Hechinodemata
JF-Expert Member
- Sep 16, 2016
- 1,488
- 3,338
Hujajibu swali, ulinunua wapi??
nilibahatisha tu mkuu ndo alikua anamalizia mzigo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nilibahatisha tu mkuu ndo alikua anamalizia mzigo
Boss mimi ni fundi seremala. Najua unachokiongea wateja ndio shida wala sio mafundi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio wote. Me sofa zangu nafanya kubadilisha kitambaa tu na pale ninapotaka style mpya. Fundi wangu yupo tanga sabasaba pembeni ya tanga pazuri Ana center kubwa kiasi anaitwa Benjamin makoko. Huwa naingia gharama za usafiri za kuniletea popote nilipo maana huwa sikai Tanga.
Ndugu yangu Kama siku ikitokea ukamuona fundi amekufa njaa naomba unitafute kwa gharama yoyote.Mtakufa kwa laana na njaa sasa maana mnazingua
Mm dem kama hana msambwanda namuonaMie mwenzenu mwanaume asiyekuwa na gari namuona kama bwege tu
Unakuta kochi limemaliziwa vizuri linang'aa na kitambaa safi cha nguo, turubahi, au ngozi. Utadhani limetengenezewa Ulaya! Utapigwa hela ndefu seti 1.5million mpaka 5m. Sasa lipeleke nyumbani watoto waanze michezo yao! Utasikia mara ndani mbao zinaanza kukatika mara ukikaa unadumbukia kwenye uwazi/ shimo ndani ya miezi sita magodoro kama chapati na kuacha ngozi tipwatipwa kama ngozi ya mzee!
Niliwahi kununua makochi ya mnada pale British council Mitaa ya Posta huu mwaka wa 7 bado safi kama mapya nikiyasafisha na kuyapiga dawa fulani hivi ya kusafishia siti za gari.
Kwanini mafundi wa kiswahili mnashindwa kuwa wabunifu na kujiharibia soko? Nenda stoo za watengeneza makochi utakuta kochi kama lisiponunuliwa litaharibikia nyanga nyanga hapo hapo showroom bila hata kutumika kwa kuoza au kuliwa na mchwa kutokana na mambao chakavu wanayotumia.
Mafundi makochi badilikeni!! Mnashindwaje hata kuchukua/ kununua kochi moja la mtansha/mzungu mkadesa kalitengenezaje? Nenda hata pale 'Danube' Mlimani City chunguza yalivyotengenezwa na nyie tengenezeni hivyohivyo! Vinginevyo njaa zitawauma na kuwafichua hadi uvunguni.
Wananunua magodoro yaliochakaa na kuyatumia
. Kuna anko wangu alinunua godoro likawa linanuka mkojo.
Mafundi wetu sawa na Mainjinia wetu, uvhuzi duni saaaanaUnakuta kochi limemaliziwa vizuri linang'aa na kitambaa safi cha nguo, turubahi, au ngozi. Utadhani limetengenezewa Ulaya! Utapigwa hela ndefu seti 1.5million mpaka 5m. Sasa lipeleke nyumbani watoto waanze michezo yao! Utasikia mara ndani mbao zinaanza kukatika mara ukikaa unadumbukia kwenye uwazi/ shimo ndani ya miezi sita magodoro kama chapati na kuacha ngozi tipwatipwa kama ngozi ya mzee!
Niliwahi kununua makochi ya mnada pale British council Mitaa ya Posta huu mwaka wa 7 bado safi kama mapya nikiyasafisha na kuyapiga dawa fulani hivi ya kusafishia siti za gari.
Kwanini mafundi wa kiswahili mnashindwa kuwa wabunifu na kujiharibia soko? Nenda stoo za watengeneza makochi utakuta kochi kama lisiponunuliwa litaharibikia nyanga nyanga hapo hapo showroom bila hata kutumika kwa kuoza au kuliwa na mchwa kutokana na mambao chakavu wanayotumia.
