Boss mimi ni fundi seremala. Najua unachokiongea wateja ndio shida wala sio mafundiSio fundi, sio mmiliki wa ofisi ya furniture wala hujawahi kua mfanya biashara wa furniture , ila unambishia alieko ndani ya industry ...
Sofa imara ukitaka fungua mfuko , ila bei za kuunga unga hizo sijui mil , lazima tu yakukute ... Kitambaa chanye afadhali ni elfu 12 mita moja , vitambaa vya maana ni 25/30 elfu sasa imagine sofa ya watu saba hamna hamna ile mita 30... Spring pair mona ni elfu 20, pair saba n bei gani ??.. Hujanunua godoro , ukitaka dodoma za maana , za inch mbili tu sehemu ya kuegemea , ambazo sio chini ya 7 pia , moja inakwenda kwa elfu 28... Bado siti, bado frame , bado fiber n.k
Hapo bado pesa ya ufundi, bado faida ..
Alafu mtu anaona 1.5mil kama pesa kuubwa... Hao danube wanakuuzia sofa mil 5... Kuna mil 3 imekatika kwenye kutengeneza ... Makodi kodi na faida ndio yanafikisha huko kwenye mil 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema ukipende cha nyumbani hata kama kibovu nunua tu usiangushe viwanda vyetuBoss mimi ni fundi seremala. Najua unachokiongea wateja ndio shida wala sio mafundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana! Tengenezea nyumbani kuacha kulipa kodi ya pango tutakufuata! Kuna magodoro Dodoma hayasinyai! Sio mpaka manyoya ya kondoo! Hata kama utaniuzia 1.5mil angalau lidumu miaka kadhaa linisogeze
Mie ntachonga la chumaMasofa ni ufahari kalieni vigoda na mikeka.
Unakuta kochi limemaliziwa vizuri linang'aa na kitambaa safi cha nguo, turubahi, au ngozi. Utadhani limetengenezewa Ulaya! Utapigwa hela ndefu seti 1.5million mpaka 5m. Sasa lipeleke nyumbani watoto waanze michezo yao! Utasikia mara ndani mbao zinaanza kukatika mara ukikaa unadumbukia kwenye uwazi/ shimo ndani ya miezi sita magodoro kama chapati na kuacha ngozi tipwatipwa kama ngozi ya mzee!
Niliwahi kununua makochi ya mnada pale British council Mitaa ya Posta huu mwaka wa 7 bado safi kama mapya nikiyasafisha na kuyapiga dawa fulani hivi ya kusafishia siti za gari.
Kwanini mafundi wa kiswahili mnashindwa kuwa wabunifu na kujiharibia soko? Nenda stoo za watengeneza makochi utakuta kochi kama lisiponunuliwa litaharibikia nyanga nyanga hapo hapo showroom bila hata kutumika kwa kuoza au kuliwa na mchwa kutokana na mambao chakavu wanayotumia.
Mafundi makochi badilikeni!! Mnashindwaje hata kuchukua/ kununua kochi moja la mtansha/mzungu mkadesa kalitengenezaje? Nenda hata pale 'Danube' Mlimani City chunguza yalivyotengenezwa na nyie tengenezeni hivyohivyo! Vinginevyo njaa zitawauma na kuwafichua hadi uvunguni.
Sio fundi, sio mmiliki wa ofisi ya furniture wala hujawahi kua mfanya biashara wa furniture , ila unambishia alieko ndani ya industry ...
Sofa imara ukitaka fungua mfuko , ila bei za kuunga unga hizo sijui mil , lazima tu yakukute ... Kitambaa chanye afadhali ni elfu 12 mita moja , vitambaa vya maana ni 25/30 elfu sasa imagine sofa ya watu saba hamna hamna ile mita 30... Spring pair mona ni elfu 20, pair saba n bei gani ??.. Hujanunua godoro , ukitaka dodoma za maana , za inch mbili tu sehemu ya kuegemea , ambazo sio chini ya 7 pia , moja inakwenda kwa elfu 28... Bado siti, bado frame , bado fiber n.k
Hapo bado pesa ya ufundi, bado faida ..
Alafu mtu anaona 1.5mil kama pesa kuubwa... Hao danube wanakuuzia sofa mil 5... Kuna mil 3 imekatika kwenye kutengeneza ... Makodi kodi na faida ndio yanafikisha huko kwenye mil 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Boss mimi ni fundi seremala. Najua unachokiongea wateja ndio shida wala sio mafundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Yani ni limit ukuaj wa biashara yangu kwasababu ya mtu mmoja or wawil ?Inawezekana! Tengenezea nyumbani kuacha kulipa kodi ya pango tutakufuata! Kuna magodoro Dodoma hayasinyai! Sio mpaka manyoya ya kondoo! Hata kama utaniuzia 1.5mil angalau lidumu miaka kadhaa linisogeze
Ukio hujaelewa jua halikuhusu, wenzako wote wameelewa kasoro wewe tuMkuu umeandika kwa spidi na hasira, tuambie taratibu...pointi zako za maana
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ulianza story yako kwa ku refer mafundi wa hapa bongo, ndio maana wadau wakakushangaa kwa kutaja hiyo bei ya 5mlSofa (imported from Turkey/USA/UK) mbona zinaenda hadi 15mil? Ziko safi quality 100% zimetengenezwa kwa manyoya ya kondoo na spring na chuma kisichopata kutu na kunakishiwa na layer isiyokwaruzika! Jaribu kutembea! Ukikalia kweli unasikia umeketi na utasikia mwili mwepesi kochi limechukua uzito wa mwili wako na kuubalance! Ama kweli ndo maana matajiri ufikiri hawatakufa kwa raha za mali na vitu!
Muraaaa! Tafuta hela!!!
Naunga mkono hojaMasofa ni ufahari kalieni vigoda na mikeka.