Mafundi umeme mnisaidie kuhusu hiki kitu

Mafundi umeme mnisaidie kuhusu hiki kitu

Majibu ni kama ifuatavyo!
Hiyo separate mita inafanya kazi kwa kutegemea MAIN METER YA TANESCO!

Hivyo cha kwanza kabisa lazima MAIN mita iwe na umeme ili hiko kisepareti meter kifanye kazi!

Hivyo makato yote ya kodi za serikali (Jengo, ewura, rea, na 18VAT) yanakatwa kupitia manunuzi ya MAIN METER YA TANESCO na si vinginevyo!

Je, kinafanyaje kazi?

Ni kwamba unaponunua hicho kiseparete meter dukani au kiwandani unapewa link ya kuingia na kuingiza mita namba ya MAIN METER!
Ambapo ukishaingiza mita namba inakutolea SUB TOKEN za umeme ambazo utalazimika kwenda kuziingiza kwenye separate meter ili umeme uwake!
Hivyo mfano!
MAIN METER YA TANESCO INA UNIT 100Kwh!
Ukitengeneza tokeni ya umeme wa unit 20 inamaana utapunguza kule kwenye 100 zitakuwa zimebaki 80 kwa wapangaji wenzio! Wewe utachukua zako 20kwh!
Zikiisha itabidi MAIN METER ITOP UP KWANZA NDIPO UPATE WAKO!
Mfano kama MAIN METER Wakigoma kununua umeme ikawa na 0Kwh! Unaweza kununua umeme kwenye MAIN METER Halafu ukatengeneza token yenye thamani ya pesa ya umeme wako HIVYO UKAUKOMBA WOTE kutoka kwenye MAIN UKAJA KWAKO kwenye hiyo SEPARATE METER!
Cha kuzingatiwa ni kwamba lazima MITA IWE NA UMEME Ndipo separate meter ifanye kazi, bila hivyo ni kazi bure! Natumai kwa haya machache nimeeleweka

Kama kuna mtu anhitaji kazi za kiufundi UMEME na UJENZI au kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu 0711756341 au tembelea ukurasa wetu Instagram @samico_tanzania PIA TUNATOA USHAURI Bei ni nafuu sana!
Lipia tangazo
 
Majibu ni kama ifuatavyo!
Hiyo separate mita inafanya kazi kwa kutegemea MAIN METER YA TANESCO!

Hivyo cha kwanza kabisa lazima MAIN mita iwe na umeme ili hiko kisepareti meter kifanye kazi!

Hivyo makato yote ya kodi za serikali (Jengo, ewura, rea, na 18VAT) yanakatwa kupitia manunuzi ya MAIN METER YA TANESCO na si vinginevyo!

Je, kinafanyaje kazi?

Ni kwamba unaponunua hicho kiseparete meter dukani au kiwandani unapewa link ya kuingia na kuingiza mita namba ya MAIN METER!
Ambapo ukishaingiza mita namba inakutolea SUB TOKEN za umeme ambazo utalazimika kwenda kuziingiza kwenye separate meter ili umeme uwake!
Hivyo mfano!
MAIN METER YA TANESCO INA UNIT 100Kwh!
Ukitengeneza tokeni ya umeme wa unit 20 inamaana utapunguza kule kwenye 100 zitakuwa zimebaki 80 kwa wapangaji wenzio! Wewe utachukua zako 20kwh!
Zikiisha itabidi MAIN METER ITOP UP KWANZA NDIPO UPATE WAKO!
Mfano kama MAIN METER Wakigoma kununua umeme ikawa na 0Kwh! Unaweza kununua umeme kwenye MAIN METER Halafu ukatengeneza token yenye thamani ya pesa ya umeme wako HIVYO UKAUKOMBA WOTE kutoka kwenye MAIN UKAJA KWAKO kwenye hiyo SEPARATE METER!
Cha kuzingatiwa ni kwamba lazima MITA IWE NA UMEME Ndipo separate meter ifanye kazi, bila hivyo ni kazi bure! Natumai kwa haya machache nimeeleweka

Kama kuna mtu anhitaji kazi za kiufundi UMEME na UJENZI au kwa maelezo zaidi unaweza kupiga simu 0711756341 au tembelea ukurasa wetu Instagram @samico_tanzania PIA TUNATOA USHAURI Bei ni nafuu sana!
Navyojua ni kwamba ukiingiza umeme Main meter mnazitumia wote kwa maana wenzio watazikopa zile unit ulizoingiza then deni la yunit zako linarejeshwa pindi mwingine anapoingiza unit atakazonunua au wataka kutuambia kwamba kuna uwezekano wa kuwanyima wenzio unit iwapo utazivusha kwenye sub-meter na je wewe utaweza kuzitumia hizo unit zote peke yako wenzio wakiwa gizani?

