Mafirst born muishi maisha marefu

Mafirst born muishi maisha marefu

Nafurahi kusikia hivyo boss wangu,pambana kadri ya uwezo wako huku ukimuomba Mungu akupe subira na neema zake

Ipo siku kitaeleweka tu
Hakika mkuu ntapambana mpaka kitaeleweka.

Ila hapo kwenye kumuomba Mungu hapana, Kama hawezi kuwatibu vilema mtaani, Wagonjwa mahutututi na watu wanaokufa vitani ndiyo atadili na mimi ninayeweza kufanya kazi?
 
Huu ni ushuhuda tosha kwamba hawa watu ni watu na nusu hakika wanapambana sana

Duh huyu jamaa uliyemuelezea ana changamoto sana kwakweli,mungu amsimamie sana

Nimeboreka na tabia ya baba yake,mtu amemfungulia biashara mama yake halafu baba anaifilisi,hakika sio baba wote wana sifa ya kuwa baba
Acha ndugu yangu Yani mpk nimewaza kumuwezesha sababu ndio siku ya Kwanza kanibeba na akanipa story hiyo unajua kuna watu wanatembea na Huku mioyo Yao inaongea kuhusu yanayowasibu huyu ni boda wa pili napata story wa Kwanza aliacha shule ili amsomeshe mdogo wake wa kike na kweli anapambana haya Maisha ukifanikiwa kupata hata kidogo mshukulu Mungu
 
Acha ndugu yangu Yani mpk nimewaza kumuwezesha sababu ndio siku ya Kwanza kanibeba na akanipa story hiyo unajua kuna watu wanatembea na Huku mioyo Yao inaongea kuhusu yanayowasibu huyu ni boda wa pili napata story wa Kwanza aliacha shule ili amsomeshe mdogo wake wa kike na kweli anapambana haya Maisha ukifanikiwa kupata hata kidogo mshukulu Mungu
Sio wote wengine wapo kujinufaisha wenyewe kwa kigezo cha first born, stupid
 
View attachment 3192424

Kuwa wa kwanza kuzaliwa hakika ni mapambano makubwa sana,kwasababu moja kwa moja unajikuta majukumu yanakuandama kwa namna moja au nyingine

Hawa watu wanajitoa sana kuokoa jahazi lisizame katika familia,tena katika hizi familia zetu ambazo bado hazija jipata hakika mafirst born wanajitoasana kwa kupenda au kwakutokupenda,na watafanyaje angali wanategemewa wao

Ni mara nyingi unawakuta hawa watu wanashindwa kufanya mambo yao ya maendeleo kwasababu wapo pale kusapoti familia zao na wadogo zao,kwahiyo next time ukimuona first born hajajenga au kujiimarisha kiuchumi basi tambua ana mzigo mkubwa wa ndugu na jamaa wanamtegemea

Najua kuna baadhi mtasema hayo sio majukumu yake,bali majukumu yake ni kuangalia watoto wake na familia yake,nasema hivi kwa mtu ambaye anajitambua hawezi acha wazazi wake au ndugu ambao wanahitaji msaada kisha akawapuuza,hilo haliwezekani kwasababu hao ni jamaa zake na watu wake wa karibu

Kwao wao kuwaona ndugu zao wanaenda shule kwa msaada wao ni faraja kubwa sana,kuwaona ndugu zao wanapata mkate wao wa kila siku ni jambo lenye kuwapa faraja sana,kuiona familia inatabasamu ni jambo lenye kuwapa amani katika nyoyo zao

Mafirst born aluta continua kama mlivyoanza na ndio mtakavyo maliza,daima endeleeni kushow love kwa ndugu jamaa na marafiki,mmezaliwa wa kwanza kwakuwa mna mission hapa duniani,nyie ni viongozi,na sifa kubwa ya kiongozi ni kutatua shida za ndugu zake na jamaa zake

Kiongozi siku zote huwa baina ya shida za watu wake na kutafuta namna ya kuzitatua au kama sio kuzipunguza,haukuwa mzaliwa wa kwanza kwa bahati mbaya bali ili upambanie jamii yako

Nafahamu huwa mnajitoa sana kwa ajili ya ndugu hata wakati mwingine mnakosa yale ambayo mnayapenda katika nafsi,nawapa moyo kwamba,hakika mnabadilisha maisha ya watu wengi sana,huenda msipate nafasi ya kuambiwa hayo lkn mfahamu kwamba juhudi zenu haziendi bure

Endeleeni kupambana mpaka tone la mwisho la damu

Ni hayo tu!

Ni January tena.

