mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Habari!
Mnawatoa mikoani kwa kuwaahidi kuja kuwafunza ufundi, ila wakija huku mnawatumikisha na wanakuwa mafundi wa kukariri na kujua kufunga na kufungua pekee.
Mnawanyima maarifa na kuwafanya watumwa wenu. Mnawalipa malipo hafifu ili waendelee kuwatumikia. Hii haikubaliki.
Na ndiyo maana mafundi wengi siku hizi ni hovyo kabisa, wamekariri na hawajui hata ku reason ili kutafuta tatizo.
Wamekalia kupiga nyundo, kufunga na kufungua tu. Kwa nini mnafanya hayo?
Magari hayaishi na hayatokuja kwisha. Wafunzeni madogo ufundi stahiki badala ya kuwakaririsha kimakusudi ili wawatumikie. Huo ushamba!.
Mnawatoa mikoani kwa kuwaahidi kuja kuwafunza ufundi, ila wakija huku mnawatumikisha na wanakuwa mafundi wa kukariri na kujua kufunga na kufungua pekee.
Mnawanyima maarifa na kuwafanya watumwa wenu. Mnawalipa malipo hafifu ili waendelee kuwatumikia. Hii haikubaliki.
Na ndiyo maana mafundi wengi siku hizi ni hovyo kabisa, wamekariri na hawajui hata ku reason ili kutafuta tatizo.
Wamekalia kupiga nyundo, kufunga na kufungua tu. Kwa nini mnafanya hayo?
Magari hayaishi na hayatokuja kwisha. Wafunzeni madogo ufundi stahiki badala ya kuwakaririsha kimakusudi ili wawatumikie. Huo ushamba!.