Mafundi makochi Mungu anawaona!

Boss mimi ni fundi seremala. Najua unachokiongea wateja ndio shida wala sio mafundi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
But nmeona Quality centre wanasofa standard Bei 1.5 Hadi 2mil
 
Mimi niliisha apa kuwa sitanunua "tenga la nyanya" lililofunikwa vizuri na kitambaa na kuwa kochi. Nitaendelea kukalia mninga wangu na kubadilisha mito tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sio wote. Me sofa zangu nafanya kubadilisha kitambaa tu na pale ninapotaka style mpya. Fundi wangu yupo tanga sabasaba pembeni ya tanga pazuri Ana center kubwa kiasi anaitwa Benjamin makoko. Huwa naingia gharama za usafiri za kuniletea popote nilipo maana huwa sikai Tanga.
 
Mkuu umeandika kwa spidi na hasira, tuambie taratibu...pointi zako za maana
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inawezekana! Tengenezea nyumbani kuacha kulipa kodi ya pango tutakufuata! Kuna magodoro Dodoma hayasinyai! Sio mpaka manyoya ya kondoo! Hata kama utaniuzia 1.5mil angalau lidumu miaka kadhaa linisogeze
Yani ni limit ukuaj wa biashara yangu kwasababu ya mtu mmoja or wawil ?

Lakn kingine pia mkuu, usidhan labda kila mtu kajenga au kapanda nyumba za lak tano kwenda mbele kwamba utakua na eneo la kufanya kila kitu .. Tunatengeneza kila kitu sio sofa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ulianza story yako kwa ku refer mafundi wa hapa bongo, ndio maana wadau wakakushangaa kwa kutaja hiyo bei ya 5ml
 
Kuna dogo alikuwa anaoa!, washikaji tukajipanga tumtafutie zawadi ya kama M 2 hadi M3...washikaj wakatoa wazo wamtafutie makochi,kuna jamaa huwa anaagiza used kutoka UK,kabla ya kufanya maamuzi tukmwambia mwana,zawadi itakuwa makochi,hela itayobaki tutakukabidhi....jamaa akagoma,akadai tumkabidhi mpunga akachague mwenyewe....tukamkabidhi kama M 2.5....Baada ya kama mwezi tukaenda kumcheki duu makochi yashakuwa lonya na nyang'anyang'a...
 
Hayo ni yale ta mlopoo ya bei chee.

Sofa nzuri gharama.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…