Mafundi wengi ni wezi na matapeli

Mafundi wengi ni wezi na matapeli

Mohammed wa 5

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2022
Posts
1,215
Reaction score
3,035
Mafundi wengi hawana elimu wanatumia ujuzi wao wa wizi na utapeli kula hela ya mteja,ata kwenye semina za wajasirimali uwezi kuwakuta .

Mafundi umeme nyie ndo wezi kabisa wa kuwaibia maboss vifaa vyao,mna list kweny mahitaji ya vifaa ata vitu visivyokuwepo boss usipokuwa makini ahh umeisha

Mafundi seremala nyie ndo matapeli sana,Kuna fundi nimempa hela za mbao anitengenezee kabati na meza Sasa ni mwaka ananizungusha ukimkuta ofisini uongo kibao,cm zangu apokei


Mafundi wengi ni matapeli Japo sio wote
 
Mafundi wengi hawana elimu wanatumia ujuzi wao wa wizi na utapeli kula hela ya mteja,ata kwenye semina za wajasirimali uwezi kuwakuta .

Mafundi umeme nyie ndo wezi kabisa wa kuwaibia maboss vifaa vyao,mna list kweny mahitaji ya vifaa ata vitu visivyokuwepo boss usipokuwa makini ahh umeisha

Mafundi seremala nyie ndo matapeli sana,Kuna fundi nimempa hela za mbao anitengenezee kabati na meza Sasa ni mwaka ananizungusha ukimkuta ofisini uongo kibao,cm zangu apokei


Mafundi wengi ni matapeli Japo sio wote
Umeanza vibaya alafu ukamaliza vzuri kwamba "japo sio wote" 😁😁
Swala la utapeli mafundi sio special case, kutapeliwa utatapeliwa sehem yoyote tena saiv ukizubaa hadi wachungaji watakutapeli alaf uje kutoa ushahidi kwetu😂😂 kikubwa ni kuwa na imani na fundi wako ukiona huna imani kabisa bas saiv unaweza kuandaa mkataba (contract) na fundi wako ukionyesha muda mlio kubaliana kwa kazi kuisha na kiasi cha malipo mlicho kubaliana
 
Fundi mkweli kinyozi...
Kuna mmoja fala sana, nimempa maelekezo ya jinsi ya kunyoa akafanya tofati.
Yaani akaninyoa panki kama la Madenge, halafu ndevu kidevuni kazungusha kiduara, mustache kaninyoa kiasi kwamba ukiniangal8a, sura ya Robert Mugabe inakuja, ya Hitler, Charlie Chaplain na baba wa taifa zote zinakuja, all those shits in one person. Kwa kifupi alinidharau na kunifanya mdoli.

Kulalamika nikaona ni kupoteza muda, ngumi ya chembe ndipo moyo wangu ukaridhika kwamba angalau na mimi nimempa stahiki.
 
😁😁😁😁🙌
Ata huko site ukizibaa unapigwa vizuri tu
Site nakaa mwenyewe ,waanzi kazi Hadi niwepo nikimaliza nafunga mlango wa stoo tuonane kesho.
Hakuna fundi ananiibia Mimi.

Kuna dogo nilikua namtuma kwenda kuchana mbao alikuwa anambia ubao kuchana buku ule wa 4*4 Kuna siku nimeenda mwenyewe kumbe kuchana ni 300
So alikuwa ananipiga 700 Kila ubao.

Nikampa kazi ya kujaza kifusi halafu nikampigia hesabu zile 700 alizokuwa ananipiga ndo ikawa malipo yake
 
Ukitaka kuwa huru na kero za dunia hii jitahidi angalau ujue kila kitu, kama utaweza fanya mwenyewe mfano kazi ya ufundi, ukishindwa uwe na idea, ukiwa na idea ya anachofanya fundi umeme hana uwezo wa kukuibia sababu utanunua kitu unachojua kitafungwa wapi na ww utaamua nn kiwe wap na cha aina gani, ikiwezekana fundi aje site akute ushamuandalia kila kitu cha kazi yake, mfano mm, fundi wangu wa tiles huwa anajua boss wake nikimpigia siku atakuta kila kitu site, hakuna hesabu rahisi kama ya tiles ni hesabu ya upana mara urefu, na box la tiles linajulikana lina tiles ngapi na za ukubwa upi, uwe na tape measure yako, kalamu na karatasi pamoja na calculator yako ya simu, kama hujui tiles zikoje pita madukani watakwambia tiles za sakafu za cm50*50cm zinakaa 7 basi unarudi kwako unapima ukubwa wa chumba unatafuta eneo lako unajua zinaingia box ngap unaweka moja ya ziada fundi anakuja, akikwambia sqm moja sh 5000 hela ya ufundi basi unapima eneo lako la chumba wajua kabisa bei ya kumlipa hata kabla ya kuja, kuweni wabunifu.

Mafundi wengi hawana elimu wanatumia ujuzi wao wa wizi na utapeli kula hela ya mteja,ata kwenye semina za wajasirimali uwezi kuwakuta .

Mafundi umeme nyie ndo wezi kabisa wa kuwaibia maboss vifaa vyao,mna list kweny mahitaji ya vifaa ata vitu visivyokuwepo boss usipokuwa makini ahh umeisha

Mafundi seremala nyie ndo matapeli sana,Kuna fundi nimempa hela za mbao anitengenezee kabati na meza Sasa ni mwaka ananizungusha ukimkuta ofisini uongo kibao,cm zangu apokei


Mafundi wengi ni matapeli Japo sio wote
 
Site nakaa mwenyewe ,waanzi kazi Hadi niwepo nikimaliza nafunga mlango wa stoo tuonane kesho.
Hakuna fundi ananiibia Mimi.

Kuna dogo nilikua namtuma kwenda kuchana mbao alikuwa anambia ubao kuchana buku ule wa 4*4 Kuna siku nimeenda mwenyewe kumbe kuchana ni 300
So alikuwa ananipiga 700 Kila ubao.

Nikampa kazi ya kujaza kifusi halafu nikampigia hesabu zile 700 alizokuwa ananipiga ndo ikawa malipo yake
Mkuu🙌
 
Back
Top Bottom