Kama ukihamisha unit zako zote na main meter ikasoma 00 utazitumiaje hizo uniti?

Au mpaka mtu afanye ressurection kwenye main meter ndio sub meter yako ipige kazi je wakikausha wote si yanakuwa yale yale ya kuingia gharama kwa mara nyingine maana wahitaji umeme haraka unit unazo ila main meter 000
 
Lipia tangazo
Jack nitapenda nikuhudumie! Hutajuta na huduma yetu ya umeme, gharama ni nafuu sana!
Pia tunashauri namna bora ya kupunguza matumizi ya umeme ebu tupigie au tembelea ukurasa wetu Instagram! @samico_Tanzania

Mpe namba ndugu, jamaa na rafiki!
Ukituunganishia kazi tunatoa asante ya unit 100kwh kwenye luku yako au kama huna nyumba tunampa ndugu yako kama shukrani!
Karibuni sana @samico_tanzania
 
Navyojua ni kwamba ukiingiza umeme Main meter mnazitumia wote kwa maana wenzio watazikopa zile unit ulizoingiza then deni la yunit zako linarejeshwa pindi mwingine anapoingiza unit atakazonunua au wataka kutuambia kwamba kuna uwezekano wa kuwanyima wenzio unit iwapo utazivusha kwenye sub-meter na je wewe utaweza kuzitumia hizo unit zote peke yako wenzio wakiwa gizani?
Kama ukihamisha unit zako zote na main meter ikasoma 00 utazitumiaje hizo uniti?
Au mpaka mtu afanye ressurection kwenye main meter ndio sub meter yako ipige kazi je wakikausha wote si yanakuwa yale yale ya kuingia gharama kwa mara nyingine maana wahitaji umeme haraka unit unazo ila main meter 000
Soma maelezo kwa makini!
Nimeandika ili separate meter ifanye kazi; KAZIMA MAIN METER iwe na umeme!
Ikiwa zero lazima ikate umeme!

Kiufupi separate meter inasomeka kama kifaa kingine kitegemeacho umeme kutoka kwenye LUKU
 
Navyojua ni kwamba ukiingiza umeme Main meter mnazitumia wote kwa maana wenzio watazikopa zile unit ulizoingiza then deni la yunit zako linarejeshwa pindi mwingine anapoingiza unit atakazonunua au wataka kutuambia kwamba kuna uwezekano wa kuwanyima wenzio unit iwapo utazivusha kwenye sub-meter na je wewe utaweza kuzitumia hizo unit zote peke yako wenzio wakiwa gizani?
Kama ukihamisha unit zako zote na main meter ikasoma 00 utazitumiaje hizo uniti?
Au mpaka mtu afanye ressurection kwenye main meter ndio sub meter yako ipige kazi je wakikausha wote si yanakuwa yale yale ya kuingia gharama kwa mara nyingine maana wahitaji umeme haraka unit unazo ila main meter 000
daaaah kwahyo makelele yapo palepale


i walisema kama umenunua unt 28 wakat unahamisha lazima zibaki na we utoke na unt 25 hivi sasa shida hizo ulizoacha watajichanga kuongezea mainmeter iendelee kuhema au watasubr mpk zikate daah!
 
mkuu hako kadude si wanasema ni kakwako peke yako ununue token uwaambie iweje,,, au unasemea shida ipo kwenye kuijaza ile mainmeter ili ipate kuhema?

kuhusu Tanesco kutufungia kila chumba na umeme wake mkuu kwa vyumba hivi mita tatu kwa nne are you serious? hiyo mikonga ya umeme kwenye nyumba moja tu si itakuwa kama zile bendera mitaa ya wahindi,,,.
Namaanisha kuziingiza hizo unit Main meter na kuzifaulisha, huku uswaz kwakina mama Havijawa bila elimu ya kutosha kutolewa lazima varangati lizuke labda kwa fremu za biashara kidogo mwamko upo
 
daaaah kwahyo makelele yapo palepale


i walisema kama umenunua unt 28 wakat unahamisha lazima zibaki na we utoke na unt 25 hivi sasa shida hizo ulizoacha watajichanga kuongezea mainmeter iendelee kuhema au watasubr mpk zikate daah!
Hapo ndio mtiti
 
