Mafirst born muishi maisha marefu

Mafirst born muishi maisha marefu

Nadhani sio first borns tu, hata 2nd na 3rds born nao wanahusika sana hasa kama familia ni kubwa...binafsi nimeshuhudia unaacha mambo yako makubwa ya maendeleo ili uhakikishe madogo wanamaliza chuo na usiombe sijui wamekosa mkopo wa HESLB halafu ni mapacha na wako vyedi upstairs, huna pa kukimbilia ni kuwasaidia tu no way out.
Sawa boss,hatukatai hilo unalosema,ila hapa tunazungumzia kwa asilimia kubwa wadada
Nadhani sio first borns tu, hata 2nd na 3rds born nao wanahusika sana hasa kama familia ni kubwa...binafsi nimeshuhudia unaacha mambo yako makubwa ya maendeleo ili uhakikishe madogo wanamaliza chuo na usiombe sijui wamekosa mkopo wa HESLB halafu ni mapacha na wako vyedi upstairs, huna pa kukimbilia ni kuwasaidia tu no way out.
Ni sahihi unavyosema na hatulipingi hilo hata kidogo,ila hapa tunazungumzia kwa asilimia kubwa wadada na wakak wakubwa mara nyingi hubeba majukumu makubwa
 
View attachment 3192424

Kuwa wa kwanza kuzaliwa hakika ni mapambano makubwa sana,kwasababu moja kwa moja unajikuta majukumu yanakuandama kwa namna moja au nyingine

Hawa watu wanajitoa sana kuokoa jahazi lisizame katika familia,tena katika hizi familia zetu ambazo bado hazija jipata hakika mafirst born wanajitoasana kwa kupenda au kwakutokupenda,na watafanyaje angali wanategemewa wao

Ni mara nyingi unawakuta hawa watu wanashindwa kufanya mambo yao ya maendeleo kwasababu wapo pale kusapoti familia zao na wadogo zao,kwahiyo next time ukimuona first born hajajenga au kujiimarisha kiuchumi basi tambua ana mzigo mkubwa wa ndugu na jamaa wanamtegemea

Najua kuna baadhi mtasema hayo sio majukumu yake,bali majukumu yake ni kuangalia watoto wake na familia yake,nasema hivi kwa mtu ambaye anajitambua hawezi acha wazazi wake au ndugu ambao wanahitaji msaada kisha akawapuuza,hilo haliwezekani kwasababu hao ni jamaa zake na watu wake wa karibu

Kwao wao kuwaona ndugu zao wanaenda shule kwa msaada wao ni faraja kubwa sana,kuwaona ndugu zao wanapata mkate wao wa kila siku ni jambo lenye kuwapa faraja sana,kuiona familia inatabasamu ni jambo lenye kuwapa amani katika nyoyo zao

Mafirst born aluta continua kama mlivyoanza na ndio mtakavyo maliza,daima endeleeni kushow love kwa ndugu jamaa na marafiki,mmezaliwa wa kwanza kwakuwa mna mission hapa duniani,nyie ni viongozi,na sifa kubwa ya kiongozi ni kutatua shida za ndugu zake na jamaa zake

Kiongozi siku zote huwa baina ya shida za watu wake na kutafuta namna ya kuzitatua au kama sio kuzipunguza,haukuwa mzaliwa wa kwanza kwa bahati mbaya bali ili upambanie jamii yako

Nafahamu huwa mnajitoa sana kwa ajili ya ndugu hata wakati mwingine mnakosa yale ambayo mnayapenda katika nafsi,nawapa moyo kwamba,hakika mnabadilisha maisha ya watu wengi sana,huenda msipate nafasi ya kuambiwa hayo lkn mfahamu kwamba juhudi zenu haziendi bure

Endeleeni kupambana mpaka tone la mwisho la damu

Ni hayo tu!
Hakika
 
Sawa boss wangu tupo pamoja,ila madogo wasione mwenendo wako na mashangazi watakuvua vyeo
Mi madogo walionifuata upande wa baba wote wamenikataa kisa wanazani mimi ndo chanzo cha mama yao kuachika hivo sina mpango nao..

Ila huyu dogo wa mama mmoja ni show show namlisisha kila kitu
 
Last born kwenu ana umri gani?
Familia yetu ni ya wake wawili kwa maana baba anawake wawili,upande wa mama yetu tupo sita,hakuna anayesoma now,wa mwisho ana 27

Ila huko kwa mama mdogo wapo madogo wengi
 
Mtoto wa kwanza huwa anaweza kuwa Vulnerability .

