Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Mafunzo ya kutengeneza mkaa wa kisasa

Status
Not open for further replies.
Ambaye yuko mkoani sasa inawezekana kutumiwa kitabu katika mfumo wa paperback yaani kikiwa kimeshaprintiwa tayari. Kinasafirishwa kwa basi. Bei yake itakuwa sh 20,000. Kwa wale wanaopendelea kutumiwa kwa email bei ni ile ile sh. 10,000
 
mkuu natamani ningekuwepo huko mbeya, ni nyumbani. Dah! Umenikumbusha mapambano jirani na soko la maendeleo ndo familia yangu ilipo. meta ni shule yngu o-level.............. Alot of feelings. Okey, hamjachelewa kufanya ushirikiano. Mwezi novemba panapo majaliwa ntakuja ntakutafuta mkuu Nicholax

Daaaaaaaah mkuu MBEPO YAMBA kumbe we ni mtu wa home kabisaaa, hayo maeneo shule ya mapambano jirani na soko la maendeleo, basi mimi karibu na BEST VIDEO SHOW kwa JOSHWA ukitoka soko la maendeleo ndio maskani ya mnyakyusa mimi, karibu mbeya mkuu nitafurahi tukiwa pamoja AIRPORT tupeane ma experience

.made in mby city.
 
Kuanzia kesho ukinunua mafunzo ya kutengeneza mkaa utapewa mafunzo ya kufanya ufugaji wa kuku wa kienyeji wenye faida na unaoweza anza na mtaji mdogo buree.

Daaaaaah mkuu iyo kitu ni njema sana, sasa inakuaje kununua hayo mafunzo, coz nimenunua kitabu cha mkaa juma3 hii

.made in mby city.
 
Daaaaaah mkuu iyo kitu ni njema sana, sasa inakuaje kununua hayo mafunzo, coz nimenunua kitabu cha mkaa juma3 hii

.made in mby city.

Ngoja kidogo naifanyia updating na kuiongezea ubora ikiwa tayari ntaanza kuitoa kama ofa. Itatolewa bure very soon
 
Daaaaaaaah mkuu MBEPO YAMBA kumbe we ni mtu wa home kabisaaa, hayo maeneo shule ya mapambano jirani na soko la maendeleo, basi mimi karibu na BEST VIDEO SHOW kwa JOSHWA ukitoka soko la maendeleo ndio maskani ya mnyakyusa mimi, karibu mbeya mkuu nitafurahi tukiwa pamoja AIRPORT tupeane ma experience

.made in mby city.

Aisee, kwenye mashine ya makyoma hapo kama unapafahamu, anyway hata mama yangu possibly unamfahamu maana ni mtaa wa pili toka kwa Joshua video show. Mungu atuzidishie tu. Mimi ni mwanachamd kikundi cha vijana hapo mtaani na ntakuja kuwapa vijana wenzangu ujuzi flani flani nilioupata kwenye ujasiliamali kuona namna tunavyoweza kusonga pamoja. Nimepata kidogo kwenye maonyesho ya vicoba yaliyomalizika tutashare.
 
Aisee, kwenye mashine ya makyoma hapo kama unapafahamu, anyway hata mama yangu possibly unamfahamu maana ni mtaa wa pili toka kwa Joshua video show. Mungu atuzidishie tu. Mimi ni mwanachamd kikundi cha vijana hapo mtaani na ntakuja kuwapa vijana wenzangu ujuzi flani flani nilioupata kwenye ujasiliamali kuona namna tunavyoweza kusonga pamoja. Nimepata kidogo kwenye maonyesho ya vicoba yaliyomalizika tutashare.

Sasa mkuu naona unaleta utani thatha, kikundi gani cha vjana hapa mtaani?, kinaitwaje hicho kikundi? Balozi wako anaitwa nani?
Kuna kikundi cha vijana hapa mtaani kinaitwa YOCODES, baloz ya ndugu KIBONDE, mwenyekiti anaitwa DANIEL na mhadhini anaitwa FADHIL, mimi ni mwenyekiti wa katiba wa hichi kikundi, hebu nipe ripoti nzuri mkuu ntafurahi zaidi

.made in mby city.
 
wee! fadhili kibonde? yupo huyu mtu huko? aise huyo mzee Kibonde ni jirani yangu kabisa, yaani ni just next door na kwetu. Hiyo group ni memba ila unajua tena maisha, muda mwingi niko dar. Nilihudhuria mara mbili tu nilipokuwepo huko. Hebu tuhamie pm tufahamiane zaid
 
wee! fadhili kibonde? yupo huyu mtu huko? aise huyo mzee Kibonde ni jirani yangu kabisa, yaani ni just next door na kwetu. Hiyo group ni memba ila unajua tena maisha, muda mwingi niko dar. Nilihudhuria mara mbili tu nilipokuwepo huko. Hebu tuhamie pm tufahamiane zaid

Mkuu kwenye hizi mambo za pm nazisikiaga tu hata sijui ni nini wala inakuaje kuaje, ntakucheki na zile namba ulizoweka pale nyuma, daaaaah nashkur nimepata ndugu wa karb mjasiliamali, wait a second nikuchek ndugu

.made in mby city.
 