Yani kama umeniona kaka mkubwa jana tu nimetoka kukamilisha muamala wa school fees za dogo fulani sasa hivi ana uhakika wa kusoma mwaka mzima bila mtu kumfuata kwa issue ya school fees.
 
Huu ni ushuhuda tosha kwamba hawa watu ni watu na nusu hakika wanapambana sana

Duh huyu jamaa uliyemuelezea ana changamoto sana kwakweli,mungu amsimamie sana

Nimeboreka na tabia ya baba yake,mtu amemfungulia biashara mama yake halafu baba anaifilisi,hakika sio baba wote wana sifa ya kuwa baba
Kamuulize baba yake akwambie vizuri ndio maana mzigo wa punda huwezi ukakuta umebebwa na Swala
 
View attachment 3192424

Kuwa wa kwanza kuzaliwa hakika ni mapambano makubwa sana,kwasababu moja kwa moja unajikuta majukumu yanakuandama kwa namna moja au nyingine

Hawa watu wanajitoa sana kuokoa jahazi lisizame katika familia,tena katika hizi familia zetu ambazo bado hazija jipata hakika mafirst born wanajitoasana kwa kupenda au kwakutokupenda,na watafanyaje angali wanategemewa wao

Ni mara nyingi unawakuta hawa watu wanashindwa kufanya mambo yao ya maendeleo kwasababu wapo pale kusapoti familia zao na wadogo zao,kwahiyo next time ukimuona first born hajajenga au kujiimarisha kiuchumi basi tambua ana mzigo mkubwa wa ndugu na jamaa wanamtegemea

Najua kuna baadhi mtasema hayo sio majukumu yake,bali majukumu yake ni kuangalia watoto wake na familia yake,nasema hivi kwa mtu ambaye anajitambua hawezi acha wazazi wake au ndugu ambao wanahitaji msaada kisha akawapuuza,hilo haliwezekani kwasababu hao ni jamaa zake na watu wake wa karibu

Kwao wao kuwaona ndugu zao wanaenda shule kwa msaada wao ni faraja kubwa sana,kuwaona ndugu zao wanapata mkate wao wa kila siku ni jambo lenye kuwapa faraja sana,kuiona familia inatabasamu ni jambo lenye kuwapa amani katika nyoyo zao

Mafirst born aluta continua kama mlivyoanza na ndio mtakavyo maliza,daima endeleeni kushow love kwa ndugu jamaa na marafiki,mmezaliwa wa kwanza kwakuwa mna mission hapa duniani,nyie ni viongozi,na sifa kubwa ya kiongozi ni kutatua shida za ndugu zake na jamaa zake

Kiongozi siku zote huwa baina ya shida za watu wake na kutafuta namna ya kuzitatua au kama sio kuzipunguza,haukuwa mzaliwa wa kwanza kwa bahati mbaya bali ili upambanie jamii yako

Nafahamu huwa mnajitoa sana kwa ajili ya ndugu hata wakati mwingine mnakosa yale ambayo mnayapenda katika nafsi,nawapa moyo kwamba,hakika mnabadilisha maisha ya watu wengi sana,huenda msipate nafasi ya kuambiwa hayo lkn mfahamu kwamba juhudi zenu haziendi bure

Endeleeni kupambana mpaka tone la mwisho la damu

Ni hayo tu!
Nadhani sio first borns tu, hata 2nd na 3rds born nao wanahusika sana hasa kama familia ni kubwa...binafsi nimeshuhudia unaacha mambo yako makubwa ya maendeleo ili uhakikishe madogo wanamaliza chuo na usiombe sijui wamekosa mkopo wa HESLB halafu ni mapacha na wako vyedi upstairs, huna pa kukimbilia ni kuwasaidia tu no way out.
 
Ni January tena.

Yani kama umeniona kaka mkubwa jana tu nimetoka kukamilisha muamala wa school fees za dogo fulani sasa hivi ana uhakika wa kusoma mwaka mzima bila mtu kumfuata kwa issue ya school fees.
Ikifika zama ya ma last born mtuambie sisi wachonga ramani
 
Wazaliwa wa kwanza ni baba mbadala,Esau alizalau uzaliwa wake wa kwanza akamuuzia mdogo wake kwa chakula cha dengu akawa ndio ameuza baraka zote za uzaliwa wa kwanza,Yakobo ambaye ndiye mdogo wake Esau ndiye Israel wa leo taifa lenye nguvu duniani.
Hadithi
 
Wazaliwa wa kwanza ni baba mbadala,Esau alizalau uzaliwa wake wa kwanza akamuuzia mdogo wake kwa chakula cha dengu akawa ndio ameuza baraka zote za uzaliwa wa kwanza,Yakobo ambaye ndiye mdogo wake Esau ndiye Israel wa leo taifa lenye nguvu duniani.
Hio maana yake ni nyingine kabisa Mungu huangalia last born sio first born hio ndio fundisho la hilo andiko la Esau na nduguye Yakobo

Hata mfalme Daudi alipoenda kupakwa mafuta waliitwa watoto wote baba yake akampendekeza kaka mkubwa apakwe mafuta ila Mungu akakataa akasema sio huyu namtaka yule mdogo kuliko wote ambae hapa hayupo baba kuulizwa anasema ndio yupo bwana mdogo kaenda machungani huko anarudi jioni basi yule mpaka mafuta anasema mimi namtaka huyo last born nimpake mafuta sio hawa.

