Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Status
Not open for further replies.
wewe kinachokusumbua kama siyo bangi basi nyege changa,maana huelimiki.mwenzio anafundisha ujasiriamali wewe unatangaza njaa hapa,basi tukufundishe K.U.F.I.R.W.A ndo unachokijua naona.ushauri tu hamia jukwaa la mapenzi

'kumbe ndio mchezo wako mpaka umekuwa mwalimu wa kuwafundisha watu hongera sana aisee mi huwa sipendagi hiyo chocolate ya kunuka katafute wa kumpa kama mimi umenikosa huwa SI.FI.RI watu kama nyinyi asee,KARIBU SANA'
 

'nashindwa kuelewa yeye kinamuwasha nini wakati hajaulizwa yeye kwani kila kitu ni lazma a-comment mpumbavu sana huyu unajua...?'
 

'i think so brother biashara unajua duniani kuna watu wameumbwa kwa ajili ya kuwa mafedhuli tu kwa wenzao sasa hili ni tatizo kubwa sana hasa kwa mtu ambaye hajijui halaf hajui kama hajijui sasa watu kama hawa dawa yao ni ndogo tu mkuu wala sio wa kupata nao shida kiongozi wangu,NIMEKUPATA MKUU'
 

Usijali. Ila ningependa kama mngepatana na kusaidia katika mambo haya ya ujasiriamali itakuwa vizuri sana.
 
Usijali. Ila ningependa kama mngepatana na kusaidia katika mambo haya ya ujasiriamali itakuwa vizuri sana.

'mkuu mi sina tatizo kabisa kiongozi na wala mi sijamkosea kwa lolote mkuu niko tayari ila kwa kuwa yeye ndiye aliyeanza kunikosea aje aombe usulishi tuone kama kweli ni mtu mwenye busara kiongozi wangu'
 
Kuna mtu mmoja ameniambia lea asubuhi kuwa hivi karibuni kutakuwa na maonyesho ya kazi za wajasiriamali hapa dar ila hajajua bado itakuwa tarehe ngapi na ukumbi gani ila itakuwa mwezi ujao mwanzoni. Nikipewa taarifa ntaziweka hapa ili watakaotaka kushiriki na kuonyesha kazi zao za mkaa wajitokeze kuzionyesha maana tumeshaona humu kuwa kuna watu wamefanikiwa kupata masoko na mikopo kirahisi baada ya kuonyesha bidhaa yao ya mkaa kwenye maonyesho na humu mtandaoni
 

Jana jioni nilisikia tangazo kweye redio wakisema makamu wa raisi atafungua maonyesho ya wajasiriamali sijui leo au jumatatu ila wajasiriamali watakuwa wakionyesha bidhaa zao kwa public. Mwenye info atatupa zaidi. Naona siku hizi mambo ya ujasiriamali yamekuwa trend, kila mtu anaingia humu
 
Kuna watu wa mikoani wamekuwa wakiniuliza mambo yale yale kila siku hasa kuhusu kupata mafunzo haya hasa kitabu ktk hardcopy. Ningependa kusema tena kuwa unaweza kupata kitabu ktk hardcopy nakutumia kwa njia ya basi kinakufikia popote ulipo. Hata kama ni nje ya nchi east africa.
 

Hivi Mkuu hakuna fundi anayeweza kumodify hiyo mashine ya 75000 akaweka kamota kadogo kakuendesha?
Kama kuna mtu namjua fundi anayeweza kufanya hicho kitu anijuze tafadhali
 
Hivi Mkuu hakuna fundi anayeweza kumodify hiyo mashine ya 75000 akaweka kamota kadogo kakuendesha?
Kama kuna mtu namjua fundi anayeweza kufanya hicho kitu anijuze tafadhali

Fundi yeyote yule wa kuchomelea anaweza kimodify ilimradi tu umpe maelezo
 
Punguzo la bei kwa ajili ya kipindi cha sikukuu. Kuanzia leo bei ya kitabu cha mafunzo ya jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa pamoja na dvd yake na zile ofa nyingine imepunguzwa kutoka elfu kumi hadi elu nane. Ofa hii inaisha tarehe 31/12.
 
Hivi Mkuu hakuna fundi anayeweza kumodify hiyo mashine ya 75000 akaweka kamota kadogo kakuendesha?
Kama kuna mtu namjua fundi anayeweza kufanya hicho kitu anijuze tafadhali
habari mkuu eti hii mashine ya 75000 ikoje?au ndo hizihizi za kugrand nyama ambazo c lazima 75000 cz zna bei tofautitofauti
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…