Navyojua ni kwamba ukiingiza umeme Main meter mnazitumia wote kwa maana wenzio watazikopa zile unit ulizoingiza then deni la yunit zako linarejeshwa pindi mwingine anapoingiza unit atakazonunua au wataka kutuambia kwamba kuna uwezekano wa kuwanyima wenzio unit iwapo utazivusha kwenye sub-meter na je wewe utaweza kuzitumia hizo unit zote peke yako wenzio wakiwa gizani?
Kama ukihamisha unit zako zote na main meter ikasoma 00 utazitumiaje hizo uniti?
Au mpaka mtu afanye ressurection kwenye main meter ndio sub meter yako ipige kazi je wakikausha wote si yanakuwa yale yale ya kuingia gharama kwa mara nyingine maana wahitaji umeme haraka unit unazo ila main meter 000
daaaah kwahyo makelele yapo palepale


i walisema kama umenunua unt 28 wakat unahamisha lazima zibaki na we utoke na unt 25 hivi sasa shida hizo ulizoacha watajichanga kuongezea mainmeter iendelee kuhema au watasubr mpk zikate daah
Soma maelezo kwa makini!
Nimeandika ili separate meter ifanye kazi; KAZIMA MAIN METER iwe na umeme!
Ikiwa zero lazima ikate umeme!

Kiufupi separate meter inasomeka kama kifaa kingine kitegemeacho umeme kutoka kwenye LUKU
mkiu samico yaani alichosema huyo yaani shida inakwaa pahala ili huyo mainmeter aendelee kuhema lazima ijazwe kama kasubmeter kako unakajaza means wakat unahamisha ulibakiza kidogo iliwaje waijazilizie sasa hawajajaza wamekuwa kenge mara pah umeme unakata kwenye main meter lazima na wewe utakuwa giza
 
View attachment 2292606hiko kifaa ni saparet meter maswali yangu ni haya,,

1/ nikinunua,kimoja kinatumika,kwa,mpangaji mmoja tu?
2/ kama ni kwa,mpangaji mmoja tu je ile buku ya kila mwezi nikitaka kununua,umeme nikiweka itakatwa?
3/vipi kuhusu meter kuu kama wenzangu hawajaingiza umeme na tuko giza mimi wangu nao ukaisha je nitaweza kuendelea kujihudumia umeme bila meter kuu kuwa na umeme?
4/hii huduma je TANESCO wameipitisha? (inakubalika)

karibuni mnipe elimu.


NB:uzi usiunganishwe sehemu nahitaji majibu ya fasta nipate chaguo langu kabla ya maamuzi.

ASANTE!
Mita hiyo ni ya menyewe kwa menyewe yaani inanyonya titi la mita ya Tanesco, kama ya Tanesco haina bando umeme hautoki sijui mama kama hana maziwa mtoto atanyonya nini! Buku ya jengo hutozwa kwenye mita ya Tanesco tu.
 
Mita hiyo ni ya menyewe kwa menyewe yaani inanyonya titi la mita ya Tanesco, kama ya Tanesco haina bando umeme hautoki sijui mama kama hana maziwa mtoto atanyonya nini! Buku ya jengo hutozwa kwenye mita ya Tanesco tu.
asante kwa ufafanuzi ila kidogo wataalam waendelee kuwa update kwa hivi vifaa kuna pahala bado shida ipo.
 
mkuu nimekuelewa

kwahyo mfano kasubmeter kangu bado kanaumeme sasa kule meter kubwa imekata ghafla mimi ntaweza kuendelea kuupata umeme?

vipi kuhusu kukomba huo umeme kuna wapangaji masaa 24hrs wanavifaa vinakula moto kiasi kwamba ukiweka tu tokeni zinakombwa balaa,, linatatuliwaje hili maana kitendo cha,kusubr mpaka main meter inakata kila siku na kujikuta unaenda kwa majirani kuweka token sio poa kbsa,,
... hii changamoto ya ku-share mita za umeme inatakiwa iangaliwe upya. Kwa teknolojia ilipofikia sasa inatakiwa mita kuu iwe configurable such that, ninapoingiza umeme naielekeza iulekeze kwenye sub-meter ipi; as simple as that tatizo la shared meters litakuwa limeisha. Hivyo, haitegemewi main meter isiwe na umeme wakati kuna sub-meter haijamaliza consumption yake.