Mafundi makochi badilikeni!! Mnashindwaje hata kuchukua/ kununua kochi moja la mtansha/mzungu mkadesa kalitengenezaje? Nenda hata pale 'Danube' Mlimani City chunguza yalivyotengenezwa na nyie tengenezeni hivyohivyo! Vinginevyo njaa zitawauma na kuwafichua hadi uvunguni.
Hata mngepewa hizo hela bado hamna ujuzi wa kutengeneza vitu quality. Mashinezemyeqe za kufanyia kazi hamnaSio fundi, sio mmiliki wa ofisi ya furniture wala hujawahi kua mfanya biashara wa furniture , ila unambishia alieko ndani ya industry ...
Sofa imara ukitaka fungua mfuko , ila bei za kuunga unga hizo sijui mil , lazima tu yakukute ... Kitambaa chanye afadhali ni elfu 12 mita moja , vitambaa vya maana ni 25/30 elfu sasa imagine sofa ya watu saba hamna hamna ile mita 30... Spring pair mona ni elfu 20, pair saba n bei gani ??.. Hujanunua godoro , ukitaka dodoma za maana , za inch mbili tu sehemu ya kuegemea , ambazo sio chini ya 7 pia , moja inakwenda kwa elfu 28... Bado siti, bado frame , bado fiber n.k
Hapo bado pesa ya ufundi, bado faida ..
Alafu mtu anaona 1.5mil kama pesa kuubwa... Hao danube wanakuuzia sofa mil 5... Kuna mil 3 imekatika kwenye kutengeneza ... Makodi kodi na faida ndio yanafikisha huko kwenye mil 5
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa jamaa huokoteza vijiti na misimari afu wanagonga, hata kilemba hawaweziInawezekana! Tengenezea nyumbani kuacha kulipa kodi ya pango tutakufuata! Kuna magodoro Dodoma hayasinyai! Sio mpaka manyoya ya kondoo! Hata kama utaniuzia 1.5mil angalau lidumu miaka kadhaa linisogeze
Nina mninga wangu leo mwaka wa 12, ila set ya masofa nishabadilisha mara 2 na sasa naelekea kubadilishana mara ya 3.Mimi niliisha apa kuwa sitanunua "tenga la nyanya" lililofunikwa vizuri na kitambaa na kuwa kochi. Nitaendelea kukalia mninga wangu na kubadilisha mito tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Samahi, antiques ndo nini?Mmmh 1.5-5M hapana aisee , hayaa hayaa siku mbili panya wameshafanya ndio nyumba yao?? Ndio maana mi nimeamua kuweka antiques tu.
Aaa tajiri kama tajiri.Tatizo ni kwamba nyinyi hamfiki bei , una pesa ya tecno ila unataka kitu chenye ubora wa Iphone..haipo hiyo mkuu
Ninasema hivyo kwasabu nina ofisi ya furniture , chini ya mil 2.. Huwez pata sofa ya uhakika wa kudumu walau miaka 5 na kuendelea ...mwenye mil 1 atapata bidhaa ya mil 1.. Mwenye mil 3 atapata bidhaa ya mil 3 ... Iko hvyo
Sent using Jamii Forums mobile app
Tunatumia meno yako kushoneaHata mngepewa hizo hela bado hamna ujuzi wa kutengeneza vitu quality. Mashinezemyeqe za kufanyia kazi hamna
[emoji23][emoji23]Tulia na njaa zako za buku 7 lumumba
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji23][emoji23] jamani weweIko kiharage chako kitachakaa hutoamini
Fundi unamjua au wamsikia?Ukitaka sofa nzuri muite fundi akutengenee nyumbani kwako,material ya vifaa uvitakavyo unanunua mwenyewe
Ndo kitu nilichofanya hiki, na masofa bado mapya kabisa mwaka wa tano[emoji848]Ukitaka sofa nzuri muite fundi akutengenee nyumbani kwako,material ya vifaa uvitakavyo unanunua mwenyewe