Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Hiko kifaa ni saparet meter maswali yangu ni haya,,
1/ Nikinunua, kimoja kinatumika, kwa, mpangaji mmoja tu?
2/ Kama ni kwa, mpangaji mmoja tu je ile buku ya kila mwezi nikitaka kununua, umeme nikiweka itakatwa?
3/ Vipi kuhusu meter kuu kama wenzangu hawajaingiza umeme na tuko giza mimi wangu nao ukaisha je nitaweza kuendelea kujihudumia umeme bila meter kuu kuwa na umeme?
4/Hii huduma je TANESCO wameipitisha? (inakubalika)
Karibuni mnipe elimu.
NB: Uzi usiunganishwe sehemu nahitaji majibu ya fasta nipate chaguo langu kabla ya maamuzi.
ASANTE!