Nfaelezea vizuri hapa chini.


Mimi mama yangu ni mzaliwa wa kwanza na ndo mtu wa kwanza kupata pesa, Nyumba , gari na Biashara kubwa .


Ila ndo mtu wa kwanza kujiingiza katika pombe , na starehe mbali mbali ambazo zimemrudisha zero step .


Niseme unapokuwa mzaliwa wa kwanza unakuwa upo katika nafasi nzuri ya Ku-break chain mbali mbali Kama umasikini n.k


Mtoto wa kwanza anakuwa anatazamwa na watu wabaya wengi maana yeye ndo anakuwa amebeba Picha ya FAMILIA mebegani.

So ni vizuri pia Kama mzaliwa wa kwanza ukajitahidi kujizuia mambo yote unayohisi yanaweza kuua potential yako Kama Pombe, bangi na Anasa .



So ukishindwa kusoma hata wadogo zako watakosa good inspiration kutoka kwako.

Ukiwa masikini the same .

So being vulnerability -inaweza ikawa kiroho ,kiakili, n.k (kushambilika)


Mimi ni last born kwetu Ila to be honest our first born haeleweki tulichoamua ni kuhakikisha tunaboresha kizazi chake na yeye kumpa back up za hapa na pale .


Ukiwa first born unabidi kuwa rule modal and role model Kwa wadogo zako .
 
Happ hatujafanikiwa mentally unataka kumaanisha nini mkuu

Mkuu , hii haimaniishi wote wapo hivyo. Kuna ambao wapo vizuri.


Wazaliwa wa kwanza baadhi ya familia utawakuta wana uwezo mdogo wa kuji-control katika maisha na kuwachorea ramani wadogo zao.

Kuna idadi kubwa Sana ya watu Leo wanajuta kwanini Alizaa mtoto mmoja .


Fatilia familia nyingi na uangalie mtoto wa kwanza hasa hizi familia ambazo za kawaida Uswahilini ,vijijini n.k.


Wajuvi wa mambo huwa wanatoa kila rasilimali pamoja na ulinzi mkubwa Kwa mtoto wa kwanza maaana huyo ni Kama lango la mafanikio ya wadogo zake.
 
Mkuu , hii haimaniishi wote wapo hivyo. Kuna ambao wapo vizuri.


Wazaliwa wa kwanza baadhi ya familia utawakuta wana uwezo mdogo wa kuji-control katika maisha na kuwachorea ramani wadogo zao.

Kuna idadi kubwa Sana ya watu Leo wanajuta kwanini Alizaa mtoto mmoja .


Fatilia familia nyingi na uangalie mtoto wa kwanza hasa hizi familia ambazo za kawaida Uswahilini ,vijijini n.k.


Wajuvi wa mambo huwa wanatoa kila rasilimali pamoja na ulinzi mkubwa Kwa mtoto wa kwanza maaana huyo ni Kama lango la mafanikio ya wadogo zake.
Aaaah inawezekana kuwa hivo..
Ila hi mantiki ya mtoto wa kwanza imekaaje kwa mimi ambaye wanasema my brother alifariki nikiwa mimi nipo too young... Hapo upande wa baba....

Hapo tasema mimi ni wa kwanza
 
Aaaah inawezekana kuwa hivo..
Ila hi mantiki ya mtoto wa kwanza imekaaje kwa mimi ambaye wanasema my brother alifariki nikiwa mimi nipo too young... Hapo upande wa baba....

Hapo tasema mimi ni wa kwanza


Kwanza pole Sana Kwa kumpoteza ndg yako

Wewe unahesabika wa pili Ila unatambulika kaka mkubwa uliye hai na pekee

So unabidi u pray role ya first born Kwa wadogo zako .
 
Kuna first born wanadekeza wadogo hata wazazi wao kujitegemea.
Wanajiona wao ndio watatuzi wa shida za watu.
 
Kwanza pole Sana Kwa kumpoteza ndg yako

Wewe unahesabika wa pili Ila unatambulika kaka mkubwa uliye hai na pekee

So unabidi u pray role ya first born Kwa wadogo zako .
Duuuh basi hii hatareee...
Japo kwa upande wa mama mi ndo wa kwanza..

Mkuu all in all watoto wa kwanza sisi daaah basi tuu
 
Kwenye familia lazima kuwe na lango la familia mara nyingi mafirst born ndo wanakuwa lango la familia ila hata last born anaweza akawa lango la familia.
 
Back
Top Bottom