Mafanikio ya TARURA, Yaibeba TAMISEMI na Kumng'arisha Rais Samia, Speed Iliendelea Hivi, 2025 Hatahitaji Kupiga. Itakuwa ni "Anameremeta"

Mafanikio ya TARURA, Yaibeba TAMISEMI na Kumng'arisha Rais Samia, Speed Iliendelea Hivi, 2025 Hatahitaji Kupiga. Itakuwa ni "Anameremeta"

Kwamba anameremeta sio!!

Ni kweli Ndio maana kapitisha jina lako KWENYE ubunge au SIO!!

Tumsaidie ayangoze vema makundi yote,yasiwepo makundi yanayolalamika kumhusu!

Bado 2025 ni mbali Sana naziona sarakasi nyingi sana kabla ya kampeni!

Tuombe mzee Warioba amalizie uandishi wa kitabu chake!!

"Maendeleo ya mtanzania yataletwa na mtanzania na sio mgeni hata kama ni mzuri machoni Tumakinike"
 
Kwamba anameremeta sio!!

Ni kweli Ndio maana kapitisha jina lako KWENYE ubunge au SIO!!

Tumsaidie ayangoze vema makundi yote,yasiwepo makundi yanayolalamika kumhusu!

Bado 2025 ni mbali Sana naziona sarakasi nyingi sana kabla ya kampeni!

Tuombe mzee Warioba amalizie uandishi wa kitabu chake!!

"Maendeleo ya mtanzania yataletwa na mtanzania na sio mgeni hata kama ni mzuri machoni Tumakinike"
Kumbe na wewe ni chawa kupe
 
Wanabodi

Nimepata fursa ya kutembelea baadhi ya maeneo ya Vijijini, deep interior, nikashangaa sana kukuta Barabara za lami hadi Vijijini.

Kuulizia nikaelezwa ni kazi nzuri ya Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini, TARURA baada tuu ya Mama Samia kushika nchi, ame I double na ku triple bajeti ya TARURA kwa karibu mara 3.

Nilipofuatilia majadiliano ya Bungeni kwenye Bajeti ya TAMISEMI, kiukweli Mafanikio ya TARURA, Yaibeba TAMISEMI na kumng'arisha sana Rais Samia, kama kasi ya uchapakazi wa TARURA utaendelea Kwa speed hii alioanza nayo Mama Samia kwenye huu mwaka wake wa kwanza, na ikiendelea hivi, hadi, 2025, then ikitokea 2025, Watanzania tumeamua tunakwenda na Mwanamke, na Mwanamke mwenyewe akawa ni Mama Samia, amini usiamini, kuna baadhi ya maeneo, Mama Samia hatahitaji kufika kufanya kampeni, ni kupitishia bango lenye picha ya Mama Samia, akiwa amepunga mkono na wananchi hao kuwaambia, huyu kwenye picha hii anawasalimia, aliwatumia salamu zake kupitia TARURA, na kuwauliza "Jee Mlizipata?" (huku unanyua juu hilo bango lenye picha ya Samia akipunga mkono akiwa anatembea kwenye Barabara ya lami ya Vijijini iliyojengwa na TARURA), badala ya wananchi hao kujibu kuwa salaam za TARURA ziliwafikia, mtashangaa Tu kusikia kina mama wanaimba "Anameremeta...
Anameremeta...x2
Samia Anameremeta,
Anameremeta...

Yaani kazi nzuri ya TARURA, itammeremetisha Samia 2025 just incase ni yeye Samia atakuwa ndiye aliyepangiwa na YEYE.

Shuhudia



Kiukweli mimi nimeguswa sana na kazi nzuri ya TARURA, hivyo kuna makala hii, Nipashe la Leo
View attachment 2225951
View attachment 2225942

Paskali
P. Endelea kupopoma utajua haujui!!
 
Kumbe na wewe ni chawa kupe
Hujanisoma !Chama changu kitazaliwa BAADA ya katiba mpya kupatikana!hivi vilivyopo vimeshachakaa kabisa vinatuhuma Sana AMBAZO hawawezi jibu!!

Tuombe mungu katiba mpya ipatikane kwanza!ndio tufanye siasa za akili kuliko hizi chafu zilizopo!!
 
Back
Top Bottom