tourist agents wamekuwa wakija nchini toka kitambo!
Sawa Mkuu Ila wapo waliolisifia na waliona ilikuwa sahihi kuuwawaKwa wanaonijua humu watakwambia. Moja ya sababu zilizofanya nisimuunge Mkono Mwendazake ni hilo jambo unalosema hapo!
Miaka 60 je kuna vivutuo vipya?Leo gazeti za Citizen limeripoti mawakala wa Utalii kutoka Nchini Marekani wameingia Tanzania kujionea vivutio vya Utalii vilivyopo hapa nchini Kwa ajiri ya kuwaleta Wamarekani. Hii ni wiki chache tu tangu Rais Samia Suluhu Hassan afanye kipindi maarufu duniani kinachohusiana na utalii na fursa za uwekezaji cha The Royal Tour.
Ikumbukwe kuwa pamoja na kuwa na vivutio vingi vya utalii na fursa nyingi za uwekezaji, Tanzania imekuwa nyuma sana katika kupokea watalii wengi hapa Africa Kwa kupokea watalii chini ya Milioni 2 kwa mwaka. Hili limekuwa linatokea huku sekta ya utalii ikiwa ndo sekta inayochangia kwa Kiwango kikubwa zaidi pato la Taifa kabla ya kutokea Kwa janga la corona!
Kwa mafanikio haya makubwa yanayoanza kuonekana katika sekta ya utalii Tanzania inaweza kufikisha watalii Mil 5 ifikapo mwaka 2025 na pato la Taifa kukua kwa kiwango cha kutisha.
Hongera sana Rais Samia kwa Ubunifu wa kufanya program ya Royal Tour na hakika The future is now promising for Tanzania.
Go Samia! Go Tanzania
Rwanda wanajitangaza kwa kuwa wame wekeza kwenye vivutuo vipya vya utaliiRoyal Tour ndo kipimo kikuu linapokuja suala la nchi kujitangaza. Baada ya hapo hata watu wakiona Visit Tanzania au Tanzania Unforgettable watakuwa wanajua ni Tanzania ipi inayozungumzwa.
Ndo mana Visit Rwanda ilikuja baada ya Kagame kufanya Royal Tour.
The future is really promising!
Makampuni ya utalii yamekuwa yakifanya kazi na agents walioko nchi mbali mbali, na hao agents wamekuwa wakija nchini mara kibao tokea zamaniiiii. Hakuna jipya hapo