Mafisadi ndiyo chanzo cha chuki dhidi ya mawaziri wa wizara ya Nishati

Mafisadi ndiyo chanzo cha chuki dhidi ya mawaziri wa wizara ya Nishati

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
 
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Hapo Kuna hela nying za nje nje tu kama utalii kule mambo mswano kama vita za TPDC


USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
 
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
January ni mpiga deal full stop,
Wewe ni mfano wa Pascal Mayalla, mmenunuliwa!
 
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Namba tano umetudanganya.Kalemani amekaa kwasababu ya uchapakazi wake, Magufuli alikuwa alindi Mawaziri wabovu na ndiyo maana Nape na January aliwatupa nje mapema sana kwasababu ni wababaishaji.
Mawaziri wa Nishati wengi waliondoshwa kwasababu ya kujihusisha na dili chafu zikiwa na ushaidi juu.
Ata sisi tulikuwepo Mkuu,tunajua kila kitu.Nitajie dili chafu aliloshiriki Kalemani kwenye Nishati alafu nikupe dili chafu za January mpaka sasa.
 
Kwa sasa uozo kwenye wizara hii umekithili sana kuliko ilivvokuwa hapo awali.yote haya yamesababishwa na namba moja kuwa goigoi
 
Hakuna lolote, wewe unaona ni sawa yeye akienda likizo analipwa akiwa kwenye vikao analipwa alafu wafanyakazi wa wizara zake wanakwenda likizo bila malipo ni haki kweli
 
Kwa
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Kwani wenye timu yake ya utetezi ,🤔
 
Mengine kumuweka nani hii.. umeboronga hapo... Nje ya boksi sio kwako kabisaaa.. ushabiki mcheara na hasira zimekujaa 😅😅😅
 
Na ndiyo chanzo cha makelele mengi wizara hii
Chuki kwa mawaziri ni ubinafsi wa kishenzi wa baadhi yetu tunaotumia media kuchafua CV za viongozi ili tuweze kutimiza malengo yetu yasiyo na faida wala uhusiano wowote na maisha ya mtanzania wa kawaida.
 
Kashike msambwanda wa mkeo muda wa jioni usilutee uzi wa kumtetea makamba mwizi...
 
Chuki kwa mawaziri ni ubinafsi wa kishenzi wa baadhi yetu tunaotumia media kuchafua CV za viongozi ili tuweze kutimiza malengo yetu yasiyo na faida wala uhusiano wowote na maisha ya mtanzania wa kawaida.
Maneno na chuki za watanzania wa kawaida ni sawa na kelele za chura mtoni, Wala haziwezi kumzuia ng'ombe kunywa maji (hazina athari kwa viongozi wetu).

Mara nyingi watanzania wa kawaida hucheza ngoma za wakubwa (mafisadi). Source ya ubaya huu ni Mafisadi.

Mafisadi hununua media na media huanza kusambaza uzushi na Hila kwa malipo kiduchu.
 
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Mradi wa bwawa la umeme ulicheleweshwa na mkarandarasi kwa hiyo walitakiwa kulipa b300 na mwaka huu pia wamechelewesha.mtete mumeo hizo b300 zipo wapi kwa sababu ni haki ya nchi kulipwa.pia kutokana na mkataba mkarandarasi anatakiwa ainvest b200 kwa jamii inayozunguka mradi tuoneshe yapi yamefanyika.
 
Mafisadi ni nani?

Unajaribu kutengeneza watu wa kufikirika utuingize chaka tusione madudu ya makamba.
 
Makamba jr siyo waziri wa kwanza ktk wizara ya nishati kuundiwa zengwe na mafisadi. Mafisadi ya nchi hii yamekuwa yakiparurana na kila waziri wa wizara hii. Hiki ndiyo chanzo cha kelele zote hizi dhidi ya Makamba jr, waziri wa nishati wa sasa.

Mpk wabunge wamo ktk Mkumbo huu. Eti wanasusia kuchangia bajeti! Loo! Hata aibu hawaoani??

Mbona hawakususia bajeti ya utawala bora wakati ripoti ya CAG ikiwekwa kwenye dust bin na spika?? Kama kweli wabunge wanaongozwa na dhamira njema mbona hawakukomalia kujadili ripoti ya CAG???

Labda niwakumbushe ndugu wanaJF, jinsi mafisadi yamekuwa yakiwaondoa mawaziri ktk hii wizara.

1. Nazir Karamagi ....mwaka 1 tu akachomolewa.
2. Msabaha.....mwaka 1 tu akachomolewa.
3. William Ngeleja.....mwaka 1 tu akachomolewa.
4. Pro. Sospeter Muhongo......mwaka 1 tu akachomolewa.
5. Kalemani ...........amekaa muda mrefu (miaka 5) kwasabb alikuwa analindwa na dikteta.

Waziri Makamba jr chapa kazi na kazi iendelee.!! Watanzania wote wenye akili tuko nyuma yako.
Unakaa nyuma yake unataka nini
 
Wewe sema j Makamba amekaa kwenye mirija ya asali na mwenye mzinga kasinzia (Sa100) kisha ikakufikia zamu yako ya kuchovya kwenye buyu basi yanakutoka tu tena Kwa kufananisha na watangulizi katika wizara hiyo.Mkae Kwa kufikiria namna uozo unavyoathili ukuaji wa nchi na si kujiona ninyi baada ya kulambishwa asali , muulize aliyekutuma akupe majibu ya maswali haya;
1. Nani amezuia kulipwa pesa za likizo Kwa wafanyakazi wa Tanesco tangu mwaka Jana Kati Kati na ikiwa kwenye bajeti ya 2022/2023 fungi lilikuwepo ? Kisha hizo pesa zimefanyia nini mbadala na Kwa maelezo yapi.
2. Pesa za overtime zimeenda wapi ikiwa watu wanafanya masaa ya ziada na ikiwa bajeti ilikuwepo pesa yake kisha wanalipwa Kwa below 50 hrs.
3. Nani amezuia kupandishwa Kwa staffs baada ya kumaliza masomo na ikiwa bajeti yake ilikuwepo hiyo class ya 2021 no staff upgrading (rather than 5 staffs tena Kwa udini).
Etc
 
Back
Top Bottom