Mafirst born muishi maisha marefu

Mafirst born muishi maisha marefu

Mimi sio wa kwanza..... kwa me ndo first na naheshimiwa kama braza utafkr ndo kifungua mimba....

First born wapo wapambanaji na wasio wapambanaji.... Ila wengi wanajitahid hasa wakijua nyumbn hakuko sawa financially
 
Nilipata kazi kwa muongozo na ushauri wa bro angu wa kwanza bila kupiga simu wala kujitambulisha kwa mtu yoyote. Ilikua ni simu ya mazungumzo yasiyozidi dakika 15 ilitosha kutoa maelekezo ya nini kifanyike katika kila hatua sikua na notebook ila naiamini akili yangu kwa kunote vitu fasta.

Baada ya kupata kazi ananiunganisha na mtu wa kada kama yangu kutoka ofisini kwake kwa ajili ya maulizo kuhusiana na kazi, pamoja na hivyo bado hakuacha kujua maendeleo ya kazi na changamoto zake. Huyu jamaa huwa namuona kama baba mdogo namuheshimu kinoma. Kanikata miaka 9

First borns pokeeni maua yenu
Amina
 
Mimi mama yangu ni mzaliwa wa kwanza na ndo mtu wa kwanza kupata pesa, Nyumba , gari na Biashara kubwa .


Ila ndo mtu wa kwanza kujiingiza katika pombe , na starehe mbali mbali ambazo zimemrudisha zero step .


Niseme unapokuwa mzaliwa wa kwanza unakuwa upo katika nafasi nzuri ya Ku-break chain mbali mbali Kama umasikini n.k


Mtoto wa kwanza anakuwa anatazamwa na watu wabaya wengi maana yeye ndo anakuwa amebeba Picha ya FAMILIA mebegani.

So ni vizuri pia Kama mzaliwa wa kwanza ukajitahidi kujizuia mambo yote unayohisi yanaweza kuua potential yako Kama Pombe, bangi na Anasa .



So ukishindwa kusoma hata wadogo zako watakosa good inspiration kutoka kwako.

Ukiwa masikini the same .

So being vulnerability -inaweza ikawa kiroho ,kiakili, n.k (kushambilika)


Mimi ni last born kwetu Ila to be honest our first born haeleweki tulichoamua ni kuhakikisha tunaboresha kizazi chake na yeye kumpa back up za hapa na pale .


Ukiwa first born unabidi kuwa rule modal and role model Kwa wadogo zako .
Asante sana doktori kwa ufafanuzi wako mzuri,pamoja na ushauri wako mzuri sana juu ya wazaliwa wa kwanza kuepuka mambo ambayo yatakuwa sababu ya kuwarudisha nyuma

Lakn nakubaliana na wewe kabisa wazaliwa wa kwanza tunapigwa vita sana na ndugu,binafsi naweza sema kuna neema nyingi sana nilikuwa nizipate lkn ziliyeyuka pasipo kujulikana

Na niseme wazi kabisa ibada ninazojitahidi kuzifanya zinanisaidia sana ingawa sio mcha mungu kwa asilimia zote lkn naweza sema lau nisi gekuwa nagusa gusa mambo ya ibada huenda ningekuwa na wakati mgumu sana

Mwenyezi Mungu awasimamie wazaliwa wa kwanza wote,amini
 
Pole sana kwahiyo changamoto boss, ila siku zote ndugu kwa upande wa mama huwa wanashikamana sana
Mi madogo walionifuata upande wa baba wote wamenikataa kisa wanazani mimi ndo chanzo cha mama yao kuachika hivo sina mpango nao..

Ila huyu dogo wa mama mmoja ni show show namlisisha kila kitu
 
Brother wa kutaka kukaa na totozii kwenye bus.......

hbr za huko ?
Sasa sijui nikirudi tena kituo changu cha kazi this time je ntakuwa mwenye bahati ya kuwa na demu au mwamba tena? Muda utaongea

Fresh kabisa Mungu anasaidia,sijui ww boss wangu
 
Sasa sijui nikirudi tena kituo changu cha kazi this time je ntakuwa mwenye bahati ya kuwa na demu au mwamba tena? Muda utaongea

Fresh kabisa Mungu anasaidia,sijui ww boss wangu
Ni njema broh.....

kwanini totoz ili tuu upate kuchakata? 😝

Hamna hata mwamba fresh tuu mnaweza peana connection 👊
 
Ni njema broh.....

kwanini totoz ili tuu upate kuchakata? 😝

Hamna hata mwamba fresh tuu mnaweza peana connection 👊
Lengo wala sio kuchakata boss wangu,napenda tu nikiwa na ua pembeni safar inakuwa haiboi wala haichoshi,safar ya masaa 15 mzee inachosha sana ujue

