Mafundi umeme mnisaidie kuhusu hiki kitu

Mafundi umeme mnisaidie kuhusu hiki kitu

Me too

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2015
Posts
7,388
Reaction score
9,333
FB_IMG_16579584484547143.jpg


Hiko kifaa ni saparet meter maswali yangu ni haya,,

1/ Nikinunua, kimoja kinatumika, kwa, mpangaji mmoja tu?
2/ Kama ni kwa, mpangaji mmoja tu je ile buku ya kila mwezi nikitaka kununua, umeme nikiweka itakatwa?
3/ Vipi kuhusu meter kuu kama wenzangu hawajaingiza umeme na tuko giza mimi wangu nao ukaisha je nitaweza kuendelea kujihudumia umeme bila meter kuu kuwa na umeme?
4/Hii huduma je TANESCO wameipitisha? (inakubalika)

Karibuni mnipe elimu.

NB: Uzi usiunganishwe sehemu nahitaji majibu ya fasta nipate chaguo langu kabla ya maamuzi.

ASANTE!
 
Separate meter ina rekodi units zako ulizotumia, hivyo ili kuwe na usawa kila mtu awe na ya kwake na vifaa vyake vyote viwe vime connectiwa kwenye meter hiyo

Umeme wako chanzo chake ni mita kuu, hivyo kuhusu buku ya kila mwezi mtajichanga kadri mlivyo kwenye hiyo nyumba kwa idadi
 
Majibu ni kama ifuatavyo!
Hiyo separate mita inafanya kazi kwa kutegemea MAIN METER YA TANESCO!

Hivyo cha kwanza kabisa lazima MAIN mita iwe na umeme ili hiko kisepareti meter kifanye kazi!

Hivyo makato yote ya kodi za serikali (Jengo, ewura, rea, na 18VAT) yanakatwa kupitia manunuzi ya MAIN METER YA TANESCO na si vinginevyo!

Je, kinafanyaje kazi?

Ni kwamba unaponunua hicho kiseparete meter dukani au kiwandani unapewa link ya kuingia na kuingiza mita namba ya MAIN METER!

Ambapo ukishaingiza mita namba inakutolea SUB TOKEN za umeme ambazo utalazimika kwenda kuziingiza kwenye separate meter ili umeme uwake!
Hivyo mfano!

MAIN METER YA TANESCO INA UNIT 100Kwh!

Ukitengeneza tokeni ya umeme wa unit 20 inamaana utapunguza kule kwenye 100 zitakuwa zimebaki 80 kwa wapangaji wenzio! Wewe utachukua zako 20kwh!

Zikiisha itabidi MAIN METER ITOP UP KWANZA NDIPO UPATE WAKO!

Mfano kama MAIN METER Wakigoma kununua umeme ikawa na 0Kwh! Unaweza kununua umeme kwenye MAIN METER Halafu ukatengeneza token yenye thamani ya pesa ya umeme wako HIVYO UKAUKOMBA WOTE kutoka kwenye MAIN UKAJA KWAKO kwenye hiyo SEPARATE METER!

Cha kuzingatiwa ni kwamba lazima MITA IWE NA UMEME Ndipo separate meter ifanye kazi, bila hivyo ni kazi bure! Natumai kwa haya machache nimeeleweka

Kama kuna mtu anhitaji kazi za kiufundi UMEME na UJENZI au kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu 0711756341 au tembelea ukurasa wetu Instagram @samico_tanzania PIA TUNATOA USHAURI Bei ni nafuu sana!
 
kwahiyo ikiwa w nf
Separate meter ina rekodi units zako ulizotumia, hivyo ili kuwe na usawa kila mtu awe na ya kwake na vifaa vyake vyote viwe vime connectiwa kwenye meter hiyo

Umeme wako chanzo chake ni mita kuu, hivyo kuhusu buku ya kila mwezi mtajichanga kadri mlivyo kwenye hiyo nyumba
Kwahiyo ikiwa wewe ndio unadondokea mwanzo wa mwezi si utajikuta kila siku unalipia hiyo buku?

