Mafirst born muishi maisha marefu

Mafirst born muishi maisha marefu

Na ikitokea umeoa mwanamke ambaye ni first born,ndoa yako kutulia inabidi uwe submissive 🙄
Labda wasiojielewa mkuu ndo inaweza isitulie
Mm Huwa nashukuru mamayangu sio muombaji na hata akiomba bas ni mtaji na ukimpa anapambana .

Alhamdulillah Nina mzazi muelewa na mpambanaji Yan had nikikwama namkopa kabisa 😃
 
First Born ni lango kila Kambi inaling'ang'ania.
Kaini ni mkubwa kuliko Abeli,Je kaini alikuwa Lango?alipouawa Abeli akazaliwa Sethi Je Kaini alikuja kuwa Lango?Ishmael alikuwa mkubwa kuliko Isaka Je Ishmael alikuwa Lango?
Esau alikuwa mkubwa kuliko yakobo,Je Esau alikuja kuwa Lango?
Reubeni ni mkubwa kuliko watoto wote wa Yakobo,Je alikuwa Lango? Yusufu mtoto wa mwisho ndiye aliyetumiwa na Mungu na baadae kupitia Yuda naye hakuwa mtoto wa kwanza ndipo YESU alipotokea.
Yesu ndiye Lango....mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote ...Lango la macho ya nyama halina ishu,watoto wote wapo sawa,kama kuwaombea,waombewe equally.
Msijizime data,Biblia Ipo kinyume na mnachokiamini
 
Kaini ni mkubwa kuliko Abeli,Je kaini alikuwa Lango?alipouawa Abeli akazaliwa Sethi Je Kaini alikuja kuwa Lango?Ishmael alikuwa mkubwa kuliko Isaka Je Ishmael alikuwa Lango?
Esau alikuwa mkubwa kuliko yakobo,Je Esau alikuja kuwa Lango?
Reubeni ni mkubwa kuliko watoto wote wa Yakobo,Je alikuwa Lango? Yusufu mtoto wa mwisho ndiye aliyetumiwa na Mungu na baadae kupitia Yuda naye hakuwa mtoto wa kwanza ndipo YESU alipotokea.
Yesu ndiye Lango....mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote ...Lango la macho ya nyama halina ishu,watoto wote wapo sawa,kama kuwaombea,waombewe equally.
Msijizime data,Biblia Ipo kinyume na mnachokiamini
Unamzungumzia kitu Gani? Tusijizime data kina nani? Unaongea na kina nani? Mimi nimesema mzaliwa wa kwanza ni lango .kila Kambi inamtaka.
Inaniletea story Gani tena? Au Unatafuta uwanja wa kujadili mzaliwa wa kwanza wa kuzaliwa, ki haki, Cheo au nini? Unasoma Biblia na huielewi halafu unasema ipo kinyume na tunachokiamini.
 
Back
Top Bottom