... kuhusu elfu moja ya pango kila mwezi; yes, hakuna kizuri kisicho na changamoto. Ni heri kukatwa elfu moja kila naponunua umeme kwa ajili ya sub-meter yangu kuliko kulala giza simply kuna wapangaji wabishi hawataki kuchangia au wanavizia wengine wanunue ili nao wafaidike. Inakera sana. Hata hivyo the best solution ni kujenga nyumba yako.
 
mkuu hako kadude si wanasema ni kakwako peke yako ununue token uwaambie iweje,,, au unasemea shida ipo kwenye kuijaza ile mainmeter ili ipate kuhema?

kuhusu Tanesco kutufungia kila chumba na umeme wake mkuu kwa vyumba hivi mita tatu kwa nne are you serious? hiyo mikonga ya umeme kwenye nyumba moja tu si itakuwa kama zile bendera mitaa ya wahindi,,,.

kl-og_image.jpg
KPLC-Tariff.jpg

Kenya huwa wanatumia ki hvyo hapo kila chumba kinajitegemea huna hela unalala giza peke yako, si umeme tu bali hata maji kila mtu analipa bill kivyake kama huna hela Koki yako haitoi maji maana mambo ya kuchangishana hayapo
 
hivyo vya kuninginizia ukutani
karibu na mainswitc ni za miaka ileee 2010 sikuiz hawavibandiki ukutani lile dude la kuwekea token unatembea nalo
View attachment 2292825View attachment 2292827
Kenya huwa wanatumia ki hvyo hapo kila chumba kinajitegemea huna hela unalala giza peke yako, si umeme tu bali hata maji kila mtu analipa bill kivyake kama huna hela Koki yako haitoi maji maana mambo ya kuchangishana hayapo

hadi ata kwa mangi dukani
 
hivyo vya kuninginizia ukutani
karibu na mainswitc ni za miaka ileee 2010 sikuiz hawavibandiki ukutani lile dude la kuwekea token unatembea nalo


hadi ata kwa mangi dukani
Najua ila yawezekana hizo meter za nyumba nzima kufungwa kwenye nguzo moja then unatembea na remote yako ya token.

Mbona kwenye baadhi ya nyumba zimefungwa meter 4 au zaidi na wale wa maghorofani hadi meter 20 zinafika.
 
Najua ila yawezekana hizo meter za nyumba nzima kufungwa kwenye nguzo moja then unatembea na remote yako ya token.
Mbona kwenye baadhi ya nyumba zimefungwa meter 4 au zaidi na wale wa maghorofani hadi meter 20 zinafika.
sawa mkuu
 
Najua ila yawezekana hizo meter za nyumba nzima kufungwa kwenye nguzo moja then unatembea na remote yako ya token.
Mbona kwenye baadhi ya nyumba zimefungwa meter 4 au zaidi na wale wa maghorofani hadi meter 20 zinafika.
Pesa yako tu ukielewana na Fatherhouse tanesco wanakufungia meter yako shida ukitimuliwa meter huwezi ing'oa unaiacha palepale
 
asante kwa ufafanuzi ila kidogo wataalam waendelee kuwa update kwa hivi vifaa kuna pahala bado shida ipo.
Hii mita ni kwa ajili ya nyumbs yenye mita moja na wapangaji wengi ambapo kila mpangaji atalipa kulingana na yuniti alizotumia, Tanesco hawana uhusiano nayo.
 
Hii mita ni kwa ajili ya nyumbs yenye mita moja na wapangaji wengi ambapo kila mpangaji atalipa kulingana na yuniti alizotumia, Tanesco hawana uhusiano nayo.
sawasawa
 
kazi yake ni kupima unit unazotumia tu kama unataka tumia kivyakovyako wazukie Tanesco umenye mita yako
Mwisho...
 
daaaah kwahyo makelele yapo palepale


i walisema kama umenunua unt 28 wakat unahamisha lazima zibaki na we utoke na unt 25 hivi sasa shida hizo ulizoacha watajichanga kuongezea mainmeter iendelee kuhema au watasubr mpk zikate daah

mkiu samico yaani alichosema huyo yaani shida inakwaa pahala ili huyo mainmeter aendelee kuhema lazima ijazwe kama kasubmeter kako unakajaza means wakat unahamisha ulibakiza kidogo iliwaje waijazilizie sasa hawajajaza wamekuwa kenge mara pah umeme unakata kwenye main meter lazima na wewe utakuwa giza
Dawa ni kumshawishi mwenye nyumba kuweka hiyo meter separator kwa mbishi wa kulipia umeme ili yeye ndiye awe ananunua token katika main meter. Akiishiwa anakosa umeme peke yake.
 
Back
Top Bottom