Kuhusu meter kubwa haina umeme halafu yangu zinasoma ikikata si mpk meter kubwa ijazwe ndo niweze kuendelea na umeme?

Unaposema kila,mtu awe na ya kwake hivi hyo meter kubwa itahudumiwa na,nani? ikiwa mwenye nyumba hakai hapo.
 
kwahiyo ikiwa w nf

kwahy ikiw we ndo unadondokea mwanzo wa mwez si utajikut kila siku unalipia hyo buku?

kuhusu meter kubwa haina umeme halafu yangu zinasoma ikikata si mpk meter kubwa ijazwe ndo niweze kuendelea na umeme?


unaposema kila,mtu awe na ya kwake hivi hyo meter kubwa itahudumiwa na,nani? ikiwa mwenye nyumba hakai hapo.
Nadhani hatujaelewana, mita yako inabaki je inasoma wakati mita toka TANESCO ishaisha unit?

Ama nayo nyaya zake zimetokea kwenye nguzo?
 
mkuu nimekuelewa

kwahyo mfano kasubmeter kangu bado kanaumeme sasa kule meter kubwa imekata ghafla mimi ntaweza kuendelea kuupata umeme?

vipi kuhusu kukomba huo umeme kuna wapangaji masaa 24hrs wanavifaa vinakula moto kiasi kwamba ukiweka tu tokeni zinakombwa balaa,, linatatuliwaje hili maana kitendo cha,kusubr mpaka main meter inakata kila siku na kujikuta unaenda kwa majirani kuweka token sio poa kbsa,,
Majibu ni kama ifuatavyo!
Hiyo separate mita inafanya kazi kwa kutegemea MAIN METER YA TANESCO!

Hivyo cha kwanza kabisa lazima MAIN mita iwe na umeme ili hiko kisepareti meter kifanye kazi!
Je, kinafanyaje kazi?
Ni kwamba unaponunua hicho kiseparete meter unapewa link ya kuingia na kuingiza mita namba ya MAIN METER!
Ambapo ukishaingiza mita namba inakutolea SUB TOKEN za umeme ambazo utalazimika kwenda kuziingiza kwenye separate meter ili umeme uwake!
Hivyo mfano!
MAIN METER YA TANESCO INA UNIT 100Kwh!
Ukitengeneza tokeni ya umeme wa unit 20 inamaana utapunguza kule kwenye 100 zitakuwa zimebaki 80 kwa wapangaji wenzio! Wewe utachukua zako 20kwh!
Zikiisha itabidi MAIN METER ITOP UP KWANZA NDIPO UPATE WAKO!
Mfano kama MAIN METER Wakigoma kununua umeme ikawa na 0Kwh! Unaweza kununua umeme kwenye MAIN METER Halafu ukatengeneza token yenye thamani ya pesa ya umeme wako HIVYO UKAUKOMBA WOTE kutoka kwenye MAIN UKAJA KWAKO kwenye hiyo SEPARATE METER! Natumai kwa haya machache nimeeleweka

Kama kuna mtu anhitaji kazi za kiufundi UMEME na UJENZI au kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu 0711756341 au tembelea ukurasa wetu Instagram @samico_tanzania PIA TUNATOA USHAURI Bei ni nafuu sana!
 
Nadhani hatujaelewana, mita yako inabaki je inasoma wakati mita toka TANESCO ishaisha unit?

Ama nayo nyaya zake zimetokea kwenye nguzo?
mkuu ukinunua umeme unatumia meter kubwa then unahamishia kwenye ki submeter. sasa ikiwa nawekaga umeme wa mwezi halafu kila ifikapo tarehe moja au mbili ata tatu ya mwezi umeme wangu unakwisha nilazima ninunue niuweke,
so process lazma ziwe zilezile ninunue kupitia mainmeter (ambapo ntakatwa za mwezi) then nihamishie kwenye kasubmeter kangu.
huo ndo uelewa wangu


tuje kwenye swali lako

ni kweli nataka nijue ikiwa mimi kwangu bado kuna token zinasoma halafu kule mainmeter kutupu umekata mimi je ntaweza kuwaka? wakati nguvu kubwa inatokea mainmeter (umeme wa Tanesco)
 
mkuu nimekuelewa

kwahyo mfano kasubmeter kangu bado kanaumeme sasa kule meter kubwa imekata ghafla mimi ntaweza kuendelea kuupata umeme?

