Mafundi makochi Mungu anawaona!

Nnaona umeamua kujipigia promo
 
Mtakufa kwa laana na njaa sasa maana mnazingua
Ndugu yangu Kama siku ikitokea ukamuona fundi amekufa njaa naomba unitafute kwa gharama yoyote.
Na hakuna laana yoyote juu ya ufundi ya moja kwa moja.
 
Wananunua magodoro yaliochakaa na kuyatumia
. Kuna anko wangu alinunua godoro likawa linanuka mkojo.
 
Dunia kote utengenezaji wa masofa ni mmoja
Kikubwa kwenye sofa ni godoro ndani liwekwe
Imara na ngumu,fundi apige stepler sjui punch
Vizuri,kitamba kiwe imara na kizuri

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Mafundi wetu sawa na Mainjinia wetu, uvhuzi duni saaaana
 
Hata mngepewa hizo hela bado hamna ujuzi wa kutengeneza vitu quality. Mashinezemyeqe za kufanyia kazi hamna
 
Inawezekana! Tengenezea nyumbani kuacha kulipa kodi ya pango tutakufuata! Kuna magodoro Dodoma hayasinyai! Sio mpaka manyoya ya kondoo! Hata kama utaniuzia 1.5mil angalau lidumu miaka kadhaa linisogeze
Hawa jamaa huokoteza vijiti na misimari afu wanagonga, hata kilemba hawawezi
 
Aaa tajiri kama tajiri.
DanPol kama Danpol.
Die hard fan [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Iwe mvua iwe jua lazima wakuelewe.
 
Ukitaka sofa nzuri muite fundi akutengenee nyumbani kwako,material ya vifaa uvitakavyo unanunua mwenyewe
Ndo kitu nilichofanya hiki, na masofa bado mapya kabisa mwaka wa tano[emoji848]
 
Kuna sofa zilinunuliwa nje toka 2006 hadi leo zipo swafi kabisa, zingine 2010 had leo nikienda home bado zipo.

Zangu 2016 ila hazitamaniki, mara mbao zimekatika, mara zibonyee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…