Mwl Athumani Ramadhani
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,280
- 2,522
Kwamba anameremeta sio!!
Ni kweli Ndio maana kapitisha jina lako KWENYE ubunge au SIO!!
Tumsaidie ayangoze vema makundi yote,yasiwepo makundi yanayolalamika kumhusu!
Bado 2025 ni mbali Sana naziona sarakasi nyingi sana kabla ya kampeni!
Tuombe mzee Warioba amalizie uandishi wa kitabu chake!!
"Maendeleo ya mtanzania yataletwa na mtanzania na sio mgeni hata kama ni mzuri machoni Tumakinike"
Ni kweli Ndio maana kapitisha jina lako KWENYE ubunge au SIO!!
Tumsaidie ayangoze vema makundi yote,yasiwepo makundi yanayolalamika kumhusu!
Bado 2025 ni mbali Sana naziona sarakasi nyingi sana kabla ya kampeni!
Tuombe mzee Warioba amalizie uandishi wa kitabu chake!!
"Maendeleo ya mtanzania yataletwa na mtanzania na sio mgeni hata kama ni mzuri machoni Tumakinike"