vipi kuhusu kukomba huo umeme kuna wapangaji masaa 24hrs wanavifaa vinakula moto kiasi kwamba ukiweka tu tokeni zinakombwa balaa,, linatatuliwaje hili maana kitendo cha,kusubr mpaka main meter inakata kila siku na kujikuta unaenda kwa majirani kuweka token sio poa kbsa,,
Bahati mbaya sana iko hapo! Inamaana lazima MAIN MITA iwe na umeme ndipo hizo sub meter zingine zipate!
Hivyo TANESCO Hawajaruhusu mita yao ibaki ZERO halafu sub meter iendelee kutoa umeme kutokana na hofu ya wizi (meter tempering)

Lakini pamoja na hayo huenda watengenezaji wanaendelea na maboresho ili kuondoa changamoto!

Hizi SEPERATE MITA Kwasasa zinafanya kazi kwa VIGEZO NA MASHARTI!
1. lazima mita KUU iwe na umeme
2. Manunuzi yote yanapitia mita KUU
3. Separate mita siyo sehemu ya mali ya TANESCO Hivyo haiwezi kupewa ufanisi wa 100%.
4. Inahitaji usimamizi ili kuondoa mgogoro

Kwa anaehitaji huduma au USHAURI wa kiufundi save namba yangu, Hata kama huna nyumba save mawasiliano yangu 0711756341 au unaweza tembelea Instagram @samico_tanzania
 
mkuu ukinunua umeme unatumia meter kubwa then unahamishia kwenye ki submeter. sasa ikiwa nawekaga umeme wa mwezi halafu kila ifikapo tarehe moja au mbili ata tatu ya mwezi umeme wangu unakwisha nilazima ninunue niuweke,
so process lazma ziwe zilezile ninunue kupitia mainmeter (ambapo ntakatwa za mwezi) then nihamishie kwenye kasubmeter kangu.
huo ndo uelewa wangu


tuje kwenye swali lako

ni kweli nataka nijue ikiwa mimi kwangu bado kuna token zinasoma halafu kule mainmeter kutupu umekata mimi je ntaweza kuwaka? wakati nguvu kubwa inatokea mainmeter (umeme wa Tanesco)
Hili wanisaidie nami, ninachoelewa mita kuu ikishaisha unit separate meter nayo haitofanya kazi maana kuna relay inafungua njia pale umeme unapokua umekwisha na inakua connected unapokua umeweka units.
 
View attachment 2292606hiko kifaa ni saparet meter maswali yangu ni haya,,

1/ nikinunua,kimoja kinatumika,kwa,mpangaji mmoja tu?
2/ kama ni kwa,mpangaji mmoja tu je ile buku ya kila mwezi nikitaka kununua,umeme nikiweka itakatwa?
3/vipi kuhusu meter kuu kama wenzangu hawajaingiza umeme na tuko giza mimi wangu nao ukaisha je nitaweza kuendelea kujihudumia umeme bila meter kuu kuwa na umeme?
4/hii huduma je TANESCO wameipitisha? (inakubalika)

karibuni mnipe elimu.


NB:uzi usiunganishwe sehemu nahitaji majibu ya fasta nipate chaguo langu kabla ya maamuzi.

ASANTE!
Nami nasubiria majibu hapa,
 
Bahati mbaya sana iko hapo! Inamaana lazima MAIN MITA iwe na umeme ndipo hizo sub meter zingine zipate!
Hivyo TANESCO Hawajaruhusu mita yao ibaki ZERO halafu sub meter iendelee kutoa umeme kutokana na hofu ya wizi (meter tempering)

Lakini pamoja na hayo huenda watengenezaji wanaendelea na maboresho ili kuondoa changamoto!