1 Samueli 17:12-14

12 Basi Daudi alikuwa mwana wa yule Mwefrata, wa Bethlehemu ya Yuda, aliyeitwa jina lake Yese; naye huyo alikuwa na wana wanane; na yeye mwenyewe alikuwa mzee siku za Sauli, na mkongwe miongoni mwa watu.

13 Nao wale wana watatu wa Yese waliokuwa wakubwa walikuwa wamefuatana na Sauli kwenda vitani, na majina ya hao wanawe watatu waliokwenda vitani ni haya, mzaliwa wa kwanza Eliabu, na wa pili wake Abinadabu, na wa tatu Shama.

14 Naye huyo Daudi alikuwa mdogo wa wote; na hao watatu waliokuwa wakubwa wakafuatana na Sauli.

Haya tusome na hii

1 Samueli 16:5-12

5 Naye akasema, Naam, kwa amani; nimekuja kumtolea BWANA dhabihu; jitakaseni; njoni pamoja nami kwenye dhabihu. Akawatakasa Yese na wanawe, akawaita kwenye dhabihu.

6 Ikawa walipokuja, alimtazama Eliabu, akasema, Yakini masihi wa BWANA yupo hapa mbele zake.

7 Lakini BWANA akamwambia Samweli, Usimtazame uso wake, wala urefu wa kimo chake; kwa maana mimi nimemkataa. BWANA haangalii kama binadamu aangaliavyo; maana wanadamu huitazama sura ya nje, bali BWANA huutazama moyo.

8 Ndipo Yese akamwita Abinadabu, akampitisha mbele ya Samweli. Naye akasema, BWANA hakumchagua huyu.

9 Ndipo Yese akampitisha Shama. Naye akasema, Wala BWANA hakumchagua huyu.

10 Yese akawapitisha wanawe saba mbele ya Samweli. Samweli akamwambia Yese, BWANA hakuwachagua hawa.

11 Kisha Samweli akamwambia Yese, Watoto wako wote wapo hapa? Naye akasema, Amesalia mdogo wao, na tazama, anawachunga kondoo. Basi Samweli akamwambia Yese, Tuma watu, wamlete; kwa sababu hatutaketi hadi atakapokuja huku.

12 Basi akatuma mtu, naye akamleta kwao. Naye alikuwa mwekundu, mwenye macho mazuri, na umbo lake lilikuwa la kupendeza. BWANA akasema, Ondoka, umtie mafuta; maana huyu ndiye.

Mfalme Suleman alikua ni last born kwa baba yake Mfalme Daudi ambae alikua na kaka yake mkubwa Abesolum mtoto wa kwanza wa mfalme Daudi aliependwa sana na baba yake Daudi lakini akafanya njama za kumpindua Daudi na kuchukua ufalme wa baba yake kwa nguvu ikapigwa vita first born akakatwa kichwa kisha last born akawa mfalme Suleman

Yusuphu na nduguze watoto wa Yakobo waliomuuza kwa wale wamisiri baadae akaja kua mtu wa juu alikua ni last born

Mafundisho ni machache tu ukitaka nikuongezee mengine nakuongezea ili uone kwamba Mungu haangalii first born maandiko yanakataa Mungu anaangalia last born yule aliye mdogo kuliko wote ndie mwenye ufalme wa MUNGU
 
We jamaa Kwa uongo

MTU mwenye miaka 60 unaweza kuwa na mdogo wako anayesoma
 
Ni January tena.

Yani kama umeniona kaka mkubwa jana tu nimetoka kukamilisha muamala wa school fees za dogo fulani sasa hivi ana uhakika wa kusoma mwaka mzima bila mtu kumfuata kwa issue ya school fees.
Kongole kwako kaka mkubwa,lazima tuwapush madogo wakamilishe ndoto zao,hiyo kwetu ni motivation tosha kuwaona wengine wanatimiza ndoto zao kupitia sisi kaka wakubwa na dada wakubwa
 
Back
Top Bottom