Mafundi wengi Bongo wanashindwa kufanya Overhaul ya Engine ya 1ZZ

Mafundi wengi Bongo wanashindwa kufanya Overhaul ya Engine ya 1ZZ

Beman

Member
Joined
Aug 1, 2021
Posts
15
Reaction score
26
Ningependa tu kutoa ushauri, kufanya overhaul ni mara mia ununue mswaki ufunge. Mafundi tulionao wanaweza kukushawishi ufanye overhaul lakini tambua engine haiwez kuwa na the same performance+Life span ya engine is shortned.(Hapa unakua kama upo kwenye limp mode,Gari haina uwakika kwa safari ndefu.

Hivyo, ni bora ujipange kuliko upangwe na hawa mafundi wetu ambao wakishachukua hela yako,hana tena ushirikiano na any engine fault itakayojitokeza.

Au kama kuna yeyote alifanya overhaul ya hii engine aje na ushuhuda kuwa amekaa nayo over 3 yrs na haijawai kumsumbua.
 
Ningependa tu kutoa ushauri, kufanya overhaul ni mara mia ununue mswaki ufunge. Mafundi tulionao wanaweza kukushawishi ufanye overhaul lakini tambua engine haiwez kuwa na the same performance...
Mi nadhani sababu zote sio fundi, sababu nyingine ni za wamiliki, wamiliki wakiambiwa kuhusu spea geniun wanalia na kukimbilia kununua za kichina.

Ukitaka maisha ya injini yawe marefu baada ya marwkebisho nunua spea geniun, nenda toyota ukanunue spea. Wakati mwingine kupenda kwetu unafuu ndio kunakopelekea kuwalaumu mafundi muda wote japo kuwa wapo ambao sio wazur pia. Ila mafundi wazuri wapo sana tu ukiwahitaji sema utaunganishwa nao
 
Ningependa tu kutoa ushauri, kufanya overhaul ni mara mia ununue mswaki ufunge. Mafundi tulionao wanaweza kukushawishi ufanye overhaul lakini tambua engine haiwez kuwa na the same performance+Life span ya engine is shortned.(Hapa unakua kama upo kwenye limp mode,Gari haina uwakika kwa safari ndefu.

Hivyo, ni bora ujipange kuliko upangwe na hawa mafundi wetu ambao wakishachukua hela yako,hana tena ushirikiano na any engine fault itakayojitokeza.

Au kama kuna yeyote alifanya overhaul ya hii engine aje na ushuhuda kuwa amekaa nayo over 3 yrs na haijawai kumsumbua.
Nilishawahi kufanya overhaul ya engine, mafundi Kama kawaida yao wanakutoa wasiwasi kwamba hamna shida, ila tulivyomaliza kuifunga engine nikagundua muungurumo ukawa ni m'baya tofauti na ilivyokua mwanzo, performance mbovu hata ikawa haina ladha, na gharama nilizotumia zinakaribiana na gharama za kufunga mswaki nikajilaumu. Miezi michache baadae ikaanza kula oil, nikaamua kuipiga na chini na kununua mswaki wa laki 9 nikafunga mpaka leo inadunda.
 
Mbaya zaidi ni bei ya hiyo injini ya 1ZZ. 'Mswaki' ni 2mil, complete ni 2.3mil.

Niliwahi kufanya overhaul ya hiyo injini mwaka 2018. Ilisumbua baada ya hapo ila ilikuja kubainika mafundi wa awali waliruka jino moja la timing chain. Ilipofika 2022 ikaanza tena kuchoma oil. Kila baada ya wiki 2-3 unaongeza lita 1.

Nikafanya overhaul tena (ingawa fundi alishauri tuchukue 'mswaki', pesa ikawa na mipango mingine mikubwa na muhimu zaidi) iligharimu around laki 5 (parts na ufundi). Baada ya hapo kukawa na leakage ya oil. Kila asbhi unakuta oil imechuruzika chini. Ikarekebishwa tena, ikatulia. Hivi karibuni nimeanza tena kuona matone ya oil chini.

