Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
- Thread starter
- #241
kweli hakuna kurudi nyuma mpaka kieleweke..mkaa wangu leo umewaka lakin c kwq kiwqngo cha kuridhisha kwq sabb ulikua unainekana kupoa sana,ila bado naendelea kufanya marekebisho mpaka kieleweke
Kuna mahali inaonekana unakosea maana watu wengi huwa hauwasumbui sana kuutengeneza. Hebu achana na zile ratios na tumia yale maelekezo niliyoyaandika kwenye kitabu yale ya makadirio. Tumia hayo maelekezo kwa uangalifu na relax ufanye taratibu tu utakuwa vizuri usiwe na haraka. Jaribu hivyo then utanitaarifu