Ni kwel lkn hakuna uhakika wa kila mtu utakaye kutana nae kuwa mnaweza kukonect ,inategemea kwakweli,yeyote ninayekutana nae safarini namchukulia kama abiria mwenzangu tu
 
Lengo wala sio kuchakata boss wangu,napenda tu nikiwa na ua pembeni safar inakuwa haiboi wala haichoshi,safar ya masaa 15 mzee inachosha sana ujue

Ni kwel lkn hakuna uhakika wa kila mtu utakaye kutana nae kuwa mnaweza kukonect ,inategemea kwakweli,yeyote ninayekutana nae safarini namchukulia kama abiria mwenzangu tu
Aseeh una uelewa nimeku notice japo sijui nyuzi zako zingne

Najua Hilo tunapenda tu catch feelings na nini, ukute mtoto na ananukia ile cool en classy haboi kabisa

Ila unaonekana unaenda safar ndefu kidogo aseeh so mchezo 15hrs......

Kwetu hapo ten au chini ya hapo
 
Aseeh una uelewa nimeku notice japo sijui nyuzi zako zingne

Najua Hilo tunapenda tu catch feelings na nini, ukute mtoto na ananukia ile cool en classy haboi kabisa

Ila unaonekana unaenda safar ndefu kidogo aseeh so mchezo 15hrs......

Kwetu hapo ten au chini ya hapo
NIna nyuzi kwenye kurasa 11,na kila kurasa inakaa nyuzi 20 so jumla nina nyuzi kama 220,utakutana nazo tu inshallah

Yani ukiongeza masaa 3 tu kama ni ndege nafika marekani hahaha

Yeah wametoka kwenye ubavu wetu boss,kama adam tu alikuwa peke yake akaletewa hawa,je mm sistahili kampani ya dem pembeni?
 
Unastahili
NIna nyuzi kwenye kurasa 11,na kila kurasa inakaa nyuzi 20 so jumla nina nyuzi kama 220,utakutana nazo tu inshallah

Yani ukiongeza masaa 3 tu kama ni ndege nafika marekani hahaha

Yeah wametoka kwenye ubavu wetu boss,kama adam tu alikuwa peke yake akaletewa hawa,je mm sistahili kampani ya dem pembeni?
Mkuu maake ndo udhaifu wetu ulipo
 
View attachment 3192424

Kuwa wa kwanza kuzaliwa hakika ni mapambano makubwa sana,kwasababu moja kwa moja unajikuta majukumu yanakuandama kwa namna moja au nyingine

Hawa watu wanajitoa sana kuokoa jahazi lisizame katika familia,tena katika hizi familia zetu ambazo bado hazija jipata hakika mafirst born wanajitoa sana kwa kupenda au kwa kutokupenda,na watafanyaje angali wanategemewa wao

Ni mara nyingi unawakuta hawa watu wanashindwa kufanya mambo yao ya maendeleo kwasababu wapo pale kusapoti familia zao na wadogo zao,kwahiyo next time ukimuona first born hajajenga au kujiimarisha kiuchumi basi tambua ana mzigo mkubwa wa ndugu na jamaa wanamtegemea

Najua kuna baadhi mtasema hayo sio majukumu yake,bali majukumu yake ni kuangalia watoto wake na familia yake,nasema hivi kwa mtu ambaye anajitambua hawezi acha wazazi wake au ndugu ambao wanahitaji msaada kisha akawapuuza,hilo haliwezekani kwasababu hao ni jamaa zake na watu wake wa karibu

Kwao wao kuwaona ndugu zao wanaenda shule kwa msaada wao ni faraja kubwa sana,kuwaona ndugu zao wanapata mkate wao wa kila siku ni jambo lenye kuwapa faraja sana,kuiona familia inatabasamu ni jambo lenye kuwapa amani katika nyoyo zao

Mafirst born aluta continua kama mlivyoanza na ndio mtakavyo maliza,daima endeleeni kushow love kwa ndugu jamaa na marafiki,mmezaliwa wa kwanza kwakuwa mna mission hapa duniani,nyie ni viongozi,na sifa kubwa ya kiongozi ni kutatua shida za ndugu zake na jamaa zake

Kiongozi siku zote huwa baina ya shida za watu wake na kutafuta namna ya kuzitatua au kama sio kuzipunguza,haukuwa mzaliwa wa kwanza kwa bahati mbaya bali ili upambanie jamii yako