Bado ninasukuma nayo siku kabla sijavuta chombo kingine.
 
Mbaya zaidi ni bei ya hiyo injini ya 1ZZ. 'Mswaki' ni 2mil, complete ni 2.3mil.

Niliwahi kufanya overhaul ya hiyo injini mwaka 2018. Ilisumbua baada ya hapo ila ilikuja kubainika mafundi wa awali waliruka jino moja la timing chain. Ilipofika 2022 ikaanza tena kuchoma oil. Kila baada ya wiki 2-3 unaongeza lita 1.

Nikafanya overhaul tena (ingawa fundi alishauri tuchukue 'mswaki', pesa ikawa na mipango mingine mikubwa na muhimu zaidi) iligharimu around laki 5 (parts na ufundi). Baada ya hapo kukawa na leakage ya oil. Kila asbhi unakuta oil imechuruzika chini. Ikarekebishwa tena, ikatulia. Hivi karibuni nimeanza tena kuona matone ya oil chini.

Bado ninasukuma nayo siku kabla sijavuta chombo kingine.
Wiki 2-3 lita1-Aisee kwenye daladala tunaongeza kila siku lita moja [emoji23][emoji23]
 
Mbaya zaidi ni bei ya hiyo injini ya 1ZZ. 'Mswaki' ni 2mil, complete ni 2.3mil.

Niliwahi kufanya overhaul ya hiyo injini mwaka 2018. Ilisumbua baada ya hapo ila ilikuja kubainika mafundi wa awali waliruka jino moja la timing chain. Ilipofika 2022 ikaanza tena kuchoma oil. Kila baada ya wiki 2-3 unaongeza lita 1.

Nikafanya overhaul tena (ingawa fundi alishauri tuchukue 'mswaki', pesa ikawa na mipango mingine mikubwa na muhimu zaidi) iligharimu around laki 5 (parts na ufundi). Baada ya hapo kukawa na leakage ya oil. Kila asbhi unakuta oil imechuruzika chini. Ikarekebishwa tena, ikatulia. Hivi karibuni nimeanza tena kuona matone ya oil chini.

Bado ninasukuma nayo siku kabla sijavuta chombo kingine.
Hyo bei ya zaman mkuu nakumbuka 2019 mshikaji alinunua kwa ajili ya Voltz yake 2.16M tena kwa kutafuta sana wengi waliishia 2.3.

Kwa sasa hyo injini bila 3M usimsogelee muuzaji, zimepanda sana bei.
 
Hyo bei ya zaman mkuu nakumbuka 2019 mshikaji alinunua kwa ajili ya Voltz yake 2.16M tena kwa kutafuta sana wengi waliishia 2.3.

Kwa sasa hyo injini bila 3M usimsogelee muuzaji, zimepanda sana bei.
Aisee!! Ila hiyo bei niliyopewa ilikuwa ni Julai mwaka jana (2022). Hiyo overhaul nilifanya Agosti mwanzoni. Simu ilipigwa kwa muuzaji, alivyotamka bei nikahisi kama ninaibiwa hivi. 😆😆
 
Niliwahi kufanya overhaul ya hiyo injini mwaka 2018. Ilisumbua baada ya hapo ila ilikuja kubainika mafundi wa awali waliruka jino moja la timing chain. Ilipofika 2022 ikaanza tena kuchoma oil. Kila baada ya wiki 2-3 unaongeza lita 1.

In 4 years ulitembea km ngapi kabla ya kuanza kuongeza Oil?

I doubt suala la spear parts lilichangia.
 
Mbaya zaidi ni bei ya hiyo injini ya 1ZZ. 'Mswaki' ni 2mil, complete ni 2.3mil.

Niliwahi kufanya overhaul ya hiyo injini mwaka 2018. Ilisumbua baada ya hapo ila ilikuja kubainika mafundi wa awali waliruka jino moja la timing chain. Ilipofika 2022 ikaanza tena kuchoma oil. Kila baada ya wiki 2-3 unaongeza lita 1.

