Etugrul Bey
JF-Expert Member
- Aug 6, 2020
- 6,514
- 15,247
- Thread starter
- #41
Umeamka na sisi au sio 😂😂Acheni kujipa maujiko, wengi wenu walevi tu 😹😹
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeamka na sisi au sio 😂😂Acheni kujipa maujiko, wengi wenu walevi tu 😹😹
Hatar sana utaelewa ukiwa humo humo dimbani😂😂dah! unavalishwa jezi na mchezo hujauelewa.
😹😹😹 khaaaa.!!😃😃😃Acha kutuonea wivu itakuwa lastborn wee kazi yenu kususa tu ndo mnachojua😀😀😀
😂😂Bora umekubali mdogowangu alikuwa analia ukipikwa ugali wa Dona ila lastborn hapana 😂😹😹😹 khaaaa.!!
Wifi mi napenda kususa mpk nakera, halafu nna viburi vile vya uzima.!!
Nilikuwa nikisusa najifanya siongei na mtu ili nisioshe vyombo, basi sis anajua mbinu zangu atasema “Osha vyombo ndo ususe” 🤣🤣
Watasusa Uzi Hao Kwa kususa wako vizuri 😃😃Nina jambo nao hawa watu wa kudeka deka,ntawafikia mda si mrefu
Mtuache ma lastborn nyie endeleeni kujipakulia minyama tu.!!Kpnz Labella being first born haimaanishi kwamba nisiweze kuishi maisha yangu,kikubwa upande wa pili wa shilingi natimiza majukumu yangu kama kawaida
Maisha ni kubalance mambo,na istoshe kukaa na dem kwenye basi haimaanishi kwamba nipo kimapenzi zaidi laa,ila hata wewe utakubaliana na mimi,kukiwa na combination ya me na ke hakuna kuboa yan iko hivyo
Ntakuja na uzi wa malast born mda si mrefu nina jambo na nyinyi
😹😹😹😹😂😂Bora umekubali mdogowangu alikuwa analia ukipikwa ugali wa Dona ila lastborn hapana 😂
Tatizo tukijipakulia minyama nanyi mko pembeni mnataka kudoea😂😂Mtuache ma lastborn nyie endeleeni kujipakulia minyama tu.!!
Chaiiii 😂👊🏾Jpili hii unaenda kupambana nini? 😹
Nitakuja na bandiko lenu mkae kwa kutuliaSisi wa mwisho tukoje?
Bibi yako katisha sana,yaani ukioga sana unakonda😂😂😹😹😹😹
Mimi nilikuwa sipendi kuoga ile asubuhi, mchana na jioni, basi bibi akija anamsema mama “Muacheni mtoto kila saa mnataka aoge ndiomana anakonda hanenepi” 🤣🤣
Basi hapo mimi bichwa hiloo nafurahi kweli, huyu bibi mpk leo nampenda.!!
Tupo km mtu na mwanae, kumjua bibi yangu mpk tukwambie.
😂😂 kweli kabisa sijui huwa wanajikuta wakina naniWatasusa Uzi Hao Kwa kususa wako vizuri 😃😃
Ulevi na roho mbaya ni vitu havipatani kabisa , walevi wana mioyo ya kipekee sana.Acheni kujipa maujiko, wengi wenu walevi tu 😹😹
😹😹😹 huyo bibi yangu ana vituko, ana vimaneno vingi halafu bibi wa mjini sasa.!!Bibi yako katisha sana,yaani ukioga sana unakonda😂😂
Mwambie nimempenda bure
Mmeanza kuwasilisha utetezi wenu 😹😹Ulevi na roho mbaya ni vitu havipatani kabisa , walevi wana mioyo ya kipekee sana.
View attachment 3192959
Uyo baba ni last born nadhaniHuu ni ushuhuda tosha kwamba hawa watu ni watu na nusu hakika wanapambana sana
Duh huyu jamaa uliyemuelezea ana changamoto sana kwakweli,mungu amsimamie sana
Nimeboreka na tabia ya baba yake,mtu amemfungulia biashara mama yake halafu baba anaifilisi,hakika sio baba wote wana sifa ya kuwa baba
Walevi waheshimiwe mkuu, japo mimi sio mtoto wakwanza ni wa nane , wanne kutoka mwisho.Mmeanza kuwasilisha utetezi wenu 😹😹
ila bora bibi wa hivyo anafurahi na wajukuu zake,kuna bibi wengine hawana kucheka wala kufurani na wajukuu zao ni visirani hatar yani😹😹😹 huyo bibi yangu ana vituko, ana vimaneno vingi halafu bibi wa mjini sasa.!!
Nikimuona huwa najiona mimi kashanipa vitabia vyake….!!
Mko dazani?? 😹😹Walevi waheshimiwe mkuu, japo mimi sio mtoto wakwanza ni wa nane , wanne kutoka mwisho.