Mafundi makochi Mungu anawaona!

Waambie! Unakuta hayo makochi feki wameyaweka "prime area open space" kama namanga, Oystabei, masaki, mikocheni, pembeni ya barabara ya old bagamoyo, n.k. watakupiga sound mpaka ulegee!
Utakuwa na akili mbovu ukinunua sofa za seremala wa mtaani 5M. Ni kwamba hujui maduka ya imported au??
 
Natafuta sofa simple jamani. Seti mbili za kukaa watu wawili wawili. Natapatikana Ubungo. Bajeti yangu 300,000 sofa mbili zote.
Mimi ghetto langu la kichuochuo kuna kasofa ka 140,000 ka watu wawili. Nauza nako sura ila sio ka kukaliwa na familia. Laki tatu utapata tafuta ila ni vitambaa vya nguo ujue.
 
Siku participate katika huo ufundi wao halafu uone kama utakua na moyo wa kutoa hizo pesa zote.

Katika vitu utengenezaji wake ni kama masikhara ni masofa na vitanda vya sofa.
 
Ni ya kukalia si ya watoto kuruka ruka ndo maana yanaharibika.
 
naona mmetuamulia mafundi.. Tatizo wateja mnataka kitu cha milioni mbili kwa laki tano, ubora wa kitu unategemeana na hela unayotoa, kama vile mchina anavyotoa copy ya simu na bidhaa zingine na kuziuza kwa bei rahisi.
 
Kuna fundi mmoja Keko ustaadh Mungu amuweke muda mrefu aliniuzia sofa tangu 2014 bado linanesa tu,yule fundi ni mtu wa quality watu huwa wanadhani nimeimport kumbe ni made from Keko
 
Kuna fundi mmoja Keko ustaadh Mungu amuweke muda mrefu aliniuzia sofa tangu 2014 bado linanesa tu,yule fundi ni mtu wa quality watu huwa wanadhani nimeimport kumbe ni made from Keko
Alikuuzia shingapi, seti ngapi zipo. Unaweza kudondosha picha yake.
 
Mmmh 1.5-5M hapana aisee , hayaa hayaa siku mbili panya wameshafanya ndio nyumba yao?? Ndio maana mi nimeamua kuweka antiques tu.
Panya [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kuna fundi mmoja Keko ustaadh Mungu amuweke muda mrefu aliniuzia sofa tangu 2014 bado linanesa tu,yule fundi ni mtu wa quality watu huwa wanadhani nimeimport kumbe ni made from Keko
Kitu imported hakiwezi fanana na kitu cha Keko
 
Poleni sana...

Kama unauwezo unachukua za nje huko unasahahu kabisa...
 
Kununua sofa kwa watengenezaji wa kitanzania ni sawa na kununua barakoa ya kushonwa na fundi cherehani
 
ferniture za kibongo sio tu kwenye kutumia, nyingine kwenye kusafirisha tuu unafika na defects kibao...

Mimi sofa ya kuokota barabarani hata kama machoni inavutiaje sinunui, kama sina uwezo wa kununua ya 15M,
nanunua materials yangu imara, unakuja kunitengenezea kwangu, nakufungia humo, hutoki hata na msumari.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…