Nikafanya overhaul tena (ingawa fundi alishauri tuchukue 'mswaki', pesa ikawa na mipango mingine mikubwa na muhimu zaidi) iligharimu around laki 5 (parts na ufundi). Baada ya hapo kukawa na leakage ya oil. Kila asbhi unakuta oil imechuruzika chini. Ikarekebishwa tena, ikatulia. Hivi karibuni nimeanza tena kuona matone ya oil chini.

Bado ninasukuma nayo siku kabla sijavuta chombo kingine.
mswaki ni nini kaka? naomba nijuzwe
 
bosi ukimwambia leta hela labda niende ingenearing nikakuwekee sliv nzuri na unamtajia Bei kubwa nakama unavyojua mbongo ukimtajia beikubwa anaona unampiga

sasa fundi anacho fanya anakuelekeza sehemu yakwenda ili ukajionee mwenyewe bosi akifika chakwanza anaulizia Bei yakuweka slivslinder anatajiwa Bei Aina mbili hapo ataanza kuhoji kwamba akiwekewa yabei ndogo siitadumu tuu😅mwekaji nae anaenda na biti lako anakwambia Haina shida gari itakuwa fresh tuu

fundi hujui chochote Wala hakuombi ushauri kwamba nimekuta hivi na hivi tufanyeje haulizi anaweka tuu

block inakuja unafata taratibu zako zote kuhakikisha umefunga vizuri unamaliza kufunga unawasha unatesti gari iko safi unamkabidhi mnalipana freshi

anaipa garisafari kidogo tuu Mara unapigiwa simu gari Haina nguvu inakula oili mala inatoa moshi unamwambia letaniangalie unacheki unagundua sliv zimechimba maamae

unaanza kutafuta mchawi kwanini ufunge ingine wiki mbili tuu sliv zichimbe?

unampigia injinia kuuliza aliweka sliv zaaina gani anakwambia zabei chee dah😅

inabidi muanze upya tena nahapo unakuta bosi kachoka Hana hata Mia anatia huruma tuu😅😅
 
bosi ukimwambia leta hela labda niende ingenearing nikakuwekee sliv nzuri na unamtajia Bei kubwa nakama unavyojua mbongo ukimtajia beikubwa anaona unampiga

sasa fundi anacho fanya anakuelekeza sehemu yakwenda ili ukajionee mwenyewe bosi akifika chakwanza anaulizia Bei yakuweka slivslinder anatajiwa Bei Aina mbili hapo ataanza kuhoji kwamba akiwekewa yabei ndogo siitadumu tuu[emoji28]mwekaji nae anaenda na biti lako anakwambia Haina shida gari itakuwa fresh tuu

fundi hujui chochote Wala hakuombi ushauri kwamba nimekuta hivi na hivi tufanyeje haulizi anaweka tuu

block inakuja unafata taratibu zako zote kuhakikisha umefunga vizuri unamaliza kufunga unawasha unatesti gari iko safi unamkabidhi mnalipana freshi

anaipa garisafari kidogo tuu Mara unapigiwa simu gari Haina nguvu inakula oili mala inatoa moshi unamwambia letaniangalie unacheki unagundua sliv zimechimba maamae

unaanza kutafuta mchawi kwanini ufunge ingine wiki mbili tuu sliv zichimbe?

unampigia injinia kuuliza aliweka sliv zaaina gani anakwambia zabei chee dah[emoji28]

inabidi muanze upya tena nahapo unakuta bosi kachoka Hana hata Mia anatia huruma tuu[emoji28][emoji28]
Fundi kama Fundi,,Naswali kidogo hapa nje ya mada. Nina Toyota hiace dungu nataka nibadirishe injini niweke ya Noah 4s. Nina Maswali machache itaweza kubeba abiria 20 na kwa performance ile ile? Hiace za 2rz zinaninyanyasa sana.
 
Back
Top Bottom