Hizi SEPERATE MITA Kwasasa zinafanya kazi kwa VIGEZO NA MASHARTI!
1. lazima mita KUU iwe na umeme
2. Manunuzi yote yanapitia mita KUU
3. Separate mita siyo sehemu ya mali ya TANESCO Hivyo haiwezi kupewa ufanisi wa 100%.
4. Inahitaji usimamizi ili kuondoa mgogoro
yani shida ndo hiyo kila mpangaji akiwa na kasubmeter akaamua akwapue umeme kivyake halafu mainmeter hakuna kitu haiwezekani mbaya zaid Tanesco wwnyew ipite siku umetumia umeme hujatumia kuna kapoint kanashukaga ka unit. (Tanesco /mainmeter ni kama simba mwenye njaa ya miaka saba)
 
View attachment 2292606hiko kifaa ni saparet meter maswali yangu ni haya,,

1/ nikinunua,kimoja kinatumika,kwa,mpangaji mmoja tu?
2/ kama ni kwa,mpangaji mmoja tu je ile buku ya kila mwezi nikitaka kununua,umeme nikiweka itakatwa?
3/vipi kuhusu meter kuu kama wenzangu hawajaingiza umeme na tuko giza mimi wangu nao ukaisha je nitaweza kuendelea kujihudumia umeme bila meter kuu kuwa na umeme?
4/hii huduma je TANESCO wameipitisha? (inakubalika)

karibuni mnipe elimu.


NB:uzi usiunganishwe sehemu nahitaji majibu ya fasta nipate chaguo langu kabla ya maamuzi.

ASANTE!
Hili suala bado tata maana hivyo vidude bila ya makubaliano na wapangaji wenzio ni useless!
Kuna jamaa alikifunga bila ya kuwa na elimu nacho wala kuwa na makubaliano na wenzie akajikuta kila umeme ukiisha anatop-up bila kujua kwamba wanaendelea kushare na wenzie so shida pale pale.

Kufunga hivyo yabidi kila mteja awe na chake then ukiingiza unit zako wenzio wajue umeingiza ngapi then mnatumia wote ukiisha anaweka mwingine wewe ulipii hadi ufikisheidadi ya zile uniti ulizonunua mwanzo.
Japokuwa lengo ni kurecord nani anakula umeme mwingi na kuleta suluhu ila kama kuna wenye asili ya ubishi na ukorofi miongoni mwenu mtagombana tu.

Suluhu ya kudumu kwa hizi nyumba za kupanga ni TANESCO kubadilika na kufunga kila chumba meter yake inayojitegemea kama wanavyofanya wenzao wa kenya
 
Hili suala bado tata maana hivyo vidude bila ya makubaliano na wapangaji wenzio ni useless!!!!
kuna jamaa alikifunga bila ya kuwa na elimu nacho wala kuwa na makubaliano na wenzie akajikuta kila umeme ukiisha anatop-up bila kujua kwamba wanaendelea kushare na wenzie so shida pale pale.

Kufunga hivyo yabidi kila mteja awe na chake then ukiingiza unit zako wenzio wajue umeingiza ngapi then mnatumia wote ukiisha anaweka mwingine wewe ulipii hadi ufikisheidadi ya zile uniti ulizonunua mwanzo.

Japokuwa lengo ni kurecord nani anakula umeme mwingi na kuleta suluhu ila kama kuna wenye asili ya ubishi na ukorofi miongoni mwenu mtagombana tu.

Suluhu ya kudumu kwa hizi nyumba za kupanga ni TANESCO kubadilika na kufunga kila chumba meter yake inayojitegemea kama wanavyofanya wenzao wa kenya
Mkuu hako kadude si wanasema ni kakwako peke yako ununue token uwaambie iweje,,, au unasemea shida ipo kwenye kuijaza ile mainmeter ili ipate kuhema?

Kuhusu Tanesco kutufungia kila chumba na umeme wake mkuu kwa vyumba hivi mita tatu kwa nne are you serious? Hiyo mikonga ya umeme kwenye nyumba moja tu si itakuwa kama zile bendera mitaa ya wahindi,,,.
 
Back
Top Bottom