Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

Kukata mzizi wa fitina waambie wakujengee tu ili utajirike.......usipoona ukaehuka kwa kupoteza fedha. Technology ya green house ipo kweli na ni nzuri sana lakini haiendi kirahisi rahisi na kwa faida kubwa kama hawa jamaa wanavyopamba!

Mkuu, once a while, try positive thoughts. They realy work and has been proved scientifically.

Some of us are sharing this information because of our passion to see people prosper. We are not a government which has a primary responsibility for prosperity of its people. We still want to make a difference by sharing.

See if this makes sense or not!
 

Thank you Masanja. I love your signature too: Silaha ya maskini ni elimu
 
Na zile net za kuzungushia kwa chini huyo rafiki yako alizipata wapj? Pia drip pipes alizipata kwa bei gani?
 

Asante kwa info hizi. Ni duka gani jingine nao wanauza hivi vifaa?
 

Ubora wa greenhouse ni kwamba kilimi chake hakitegemei msimu. Bora tu una maji karibu, unaweza kupanda vyakula vyako January, Mei, Augut, Disemba.....haijalishi. Hilo lina maan kwamba unaweza kuepukana na usumbufu wa soko kwa ku-time mavuno yako yaanze wakati ambao wakulima wanaotegemea mvua hawana mavuno.
 
Hivi hiyo GH (Green House) inafaa Kwa Kilimo cha Uyoga?
Unfortunately uyoga(mushrooms) hayakuzwi kwa greenhouse. The required environment for mushrooms is a dark room that has very high levels of humidity. The greenhouse has the opposite effect.
Asante Ndugu kwa swali lako
 

pamoja na kudai unasomea greenhouse hort. elimu yako haujatoa msaada wowote hapa.bora ungepita kimya kimya
 

Kaka hiyo ni biashara,sio ruzuku wala msaada. Hakuna mfanyabiashara ambaye atakupa wewe mali umrudishie baada ya mwaka!!
Nenda uchina utakuta hizo nyumba zinauzwa madukani si chini ya dola 2000.
Tupo kwenye soko huria la mitaji,Mbona selikali yenu inashindwa wakopesha mbolea mnanunua kwa ruzuku.
 
pamoja na kudai unasomea greenhouse hort. elimu yako haujatoa msaada wowote hapa.bora ungepita kimya kimya
Elimu ni mtaji hautolewi bure nimetoa tahadhali na way forward mpate consultation ya mabwana shamba kabla hamjaingia katika kilimo hicho unataka msaada gani tena. Mabwana shamba mnao kila kata na kijiji/mtaa lkn mnashindwa kuwatumia halafu mnailalamikia serikali wake up kijana.
 

China ni mtoto aliyelelewa kwenye ndoa iliyokuwa na wazazi wenye msimamo mkali...Tanzania iliwahi kuwa na baba,hamkumwelewa...akamaliza kazi yake na kwenda...sasa ina wenyewe...imeshauzwa, ukipata muda pitia kwa mjumbe wako wa nyumba kumi ukachukue elfu nne kama yako!
 

Mkuu, ukiongelea real experience ya Green House, siwezi nikasema tuna Wataalamu waliobobea kwa vitendo zaidi ya thory nyingi tu. Na ndiyo maana hata baadhi ya hao mabwana shamba leo hii wanakuja na kuomba kujengewa greenhouse!

We trust in practical experience and attitude which makes more than 90% of life success other than the theory and books which counts on less than 10% success. Furthermore materials in the books can change but what you experience is evidential.
 

Kumbe wafahamu kuwa nchi imeuzwa,kumbe tupo pamoja. Huna mtaji huna faida,jino kwa jino.
 
Nimependa sana kwa kweli....,najipanga..

Jipange mkubwa tafuta kianzio tuu,hii kitu risk yake ndogo mno! na faida yake ni kubwa ni commitment tuu. Utapiga pesa za mboga mboga na matunda mpaka utakinai.
 
Nikishanunua kitabu chako na kukisoma, kama ntakuwa nahitaji msaada zaidi hasa wa ushauri, unaweza nihudumia?
 
Nikishanunua kitabu chako na kukisoma, kama ntakuwa nahitaji msaada zaidi hasa wa ushauri, unaweza nihudumia?

Of course. Ukiwa na swali au unahitaji ushauri zaidi baada ya kukisoma, ntakupa ushauri wa kukutosha. Usijali
 

Kwenye kuezeka naona kama umekosea, juu hakuezekwi flat kama vile box, Bali kunakua na mgongo, hivyo gharama zitaongezeka.

Na Kwenye ukuta wa chini, je ni kweli wadudu hawapiti kwenye matundu ya chandarua? Vipi durability ya Net kwenye sehemu yenye upepo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…