'sasa hela sio tatizo mkuu ila tatizo hizo pesa kurudi aidha kama hakuna material sehem ninayokaa itakuwaje kiongozi...?'

wewe unapoenda shule kusomea unachokijua,ukikosa ajira utarudi chuo kudai ada sababu ajira hamna,hutaki pita zako jamaa kaweka namba zake muhitaji atamtafuta,kelele nyingi kumbe mfukoni hata mia huna.Utanzania ni tatizo kubwa sana
 
ukinunua mafunzo ya kutengeneza mkaa utapata video inaoonyesha maelezo mazuri kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji na kisasa. utaipata video hii bure km ofa bure
 
ukinunua mafunzo ya kutengeneza mkaa utapata video inaoonyesha maelezo mazuri kuhusu ufugaji wa kuku wa kienyeji na kisasa. utaipata video hii bure km ofa bure

mafunzo yapi tena mkuu...je unazungumzia yale ya ebook au
 
wewe unapoenda shule kusomea unachokijua,ukikosa ajira utarudi chuo kudai ada sababu ajira hamna,hutaki pita zako jamaa kaweka namba zake muhitaji atamtafuta,kelele nyingi kumbe mfukoni hata mia huna.Utanzania ni tatizo kubwa sana

'njoo ukiwa u.c.h.i umeinama halaf utajua kama hata mia sina au nnazo zaidi ya mia huwa nawatakaga sana mnaodandia magari kwa mbele halaf mnagongwa nyuma kama konyagi mamako wee njoo niku perepeche mwasii kitoko wee,KARIBU'
 
Last edited by a moderator:
'njoo ukiwa u.c.h.i umeinama halaf utajua kama hata mia sina au nnazo zaidi ya mia huwa nawatakaga sana mnaodandia magari kwa mbele halaf mnagongwa nyuma kama konyagi mamako wee njoo niku perepeche mwasii kitoko wee,KARIBU'
ndo ufahamu wako ulipoishia,nimekusamehe bure,tatizo ni hizi mimba za utotoni,fikiria Mama anabeba mimba na miaka 14 anazaa na miaka 15,kwahiyo mtoto anakua na mama naye bado anakua,unategemea mtoto atatimia kimalezi?anyway endelea kukua,bado tunakuhitaji
 
ndo ufahamu wako ulipoishia,nimekusamehe bure,tatizo ni hizi mimba za utotoni,fikiria Mama anabeba mimba na miaka 14 anazaa na miaka 15,kwahiyo mtoto anakua na mama naye bado anakua,unategemea mtoto atatimia kimalezi?anyway endelea kukua,bado tunakuhitaji

'unajua mtu akihitaji kukunwa inabidi umkune ndio atatulia sasa hapo naona umetulia na ukome kudandia magari kwa mbele ile lugha uliyotumia kunijibu ndio akili yako ilipoishia au ni bange mnazovuta huko mnapokutana coz haiyumkiniki kidole atiwe mwengine halaf wee uskie utam kwani umetiwa kidole mpaka uskie utam kilichokuwasha ni nini sasa STUPID,KARIBU SANA'
 
wewe unapoenda shule kusomea unachokijua,ukikosa ajira utarudi chuo kudai ada sababu ajira hamna,hutaki pita zako jamaa kaweka namba zake muhitaji atamtafuta,kelele nyingi kumbe mfukoni hata mia huna.Utanzania ni tatizo kubwa sana

'kwa hiyo wee ni baniani au banyamulenge,NGEMSE WEE'
 
'unajua mtu akihitaji kukunwa inabidi umkune ndio atatulia sasa hapo naona umetulia na ukome kudandia magari kwa mbele ile lugha uliyotumia kunijibu ndio akili yako ilipoishia au ni bange mnazovuta huko mnapokutana coz haiyumkiniki kidole atiwe mwengine halaf wee uskie utam kwani umetiwa kidole mpaka uskie utam kilichokuwasha ni nini sasa STUPID,KARIBU SANA'
wewe kinachokusumbua kama siyo bangi basi nyege changa,maana huelimiki.mwenzio anafundisha ujasiriamali wewe unatangaza njaa hapa,basi tukufundishe K.U.F.I.R.W.A ndo unachokijua naona.ushauri tu hamia jukwaa la mapenzi
 
Nadhani ishu aliyoulizia mwanahip ni ndogo tu ambayo haikutakiwa ianzishe malumbano yenu ambayo imebidi mpaka mtukanane. Hakuna haja ya kutukanana tuko hapa kwa upendo na kusaidiana kuondokana na umaskini.&nbsp;<br><br>Mwanahip ishu yako ni kuwa maeneo mengi hapa nchini yana raw materials hivyo ukianzisha mradi wako si rahisi kushjindwa kupata raw materials. Sijui nimekujibu vizuri
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom