mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Wananyanyaswa sana hawa madogo. Utu uko wapi?Kunaa jamaa angu flan n suka wa semi eti konda haruhusiwi kula na yeye...n kama jamaa anaishi kitwana sana kisa dogo anamfundishaa udere...soo powaaa mazeee..
Hawachelewi kuombwa Ndogo unamkumbuka yule jamaa aliemuua dereva wake boda kule? Kisa ni hicho manyanyaso chanzo kilikua kuku tu na UgaliWananyanyaswa sana hawa madogo. Utu uko wapi?
Dah! Kwamba dereva wake alikula chakula cha boss?Hawachelewi kuombwa Ndogo unamkumbuka yule jamaa aliemuua dereva wake boda kule? Kisa ni hicho manyanyaso chanzo kilikua kuku tu na Ugali
Unyama mno. Huko mikoani madogo wanaishi vizuri tu, wanawata kwa ahadi nzuri za kuwafundisha ufundi, wakishakuja wanafundisha kufunga na kufungua, na kuwageuza watumwa wao.Kuna fundi mmoja humu wa sijui majumba.. nae aisome hii [emoji847]
Chanzo kilikua kuku alinunua njiani kuku wawili mweusi na mwekundi wakifika boda pale wanapaki yule dogo anaejifunza alikua anampikia sasa unajua nini kilitokea?Dah! Kwamba dereva wake alikula chakula cha boss?
Dah! Yaani kuonja tu ndiyo akamuua? Mbona hawa mafundi wana chuki sana?Chanzo kilikua kuku alinunua njiani kuku wawili mweusi na mwekundi wakifika boda pale wanapaki yule dogo anaejifunza alikua anampikia sasa unajua nini kilitokea?
Alimwambia kwamba wakifika boda achinje kuku mweusi dogo akakosea akachinja mwekundu ugomvi ukaanzia hapo akamwambia kuku hapati na Ugali hampi na hapo Ugali kapika dogo, kilichofuata sitaki kua shahidiDah! Yaani kuonja tu ndiyo akamuua? Mbona hawa mafundi wana chuki sana?
Kwamba aliyeua ni dogo?Alimwambia kwamba wakifika boda achinje kuku mweusi dogo akakosea akachinja mwekundu ugomvi ukaanzia hapo akamwambia kuku hapati na Ugali hampi na hapo Ugali kapika dogo, kilichofuata sitaki kua shahidi
Unyama... hakuna faida yoyote wanayopata. Ni uchawi tulife hili,,kuna kipindi nilikataa shule form 3 ikabid nimwambie mzee sitaki kusoma nataka kuwa fundi umeme,kuna fundi ni rafiki wa mzee akanipeleka nikakomae shule si nimeacha...
Fundi bishoo unamsea huyu au??Kuna fundi mmoja humu wa sijui majumba.. nae aisome hii π€
πππ Kudadadeq yanini kuuanalife hili,,kuna kipindi nilikataa shule form 3 ikabid nimwambie mzee sitaki kusoma nataka kuwa fundi umeme,kuna fundi ni rafiki wa mzee akanipeleka nikakomae shule si nimeacha.
tulikuwa tunafanya kazi bila kula tokea asubuhi hadi jioni na sehemu ata iwe mbali vipi mtatembea kwa miguu ila yeye fundi mkuu anachukua usafiri nilikaa miezi 2 nikaacha nikaomba nirudi tu kusoma tu
Mimi hapo simo sitaki ushahidi Ila dogo alitokomea kusikojulikanaKwamba aliyeua ni dogo?
Utakuaje Shahidi na hujulukani ? Kwani humu unatumia details zako halisi?Mimi hapo simo sitaki ushahidi Ila dogo alitokomea kusikojulikana