Mafirst born muishi maisha marefu

Mafirst born muishi maisha marefu

Amiin tumebarikiwa
Na tunashukuru Mungu Kwa kuzaliwa mwanzo Yani Kuna mda unaona kabisa unatak kukata moto ila ukiangalia kunawatu wanakuangalia wanahitaji msaada au la wew ndo mfano Bora kwao inabid usimame
Hongera sana kpnz na pole kwa majukumu ndio ukubwa huo,wala usikate moto kaza tu mpaka kieleweke

Nyie ndio nguzo za familia hamna budi kusimama imara maana nguzo ikiyumba tu kwengine nako kunayumba
 
Nipo nalikokota Jahazi staling mwenyewe. Nimemalizana nao madogo sasa nipo na familia yangu na bi mdenga. Kidogo tuu kikubuma lazima akuvutie waya.
Hongera boss,wewe ndio captain meli lazima ifike pwani haijalishi bahari imechafuka kiasi gani malengo meli ifike kwe gati lake bandarini
 
Wazaliwa wa kwanza ni baba mbadala,Esau alizalau uzaliwa wake wa kwanza akamuuzia mdogo wake kwa chakula cha dengu akawa ndio ameuza baraka zote za uzaliwa wa kwanza,Yakobo ambaye ndiye mdogo wake Esau ndiye Israel wa leo taifa lenye nguvu duniani.
Shukrani sana boss
 
Wewe Etugrul Bey unayekasirika kwenye bus kukaa na wanaume wenzio badala ya pisi ndo firstborn wa mfano?? 😹😹
Unatekeleza majukumu ya kusambaza yutiayi SUGU au?? 🤣

Bora niendelee kujivunia u-lastborn wangu tu..!!
 
First born wengi hawajafanikiwa KIMAISHA wengi wamepoteza Mwelekeo wameishia kuvuta bangi na pombe SAD.
Ni kweli kabisa,fikiria kwamba mtu huyu hajajipata kimaisha na wakati huo huo kuna watu wanamuangalia yeye,hakika kama hayopo imara lazima achanganyikiwe maana anajiona amekwama kuwainua watu ambao wanamtegemea yeye
 
Wewe Etugrul Bey unayekasirika kwenye bus kukaa na wanaume wenzio badala ya pisi ndo firstborn wa mfano?? 😹😹
Unatekeleza majukumu ya kusambaza yutiayi SUGU au?? 🤣

Bora niendelee kujivunia u-lastborn wangu tu..!!
Kpnz Labella being first born haimaanishi kwamba nisiweze kuishi maisha yangu,kikubwa upande wa pili wa shilingi natimiza majukumu yangu kama kawaida

Maisha ni kubalance mambo,na istoshe kukaa na dem kwenye basi haimaanishi kwamba nipo kimapenzi zaidi laa,ila hata wewe utakubaliana na mimi,kukiwa na combination ya me na ke hakuna kuboa yan iko hivyo

Ntakuja na uzi wa malast born mda si mrefu nina jambo na nyinyi
 
Back
Top Bottom