Mafirst born muishi maisha marefu

Mafirst born muishi maisha marefu

Mi kwa upande wangu nakubali kidogo na pia nakataa sana
Kwanini nakataa?
Wa kwanza kuzaliwa wengi ni watoto chaguo la wazazi na hiyo nafasi wanaitumia vibaya sababu wanadekezwa na kupewa nafasi hata kama wanakua hamnazo na wengi hasa akiwa wa kiume wanakuwa tegemezi mpaka kufa kwake na kama kamkuta baba ana ajira rasmi ndio kabisa wanashindwa kujishikilia.
Labda kwenu..!!
 
View attachment 3192424

Kuwa wa kwanza kuzaliwa hakika ni mapambano makubwa sana,kwasababu moja kwa moja unajikuta majukumu yanakuandama kwa namna moja au nyingine

Hawa watu wanajitoa sana kuokoa jahazi lisizame katika familia,tena katika hizi familia zetu ambazo bado hazija jipata hakika mafirst born wanajitoa sana kwa kupenda au kwa kutokupenda,na watafanyaje angali wanategemewa wao

Ni mara nyingi unawakuta hawa watu wanashindwa kufanya mambo yao ya maendeleo kwasababu wapo pale kusapoti familia zao na wadogo zao,kwahiyo next time ukimuona first born hajajenga au kujiimarisha kiuchumi basi tambua ana mzigo mkubwa wa ndugu na jamaa wanamtegemea

Najua kuna baadhi mtasema hayo sio majukumu yake,bali majukumu yake ni kuangalia watoto wake na familia yake,nasema hivi kwa mtu ambaye anajitambua hawezi acha wazazi wake au ndugu ambao wanahitaji msaada kisha akawapuuza,hilo haliwezekani kwasababu hao ni jamaa zake na watu wake wa karibu

Kwao wao kuwaona ndugu zao wanaenda shule kwa msaada wao ni faraja kubwa sana,kuwaona ndugu zao wanapata mkate wao wa kila siku ni jambo lenye kuwapa faraja sana,kuiona familia inatabasamu ni jambo lenye kuwapa amani katika nyoyo zao

Mafirst born aluta continua kama mlivyoanza na ndio mtakavyo maliza,daima endeleeni kushow love kwa ndugu jamaa na marafiki,mmezaliwa wa kwanza kwakuwa mna mission hapa duniani,nyie ni viongozi,na sifa kubwa ya kiongozi ni kutatua shida za ndugu zake na jamaa zake

Kiongozi siku zote huwa baina ya shida za watu wake na kutafuta namna ya kuzitatua au kama sio kuzipunguza,haukuwa mzaliwa wa kwanza kwa bahati mbaya bali ili upambanie jamii yako

Nafahamu huwa mnajitoa sana kwa ajili ya ndugu hata wakati mwingine mnakosa yale ambayo mnayapenda katika nafsi,nawapa moyo kwamba,hakika mnabadilisha maisha ya watu wengi sana,huenda msipate nafasi ya kuambiwa hayo lkn mfahamu kwamba juhudi zenu haziendi bure

Endeleeni kupambana mpaka tone la mwisho la damu

Ni hayo tu!
We ni first born ? au unafaidi matunda ya sisi born first
 
Asante Grahams Babu njoo ututie moyo firstborn huku
Hongereni kuzaliwa wa kwanza kwenye familia zenu

Kuzaliwa wa kwanza, kunaambatana na changamoto zake

Kiroho, huwa Kuna vita sana kwa watoto wa kwanza

Ndiyo maana huwa inashauriwa kuwaombea sana watoto wa kwanza

Kwa maana huwa ni njia Kwa wadogo zake

Ukiharibu first born, unaweza kuwakatisha tamaa wadogo zako, na ukifanikiwa inakuwa ni chachu pia ya kuwashika Mkono wadogo zako na ndugu wengine

Binafsi sijazaliwa wa kwanza

Ila mzigo nilionao nyuma yangu, utasema ndiyo first born

Hongereni na poleni first born wote wa JF

Najua mnayopitia kama first born huko kwenye familia zenu

Mungu awasaidie
 
Namshukuru Mungu mimi pia ni mzaliwa wa kwanza kwa mama yangu. Tangu nikiwa mdogo nilikuwa napambana sana hasa baada ya kuona mama yangu alivyokuwa anapambana. Nilikuwa namsaidia sana kazi mbali mbali hadi zq Kuuza pombe nikiwa likizo. Nimeuza sana pombe. Kupika pombe nk.

