padlock
JF-Expert Member
- Jul 18, 2013
- 329
- 505
Hela ndogo kwako kwa mtizamo wako, Ni WaMarekani wangapi hawana ata Saving ya $ 100K kwa akaunti zao??Benefits zao ni ndogo sana ukiilinganisha na uchumi wa Marekani. Yani rais mstaafu anapokea wastani wa $1M kwa mwaka sawa na bilioni 2.3 za kibongo, hiyo hela ndogo kwa nchi inayotuzidi bajeti around mara 1000
Alot of Americans Leave under $100K per year😊😊😊😊