Obama anasafishaje Democratic party? Mwanawasa alibadilishaje MDD? Umeishasahau ushindi wake ulivyojaa mizengwe? Alihakikishaje kuwa uchaguzi wowote utakaomfuata utakuwa fair? Angalia yaliyompata Michael Sata aliposhindana na Rupiah Banda! Kiini macho kile kile kilirudiwa. Rupiah Banda aliyepewa umakamu na Mwanawasa kama shukrani kwa watu wa mashiriki ya Zambia kwa kumpigia kura!
- Obama mfano ni mdogo sana tu, umesikia aliioyafanya na pirates, piga risasi hakuna kujadiliana na mafisadi hiyo haijawahi kuwa tabia ya democrats hii ni mara ya kwanza katika historia ya Democratc party huko US.
- Mwanawasa, alishinda uchaguzi kwa kusaidiwa na mafisadi kama Chiluba Vernon Mwaanga, na kina Wilson Nchikuli na Nlumino Mundia, hawa ndio the Rostams wa huko Zambia, ambako nimewahi kuishi sana mkuu wangu, lakini Mwanawasa baada tu ya kushinda akamgeuka Chiluba na mafisadi wengine wengi wa kutupwa kama kina Elijah Mudenda,
- By the time anakufa tayari alishkuwa half way kuwashikisha adabu mafisadi, alishaweza ku-secure a convinction against Chiluba katika mahakama za UK, na kuweza ku-freeze hela zote za Chiluba UK, ambazo ni millions of dollars, huwezi safisha system kabla hujaanza na wahusika yaani viongozi na mafisadi wote, Mwanawasa was on the right track, as opposed na sisi bongo ambako rais wetu anawaogopa kina Rostam, Mwanawasa alianza na marafiki kama rostam kwanza.
- Rupia Banda, alikuwa ni kiongozi wa UNIP kwa muda mrefu sana under Kaunda, ameshika nafasi nyingi sana za chama cha UNIP wa-Zambia karibu wote wanamfahamu, Sata sijui kama unamfahamu viuri mkuu ni fisadi nambari moja, na ni mgeni wa siasa za Zambia, wananchi wa Zambia sio wajinga walishagundua kwamba Mwanawasa hayupo tena na mambo yake yamesha isha, kwa hiyo wakachagua experience in Banda, meaning political stability over fisadi Sata.
Unamtoa Muluzi kama mfano? Muluzi aliyetaka kubadili katiba ili aendelee kutawala.? Muluzi ambae serikali yake iliuza akiba ya mahindi ya nchi yake na kuleta janga la njaa Malawi? Mapato ya mauzo hayo ambayo hadi sasa hayajaonekana mahali! Muluzi ambae anashitakiwa na ACB ( Anti Corruption Bureau) kwa kubinafsisha mamilioni ya dola za wamalawi! Huyu ndiyo mfano wako wa wanaongoza mapambano dhidi ya mafisadi?[/QUOTE]
- Hapana hapa ni my bad, nilidhamiria kumtaja rais aliyechukua utawala baada ya Muluzi, samahani sana kwa hilo kosa.
Mvivu wa kufikiri ni wewe, Mkuu!
Amandla......
- This is typical you, bila maneno ya hovyo hovyo personally huwezi kumaliza hoja, mimi niliposema uvivu wa kufikiri sikumlenga anybody personally, lakini mkuu wangu huwezi andika hoja bila hizi lugha vipi mkuu ukiziacha maana uvumilivu huwa una kikomo chake, kama huwezi hizi debate hasa na mimi bila hizi maneno ya hovyo hovyo, please acha kunijibu na sitagusa hoja zako, ninajaribu kukupa heshima naona huitaki mkuu hatuhitaji hizi katika kujadili mustakabali wa masilahi ya taifa letu, sitasema on this personal thing tena maana nimesema ya kutosha sasa.
Respect.
FMES!