Baada ya kumaliza Form six nilichaguliwa chuo kikuu kubwa Dar. Kwakuwa familia yangu najua kipato chetu ni duni nilipoanza tu kupata bumu cha kwanza niligawa iende nyumbani. Nikawa ndo utaratibu wangu kila nikipata bumu lazima nigawe iende nyumbani. Ilisaidia sana kubadilisha maisha pale nyumbani. Mama akaacha kuuza pombe za kienyeji akafungua duka. Na huduma nyingine.

Nilipo maliza chuo kikuu mshahara wa kwanza nilianza kulipa ada kwaajili ya wadogo zangu. Na nimeendelea kuwasupport hadi walipo anza kujitegemea.


Watoto wa kiume wa kwanza tunakuwa na majukumu mengi sana. Tunashukuru wale ambao mnatukumbuka na kutuombea
Nimeipenda hii boss

Hongera sana kaka mkubwa,naamini kabisa story itazidi kuwapa hamasa dada na kaka wakubwa wapambanie familia zao
 
Hongereni kuzaliwa wa kwanza kwenye familia zenu

Kuzaliwa wa kwanza, kunaambatana na changamoto zake

Kiroho, huwa Kuna vita sana kwa watoto wa kwanza

Ndiyo maana huwa inashauriwa kuwaombea sana watoto wa kwanza

Kwa maana huwa ni njia Kwa wadogo zake

Ukiharibu first born, unaweza kuwakatisha tamaa wadogo zako, na ukifanikiwa inakuwa ni chachu pia ya kuwashika Mkono wadogo zako na ndugu wengine

Binafsi sijazaliwa wa kwanza

Ila mzigo nilionao nyuma yangu, utasema ndiyo first born

Hongereni na poleni first born wote wa JF

Najua mnayopitia kama first born huko kwenye familia zenu

Mungu awasaidie
Shukrani sana mzee wa hovyo,na pole kwa changamoto unazopitia pia

Aluta continua
 
Kwanini boss

Sielewi sababu mkuu lakini nadhani kwa kuwa na first born wengi huzaliwa na Karama za uongozi basi mwanamke firstborn akiingia kwenye ndoa huingia na mamlaka ya ufirst born ilhali mwanaume akiingia na ujinga wa 'mimi ni kichwa' cha familia!hapo ndipo tunapopata usemi usemao "FAHARI WAWILI HAWAKAI ZIZI MOJA"
 
Mbona kaka yangu ni kilaza ?

Utafiti wako upitie upya tena
Kumbuka first born wa familia ya kishua huwa ni mzigo sana.Nguo mpya yeye, kudekezwa yeye, hapo akili atatoa wapi? Kimbembe kwa watoto wanaofuatia wao ni kuvaa nguo za first born kwenda mbele na mshua kishaanza kuchoka pesa anahesabilia mfukoni msione ana kiasi gani.
 
View attachment 3192424

Kuwa wa kwanza kuzaliwa hakika ni mapambano makubwa sana,kwasababu moja kwa moja unajikuta majukumu yanakuandama kwa namna moja au nyingine

Hawa watu wanajitoa sana kuokoa jahazi lisizame katika familia,tena katika hizi familia zetu ambazo bado hazija jipata hakika mafirst born wanajitoa sana kwa kupenda au kwa kutokupenda,na watafanyaje angali wanategemewa wao

Ni mara nyingi unawakuta hawa watu wanashindwa kufanya mambo yao ya maendeleo kwasababu wapo pale kusapoti familia zao na wadogo zao,kwahiyo next time ukimuona first born hajajenga au kujiimarisha kiuchumi basi tambua ana mzigo mkubwa wa ndugu na jamaa wanamtegemea

Najua kuna baadhi mtasema hayo sio majukumu yake,bali majukumu yake ni kuangalia watoto wake na familia yake,nasema hivi kwa mtu ambaye anajitambua hawezi acha wazazi wake au ndugu ambao wanahitaji msaada kisha akawapuuza,hilo haliwezekani kwasababu hao ni jamaa zake na watu wake wa karibu

Kwao wao kuwaona ndugu zao wanaenda shule kwa msaada wao ni faraja kubwa sana,kuwaona ndugu zao wanapata mkate wao wa kila siku ni jambo lenye kuwapa faraja sana,kuiona familia inatabasamu ni jambo lenye kuwapa amani katika nyoyo zao