Nafahamu huwa mnajitoa sana kwa ajili ya ndugu hata wakati mwingine mnakosa yale ambayo mnayapenda katika nafsi,nawapa moyo kwamba,hakika mnabadilisha maisha ya watu wengi sana,huenda msipate nafasi ya kuambiwa hayo lkn mfahamu kwamba juhudi zenu haziendi bure

Endeleeni kupambana mpaka tone la mwisho la damu

Ni hayo tu!
Namshukuru Mungu mimi pia ni mzaliwa wa kwanza kwa mama yangu. Tangu nikiwa mdogo nilikuwa napambana sana hasa baada ya kuona mama yangu alivyokuwa anapambana. Nilikuwa namsaidia sana kazi mbali mbali hadi zq Kuuza pombe nikiwa likizo. Nimeuza sana pombe. Kupika pombe nk.

Baada ya kumaliza Form six nilichaguliwa chuo kikuu kubwa Dar. Kwakuwa familia yangu najua kipato chetu ni duni nilipoanza tu kupata bumu cha kwanza niligawa iende nyumbani. Nikawa ndo utaratibu wangu kila nikipata bumu lazima nigawe iende nyumbani. Ilisaidia sana kubadilisha maisha pale nyumbani. Mama akaacha kuuza pombe za kienyeji akafungua duka. Na huduma nyingine.

Nilipo maliza chuo kikuu mshahara wa kwanza nilianza kulipa ada kwaajili ya wadogo zangu. Na nimeendelea kuwasupport hadi walipo anza kujitegemea.


Watoto wa kiume wa kwanza tunakuwa na majukumu mengi sana. Tunashukuru wale ambao mnatukumbuka na kutuombea
 
View attachment 3192424

Kuwa wa kwanza kuzaliwa hakika ni mapambano makubwa sana,kwasababu moja kwa moja unajikuta majukumu yanakuandama kwa namna moja au nyingine

Hawa watu wanajitoa sana kuokoa jahazi lisizame katika familia,tena katika hizi familia zetu ambazo bado hazija jipata hakika mafirst born wanajitoa sana kwa kupenda au kwa kutokupenda,na watafanyaje angali wanategemewa wao

Ni mara nyingi unawakuta hawa watu wanashindwa kufanya mambo yao ya maendeleo kwasababu wapo pale kusapoti familia zao na wadogo zao,kwahiyo next time ukimuona first born hajajenga au kujiimarisha kiuchumi basi tambua ana mzigo mkubwa wa ndugu na jamaa wanamtegemea

Najua kuna baadhi mtasema hayo sio majukumu yake,bali majukumu yake ni kuangalia watoto wake na familia yake,nasema hivi kwa mtu ambaye anajitambua hawezi acha wazazi wake au ndugu ambao wanahitaji msaada kisha akawapuuza,hilo haliwezekani kwasababu hao ni jamaa zake na watu wake wa karibu

Kwao wao kuwaona ndugu zao wanaenda shule kwa msaada wao ni faraja kubwa sana,kuwaona ndugu zao wanapata mkate wao wa kila siku ni jambo lenye kuwapa faraja sana,kuiona familia inatabasamu ni jambo lenye kuwapa amani katika nyoyo zao

Mafirst born aluta continua kama mlivyoanza na ndio mtakavyo maliza,daima endeleeni kushow love kwa ndugu jamaa na marafiki,mmezaliwa wa kwanza kwakuwa mna mission hapa duniani,nyie ni viongozi,na sifa kubwa ya kiongozi ni kutatua shida za ndugu zake na jamaa zake

Kiongozi siku zote huwa baina ya shida za watu wake na kutafuta namna ya kuzitatua au kama sio kuzipunguza,haukuwa mzaliwa wa kwanza kwa bahati mbaya bali ili upambanie jamii yako

Nafahamu huwa mnajitoa sana kwa ajili ya ndugu hata wakati mwingine mnakosa yale ambayo mnayapenda katika nafsi,nawapa moyo kwamba,hakika mnabadilisha maisha ya watu wengi sana,huenda msipate nafasi ya kuambiwa hayo lkn mfahamu kwamba juhudi zenu haziendi bure

Endeleeni kupambana mpaka tone la mwisho la damu

Ni hayo tu!
Mi kwa upande wangu nakubali kidogo na pia nakataa sana
Kwanini nakataa?
Wa kwanza kuzaliwa wengi ni watoto chaguo la wazazi na hiyo nafasi wanaitumia vibaya sababu wanadekezwa na kupewa nafasi hata kama wanakua hamnazo na wengi hasa akiwa wa kiume wanakuwa tegemezi mpaka kufa kwake na kama kamkuta baba ana ajira rasmi ndio kabisa wanashindwa kujishikilia.
 
Back
Top Bottom