Mafirst born aluta continua kama mlivyoanza na ndio mtakavyo maliza,daima endeleeni kushow love kwa ndugu jamaa na marafiki,mmezaliwa wa kwanza kwakuwa mna mission hapa duniani,nyie ni viongozi,na sifa kubwa ya kiongozi ni kutatua shida za ndugu zake na jamaa zake

Kiongozi siku zote huwa baina ya shida za watu wake na kutafuta namna ya kuzitatua au kama sio kuzipunguza,haukuwa mzaliwa wa kwanza kwa bahati mbaya bali ili upambanie jamii yako

Nafahamu huwa mnajitoa sana kwa ajili ya ndugu hata wakati mwingine mnakosa yale ambayo mnayapenda katika nafsi,nawapa moyo kwamba,hakika mnabadilisha maisha ya watu wengi sana,huenda msipate nafasi ya kuambiwa hayo lkn mfahamu kwamba juhudi zenu haziendi bure

Endeleeni kupambana mpaka tone la mwisho la damu

Ni hayo tu!
Kama wewe ni first Born gonga like hapa
 
Sielewi sababu mkuu lakini nadhani kwa kuwa na first born wengi huzaliwa na Karama za uongozi basi mwanamke firstborn akiingia kwenye ndoa huingia na mamlaka ya ufirst born ilhali mwanaume akiingia na ujinga wa 'mimi ni kichwa' cha familia!hapo ndipo tunapopata usemi usemao "FAHARI WAWILI HAWAKAI ZIZI MOJA"
Una point boss wangu inabidi usikilizwe
 
Shukrani sana mzee wa hovyo,na pole kwa changamoto unazopitia pia

Aluta continua
Shukrani sana Mkuu, japo tangu huu Mwaka uanze nimekuwa Mzee wa busara kuliko mwaka Jana, nadhani hizi mvi zangu kuongezeka kumepelekea na busara kuongezeka pia 🤗

Changamoto anayopitia first born wa kiume na first born wa kike Kuna utofauti

First born wa kiume huwa anachukuliwa kama ni mrithi wa familia

Kwahiyo vita yake huwa ni kubwa kuliko first born wa kike, as wanachukulia baada ya muda ataolewa na kwenda kuendelea Ukoo mwingine.
 
Shukrani sana Mkuu, japo tangu huu Mwaka uanze nimekuwa Mzee wa busara kuliko mwaka Jana, nadhani hizi mvi zangu kuongezeka kumepelekea na busara kuongezeka pia 🤗

Changamoto anayopitia first born wa kiume na first born wa kike Kuna utofauti

First born wa kiume huwa anachukuliwa kama ni mrithi wa familia

Kwahiyo vita yake huwa ni kubwa kuliko first born wa kike, as wanachukulia baada ya muda ataolewa na kwenda kuendelea Ukoo mwingine.
Kwanza kuanzia sasa ntakuita mzee wa busara na Mungu azidishe busara na hekima ndani yako,wazee kama nyinyi ushauri wenu unahitajika sana hapa jamvini

Kuhusu hayo mengine sitii neno naona ntaharibu

Asante sana mzee mwenzangu
 
Kwanza kuanzia sasa ntakuita mzee wa busara na Mungu azidishe busara na hekima ndani yako,wazee kama nyinyi ushauri wenu unahitajika sana hapa jamvini

Kuhusu hayo mengine sitii neno naona ntaharibu

Asante sana mzee mwenzangu
Shukrani sana Mkuu, barikiwa sana 🙏🙏
 
Hongereni kuzaliwa wa kwanza kwenye familia zenu

Kuzaliwa wa kwanza, kunaambatana na changamoto zake

Kiroho, huwa Kuna vita sana kwa watoto wa kwanza

Ndiyo maana huwa inashauriwa kuwaombea sana watoto wa kwanza

Kwa maana huwa ni njia Kwa wadogo zake

Ukiharibu first born, unaweza kuwakatisha tamaa wadogo zako, na ukifanikiwa inakuwa ni chachu pia ya kuwashika Mkono wadogo zako na ndugu wengine

Binafsi sijazaliwa wa kwanza

Ila mzigo nilionao nyuma yangu, utasema ndiyo first born

Hongereni na poleni first born wote wa JF

Najua mnayopitia kama first born huko kwenye familia zenu

Mungu awasaidie
Amiin amiin
Kwakweli mapambano ni makali sana
 
Back
Top Bottom